Mpenzi wangu ameniibia laki 5 akakimbilia Dar, popote alipo nampa salamu kwetu ni Kigoma

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,930
14,827
Penny buana me nina makasiriko.

Mpenzi wangu buana amenipiga laki 5 akanikimbia akaja Dar.

Sa namtafuta mpaka kwao.kumbe kwao ni kwa mchongo.

Simu hapokei.

Money Penny: Hizo hela mlipeanaje mpaka useme umeibiwa?

Mhanga: alisema mdogo wake anaumwa, anatakiwa afanyiwe opereshen mbeya, amepungukiwa laki 5 nimsaidie.

Money Penny: Mgonjwa amepona?

Mhanga: Alisema amekufa anaenda kuzika kumbe uongo yuko Dar

Money Penny: Mahusiano yenu ya muda gan?

Mhanga: Miezi 3

Money Penny: Du!

Eti we mwana JF unamsaidiaje juyu mhanga? Anasema yeye ni mtu wa Kigoma atamloga.

Kabla hajamloga afanyaje?
 
Uaminifu ni kama pesa, Ngumu kuipata rahisi kuipoteza, sema huyo jamaa wa Kigoma nae atulie tu hata kama atamroga hela haitorudi. Asamehe na aendelee kutafuta pesa tu. Dunia ina vitu vingi vya kumpa binadamu iwapo ataamua kupambana na kuzitafuta.
 
Uaminifu ni kama pesa, Ngumu kuipata rahisi kuipoteza, sema huyo jamaa wa Kigoma nae atulie tu hata kama atamroga hela haitorudi. Asamehe na aendelee kutafuta pesa tu. Dunia ina vitu vingi vya kumpa binadamu iwapo ataamua kupambana na kuzitafuta.
Asante boss
 
Penny buana me nina makasiriko.

Mpenzi wangu buana amenipiga laki 5 akanikimbia akaja Dar.

Sa namtafuta mpaka kwao.kumbe kwao ni kwa mchongo.

Simu hapokei.

Money Penny: Hizo hela mlipeanaje mpaka useme umeibiwa?

Mhanga: alisema mdogo wake anaumwa, anatakiwa afanyiwe opereshen mbeya, amepungukiwa laki 5 nimsaidie.

Money Penny: Mgonjwa amepona?

Mhanga: Alisema amekufa anaenda kuzika kumbe uongo yuko Dar

Money Penny: Mahusiano yenu ya muda gan?

Mhanga: Miezi 3

Money Penny: Du!

Eti we mwana JF unamsaidiaje juyu mhanga? Anasema yeye ni mtu wa Kigoma atamloga.

Kabla hajamloga afanyaje?
A move on tu hakuna kinginee
 
Penny buana me nina makasiriko.

Mpenzi wangu buana amenipiga laki 5 akanikimbia akaja Dar.

Sa namtafuta mpaka kwao.kumbe kwao ni kwa mchongo.

Simu hapokei.

Money Penny: Hizo hela mlipeanaje mpaka useme umeibiwa?

Mhanga: alisema mdogo wake anaumwa, anatakiwa afanyiwe opereshen mbeya, amepungukiwa laki 5 nimsaidie.

Money Penny: Mgonjwa amepona?

Mhanga: Alisema amekufa anaenda kuzika kumbe uongo yuko Dar

Money Penny: Mahusiano yenu ya muda gan?

Mhanga: Miezi 3

Money Penny: Du!

Eti we mwana JF unamsaidiaje juyu mhanga? Anasema yeye ni mtu wa Kigoma atamloga.

Kabla hajamloga afanyaje?
Laki 5 unatoa mlio? Seriously?
 
Back
Top Bottom