Mbona umefuta hyo
Ata mm nlikua nataka iyo alifutaMbona umefuta hyo
Kafuta kwa sababu kuna tusi baya hapo 😂😂😂Mbona umefuta hyo
Socket breka Kama ipo kwako, maliza kipindi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Watakufinya...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Sauti kubwa kwa wengine ni kamzozo walai mi mwenyewe napenda mziki sauti kubwa basi majirani kuna muda nasikia kabisa wanavonsonya😏😏🤣!
Wasubutuuuuu! Kwanza sina time nao!Watakufinya...
Punguza mziki mnene sweetheart...Wasubutuuuuu! Kwanza sina time nao!
Afanye yote hayo ili avumbue nini?Nunua Yale maspika yenye matangazo yanayojirudia ya kuuza sumu za panya unganisha kabisa na mziki wako wa ndani, Kila akiwepo unaweka hayo matangazo full blast unaenda zako mahali unatulia unaacha asikilize matangazo yanavyojirudia, Kuna spika za kichina hata wakizima main switch wakiwasha Ngoma inarudi ilipoishia
Usisahau kuleta mrejesho