Mpaka leo bado sijafanikisha kupata Mwanamke mwajiriwa..

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,107
10,752
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
 
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
You are looking at wrong place
 
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
Itabidi uwe watupia pamba kali na kupita pita maeneo ya shuleni, ujifanye hata motivation speaker.
Lazima kuna teacher atajilengesha tu.
 
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
Asee hadi Bar maid anakukataa...Una gundu sio bure
 
Ndoto ni kuwa na Mwanamke Nesi, Mwalimu au Askari ikishindikana hapo basi mwaajiriwa katika sekta yoyote ile sometimes maisha hayakupi kile unachotaka huu mwaka wa sita toka nimekuwa na hiyo ndoto na still inabaki kuwa ndoto.

Maana katika kipindi chote hicho wanawake niliokuwa nao wote ni majobless nilijitahidi kidogo mwaka jana nilipata mwaajiriwa wa Bar fulani lakini penzi alikudumu kabisa tukaachana mwanzoni wa mwaka huu.

Naona vijana wenzangu wanatoka kimaisha kwa sababu ya wanawake walioajiriwa kuna jamaa yangu alinunuliwa Bodaboda na mke wake Mwalimu saa hivi anakula hesabu.

Huyo jamaa yangu pamoja na watoto wamekatiwa bima ya matibabu na huyo teacher kimsingi jamaa ni kama kayapatia maisha.

Hapa kuna Ex wangu wa sekondari naona kaajiriwa kwenye utrafiki licha ya kuwa na mtoto yaani single mother kila siku nakesha kumbembeleza turudiane ikiwezekana tuone lakini bado ananikazia ila still nitakomaa naye tu mpaka kieleweke.
Naona wewe unatafuta mteremko, shauri yako, eti nilipata mwanamke muuza bar. Daah we jamaa hapo sawa kabisa unahitaji maombi makubwa mno
 
Back
Top Bottom