Mnaosisitiza Rais Samia atakuwa 'one term President' mlisikia wapi kuwa anataka kipindi cha pili?

Zurie

JF-Expert Member
Jul 6, 2014
1,850
4,734
Naona wanaharakati wa twita kila baada ya sentensi mbili kuhusu Mama yetu kipenzi mnasema atakuwa 'one term president'. Hivi ni lini alisema anataka vipindi viwili? Considering namna alivyoingia madarakani, hamfikirii kuwa labda alikuwa na mipango yake kabla msiba haujaingilia kati? She might opt kuongoza mwaka mmoja akasepa, after all she has been citizen number 2 for 5+ years already.

Yani nyie kuongoza nchi vipindi viwili kwenu ndo success? Asemwe kwa vitu vingine ila sijaona shame yoyote kwa kuwa one term president. Actually ni ujasiri kuliko yule aliyetaka kuongezewa muda.

56925562_303.jpeg
 
Wakati jiwe anaingia ulingoni wakati huo na tramp aliingia pia.

Watu walimfananisha saana jiwe na trump.

Vituko alivyofanya trump kule akaondolewa,akaishia kipindi kimoja.

Huyu wakwetu alianza kujihic, hadi akauliza mbona wengu waliopita wamemaliza vipindi viwili kwanini mimi niishie kimoja.
Alijihic mwenyewe kua hakubaliki kiviile.

Akafanya maflekeche yake kapita kwenye kula anazojua yeye.

Lakini MWENYEZI MUNGU AKASEMA,WE! USINITANIE!

KAMA WEWE UNAMBINU NYINGI MIMI NAKUPUNZISHA MAANA KAMA KAZI ULIOFANYA INATOSHA.
Kajikuta ndio hivyo.

Hahahahahahahahahahahahaha
 
Naona wanaharakati wa twita kila baada ya sentensi mbili kuhusu Mama yetu kipenzi mnasema atakuwa 'one term president'. Hivi ni lini alisema anataka vipindi viwili? Considering namna alivyoingia madarakani, hamfikirii kuwa labda alikuwa na mipango yake kabla msiba haujaingilia kati? She might opt kuongoza mwaka mmoja akasepa, after all she has been citizen number 2 for 5+ years already.

Yani nyie kuongoza nchi vipindi viwili kwenu ndo success? Asemwe kwa vitu vingine ila sijaona shame yoyote kwa kuwa one term president. Actually ni ujasiri kuliko yule aliyetaka kuongezewa muda.

View attachment 1750634
💥🇹🇿😍🙏
 
Hakuna watu hujiona wana IQ kubwa kama watu wa "twira". Uzuri saivi kila mtu anashangazwa na Mama teh!teh!teh!

Mama apewe hata vipindi vitatu huyu atatufaa sana akigoma alazimishwe hata kwa mitutu.
 
Wakati jiwe anaingia ulingoni wakati huo na tramp aliingia pia.
Watu walimfananisha saana jiwe na trump.

Vituko alivyofanya trump kule akaondolewa,akaishia kipindi kimoja.

Huyu wakwetu alianza kujihic, hadi akauliza mbona wengu waliopita wamemaliza vipindi viwili kwanini mimi niishie kimoja.
Alijihic mwenyewe kua hakubaliki kiviile.

Akafanya maflekeche yake kapita kwenye kula anazojua yeye.

Lakini MWENYEZI MUNGU AKASEMA,WE! USINITANIE!!
KAMA WEWE UNAMBINU NYINGI MIMI NAKUPUNZISHA MAANA KAMA KAZI ULIOFANYA INATOSHA.
Kajikuta ndio hivyo.

hahahahahahahahahahahahaha............
"Mwendazake Akafanya maflekeche yake kapita kwenye kula anazojua yeye". Hapa Umepiga Mule Mule ...Ndg wewe ni Mbaya Ndaaa!!! Mwache Mungu aitwe Mungu....Maadam Samia is our Presiedent we are happy kuwa nae , Mambo ya Kuleteana stress ya Kimwendazake Hatuyataki tena. Yaani tule mulo Mmoja Kwa siku then Ndg zetu, wapotee eti wasiojulikana. Mungu anajulikana na Kafanya lililojema Kwake.
 
Akimaliza hii term ya bila uchaguzi,
Mikumi tena kwa mama Rais, atake asitake tutampa, wanaharakati tupo!

Mandela was a one term president, his legacy lives on.
Hata mama Rais akiamua kuwa a SINGLE term president, her legacy will forever live on.

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Wakati jiwe anaingia ulingoni wakati huo na tramp aliingia pia.

Watu walimfananisha saana jiwe na trump.

Vituko alivyofanya trump kule akaondolewa,akaishia kipindi kimoja.

Huyu wakwetu alianza kujihic, hadi akauliza mbona wengu waliopita wamemaliza vipindi viwili kwanini mimi niishie kimoja.
Alijihic mwenyewe kua hakubaliki kiviile.

Akafanya maflekeche yake kapita kwenye kula anazojua yeye.

Lakini MWENYEZI MUNGU AKASEMA,WE! USINITANIE!

KAMA WEWE UNAMBINU NYINGI MIMI NAKUPUNZISHA MAANA KAMA KAZI ULIOFANYA INATOSHA.
Kajikuta ndio hivyo.

Hahahahahahahahahahahahaha
Watanzania tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kwani tulimshindwa huyu dhalim, lakini Mungu kwa upendo wake mkuu akamtowesha bila hata ya tone moja la damu kumwagika.
 
Back
Top Bottom