KayScarpetta
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,251
- 774
Sio rahisi sana kuki kimbia kivuli chako,! Hakuna anayemtisha kama alichokidhamilia ni sahihi.
inaandikwa: alichokidhamiria*
inaandikwa: kukimbia/kukikimbia
pia huwezi kuweka ! baada ya ,
Sio rahisi sana kuki kimbia kivuli chako,! Hakuna anayemtisha kama alichokidhamilia ni sahihi.
Usidhani wewe ndio mwenye uelewa na ufahamu mkubwa kuliko wote unapata nafasi ya kujadiliana nao, ukijifunza kuwa na hekima itakusaidia.Wewe unaonekana exposure ni zero minus,hujui hata mwelekeo wa dunia
Walidhani hapa ni bunge liveZamani kulikuwa hakuna udikteta uchwara,zmani hakuna alietamani malaika waje wazime mitandao,zamani tulikuwa tuna bunge live,zamani mikutano ya siasa haikufutwa.......kwa hyo usituletee hadithi zenu za lumumba wanafki wakubwa nyie mnataka msifiwe tu.
wew ndo hujui mkuu,na kwa comments zako unaonekana n mshamba.Kitu ambacho hukijui ni bora ukauliza usije ukaonekana mshamba!
Unataka tumweshimu yy tu kwan yy amemheshimu nani. TOKA ZAKO HAPAHalafu bado mnadhani mtaendelea kujificha kwa anuani bandia, kwa upuuzi kama huu,! Unaposhindwa kumheshimu rais wa Nchi yako unayeweza kumpa heshima ni nani ? Katika maisha yako??
Biblia inasema tiini mamlaka iliyo kuu sabbu hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu. !!! Halafu kwa kebehi na dharau zenu mnataka Nchii iendelee kuwaangalia tu,! Kwa kisingizio cha uhuru wa maoni na kukosoa.!
Haiwezekani na halitawezekana.
Mkuu,- Tunajenga Taifa so wananchi mchana mzima wanatakiwa kuwa kazini sio kuangalia Bunge live, hayo mengine ya kwako na ni nonsense!
le Mutuz
Mjinga mimi au wewe. Ukipiga kelele JF kuwa sheria hairuhusu then what? Ni hatua gani mnatakayochukua? Au mnataka kufarijiana nyuma ya keyboard.
Wenzenu vitu kama hivi kama wanaona vimekosewa hatua ya kwanza ni kwenda kuomba tafsiri ya mahakama then zingine zinafuatia.
Alipoteuliwa Naibu Spika Tulia mlikuja na hoja kama hizi then what? Kwahiyo mkishatoa malalamiko hapa then watu wakachangia imeisha.
Nyinyin ndio wajinga. Sehemu serikali ilipokosea ndio mtaji wa vyama vya upinzani. Ila kwa wapinzani nyinyi serikali ikikosea basi ni gia ya kusutana baada ya ku take proper actions
Tunaamini haki itapatikana kwa Max Melo, MUNGU mwenye HAKI atamsimamia.Maelezo yako ni mazuri kwako. ukabila wako hauna nafasi Tanzania. Tunaweza kuendelea kama taifa hata tusipozingatia haya mawazo yako yako ya Kikabila.
Ukweli uko palepale kuna tofauti kati ya kuropoka na Freedom of speech.
Max yuko ndani kukutea watu kama wewe.
Be peacefully, obey laws.
Aluta Continua!Wakuu,
Taarifa mpya ni kwamba, Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo mpaka muda huu bado anashikiliwa na polisi na hajafikishwa Mahakamani kama sheria inavyotaka.
Alifanyiwa mahojiano jana usiku kwa muda mrefu na faili lake limechukuliwa linapelekwa kwa DPP mchana huu.
Bado mashtaka halisi yanayomkabili hayajawekwa wazi.
Taarifa zaidi kukujia...
Mpaka leo bado anahojiwa?Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.