Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,111
- 18,514
Acha kuanza kutoa majibu yanayohalalisha mkeo kubadilika. Hakuwa hivyo tendo la ndoa ni lazima. Kama kakutana na ex wake lazima abadilike. Chunguza.Hakua hivyo mwanzo.
Njia za uzazi wa mpango ametumia mkuu inawezekana zimechangia tatizo.
Je akiacha kuzitumia hormone zitarudi kawaida?