Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

Habari wakuu,

Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.

Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.

Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.

Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.

Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.

Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.

Natanguliza shukrani
Anashiriki na mtu mwengine, sio wewe.
 
Habari wakuu,

Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.

Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.

Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.

Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.

Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.

Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.

Natanguliza shukrani
Mimi nasoma comments tu mkuu maana nahisi ili tatizo ni kwa wengi ila usijaribu kuchepuka, ukichepuka unaongeza tatizo hasa akijua

Mimi kwangu ilinipa shida mwanzoni ila kwa sasa natunza nguvu tu ni anakaaa ila siku akaachia kidogo nikikiamsha lazima atoe na shukurani. Wakati mwingine ni wivu tu au kuwa na kazi nyingi sana mtu hana muda wa kuwaza mapenzi wakuta kutwa nzima yeye na kazi za ndani na huwa haziishagi
 
1. Umeshajaribu kuongea nae juu ya hili, angalau ujue a.b.c?!

2. Huenda ni mazoea. Kuna wengine hawapendi kufanya tendo kila mara.

3. Unapofanya nae tendo, huwa unamfikisha kunako, Ama ndo ilimradi upige bao nyingi?

Jitahidi kulifanya tendo kuwa lenye furaha na sio karaha kwa mwenzi wako.
Ikishindikana kabisa, pata mda wa kuonana na mtaalamu kwa ushauri zaidi.
 
Ntakupa ushauri kwakujiweka kwenye viatu vyake..
1.uzazi wa mpango (vijiti)unatukata sana stimu
2.watoto baada ya leba tunawaziaga watoto tu hisia za chini ni kama tumepalalaizi
3.mazingira yaleyale yanaua hisia,jaribu kumtoa mwenzio out mpe break na majukumu ya nyumbani
Mengine watajazia wengine ngj nkabebe mtoto analia
 
Ishawahi mkojolesha????
Akafika kileleni?
Yaani climax?
Ukimfanyia siku moja tu atakuja addicts WA sex
Wengi wanaume mnalalamika hapa...
Unakuta hamuaaakojoleshi au hamuwaandai kabisa..
Unakuta hai enjoy.
Huyo mke wako akipata mguu WA kumkojolesha hata akiwa WA kike.... Atakuacha
 
Hana hisia na wewe sio kwamba hana hisia za mapenzi. Wewe sio mtu aliempenda au niseme mtu anaemvutia ktk hilo tendo ila una mazuri yako yaliyomvutia mfano huchepuki, unajua kulea familia, unapenda watoto, mtu wa kuishi vizuri na watu n.k.
Wanawake ni watu wa ajabu sana usijiaminishe kuwa hana mtu au hachepuki, kila mwanamke awe ndoani ama lah ana mwanaume ambae hawezi kumsahau maisha yake yote aidha alimpenda au alikuwa na hisianae sana.
Usitusemee....
 
Kazi nyingi mwili kuchoka....kunyonyesha kunapunguza libido...kuzaa watoto zaidi ya mmoja lazima mgawane muda...yani akili ya mama ipo kwa mtoto zaidi sasa kama wako 3 au 4 ndo hatari zaidi..ndo maana wazungu wanazaa mmoja au 2..ili mama apumzike na akae vzr kiakili na kimwili...its all about ubongo..yani ni vile ubongo umeleftisha mafaili..kwa sasa faili linalo upload faster ni watoto..
 
Kama wengi walivyosema hapo juu..uzazi wa mpango una effects kubwa sana. Tafuteni mbinu nyingine lakin hayo matakataka yanashida katika miili mno..(kwa ufahamu mdogo juu ya research nilizoshiriki kwenye masuala ya jamii na afya). Kuna tafiti mbalimbali zinaendelea duniani, so tafuteni njia mbadala.

Lakini pia ni ushauri tu, abadilishe diet. Abadilishe menu kabisa. Fried foods aachane nazo, Butter aikimbie kwa muda. Chemicals azikimbie kwa muda. Ajaribu kula natural food kama magimbi, mihogo, ndizi, viazi vitamu, nyanya chungu na bamia (kila siku) tena zilizopikwa kwa mafuta kidogo sana. Kuna sumu zimeingia na kuhatarisha vichocheo vyake nadhani.

Lakin pia how do you relate with her? Maana wanapoingiaga watoto bwana kunakuaga na mabadiliko sana. Kaeni chini, muongee..tell her what you feel na yeye akwambie whats up. Hata uende kwa wengine kumi wakizaa wakawa busy na watoto kasi zao zitapungua tu. Talk this through..mpate suluhisho. Ulimchagua ukamuona bora, then chose her all the way. FPM ni crazy shits aisee.....
 
Habari wakuu,

Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.

Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.

Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.

Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.

Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.

Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.

Natanguliza shukrani
tafuta mchepuko njee.
 
Ntakupa ushauri kwakujiweka kwenye viatu vyake..
1.uzazi wa mpango (vijiti)unatukata sana stimu
2.watoto baada ya leba tunawaziaga watoto tu hisia za chini ni kama tumepalalaizi
3.mazingira yaleyale yanaua hisia,jaribu kumtoa mwenzio out mpe break na majukumu ya nyumbani
Mengine watajazia wengine ngj nkabebe mtoto analia
Asante sana
 
Kama wengi walivyosema hapo juu..uzazi wa mpango una effects kubwa sana. Tafuteni mbinu nyingine lakin hayo matakataka yanashida katika miili mno..(kwa ufahamu mdogo juu ya research nilizoshiriki kwenye masuala ya jamii na afya). Kuna tafiti mbalimbali zinaendelea duniani, so tafuteni njia mbadala.

Lakini pia ni ushauri tu, abadilishe diet. Abadilishe menu kabisa. Fried foods aachane nazo, Butter aikimbie kwa muda. Chemicals azikimbie kwa muda. Ajaribu kula natural food kama magimbi, mihogo, ndizi, viazi vitamu, nyanya chungu na bamia (kila siku) tena zilizopikwa kwa mafuta kidogo sana. Kuna sumu zimeingia na kuhatarisha vichocheo vyake nadhani.

Lakin pia how do you relate with her? Maana wanapoingiaga watoto bwana kunakuaga na mabadiliko sana. Kaeni chini, muongee..tell her what you feel na yeye akwambie whats up. Hata uende kwa wengine kumi wakizaa wakawa busy na watoto kasi zao zitapungua tu. Talk this through..mpate suluhisho. Ulimchagua ukamuona bora, then chose her all the way. FPM ni crazy shits aisee.....
Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom