Mke wa mtu kanifunza kitu

Kuna sababu nyingi za tofauti za kumfanya mke achepuke.

Kuna idadi kubwa ya wanawake walioachwa baada ya waume zao kugundua uchepukaji wa wake zao na wala haijawa suluhisho kwa wengine kutulia.

Kuna haja kuangalia namna nyingine ya kutatua hii hali. Labda kwa kuwa sisi Binadamu ni jamii ya wanyama basi tuliumbwa tuishi kwa staili kama wanyama wengine wanavyoishi.

Miaka ijayo pengine hakutakuwa huu utaratibu wa kuchumbia mke mmoja, maana kwa sasa mfumo huu umeonyesha umefeli kwa kuwa Mke na Mume wote wanakuwa wachepukaji.
Na wanaume je? Naona lawama upande mmoja tu.
 
Picha ni muhimu jombaa.
Mara ya kwakwa tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali moja kwa moja ila tulibadilishana mawasiliano. Kilichonifanya nisiwaze kama ni mke wa mtu kwanza ni kumuona maeneo yale kwa muda ule na alikaa hadi saa8 usiku, wakati anaondoka nilimsindikiza hadi kwake akapiga simu wakaja kumfungulia geti akiwa anaingia ndani nilisikia kama sauti ya mwanamke ikimgombeza japokuwa sikuelewa walichokuwa wanaongea lakini nilijipa majibu kuwa huyu atakuwa anakaa kwa ndugu yake.

Mwanzoni mahusiano yalikuwa ya kawaida sana sababu baada ya kupeana mawasiliano sikumtafuta kabisa, siku moja akanipigia zaidi ya mara moja bahati mbaya sikupokea akanitumia sms “acha dharau!” Ukweli hakuwa ameniingia sana ni fujo zangu za pombe tu na tamaa ndio zilinifanya nimtongoze sikuile.

Baadae nikampigia akanipa mpango tukutane Kivukoni (sio jina sahihi) ni nje kabisa ya mji siku hii ilishindikana sababu nilikuwa busy, akanipanga siku nyingine tena nikaenda tukaonana hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana nae mchana tangu sikuile tulipoachana usiku aisee kumbe nilikuwa nachezea bahati huyu dem alikuwa mzuri sana alikuwa amevaa kwa kujiachia zaidi na alipendeza sana sikujilaumu kukutana nae kabisa zaidi nilijilaumu kwanini sikuchukua hatua mapema. Nilikula mzigo tukalala wote na kesho yake tukarudi mjini. Lakini hakuniambia kabisa kama ni mke wa mtu.

Nilianza kuchanganyikiwa na penzi la huyu mtoto mimi ndo nikawa msumbufu zaidi yake, muda mwingi nilipenda kuchat nae au kumpigia kumjulia hali, siku moja nilimpigia akaniambia “ntakupigia badae” kisha akakata simu. Jioni kweli akanitafuta na kuniomba msamaha kisha akaniambia anaomba tukutane jioni hiyo, tukatafuta sehemu tulivu tukachukua chumba na kwenda kunywa vinywaji vyetu ndani.

Tukiwa ndani akaanza kunipa full story kwamba yeye ni mke wa mtu ila akaniomba nisisitishe mahusiano yetu, anafanya hivyo kutafuta faraja maana mume wake ni malaya, mlevi sana na anapenda kulala nje kila akiwa off. Nilisikitika sana kusikia habari hizi kuwa natembea na mke wa mtu, pamoja na ushenzi wangu wote lakini hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutembea na mke wa mtu ukweli sikufurahi japokuwa siku hii pia sikumuacha hivihivi.

Tangu nisikie habari hii nikaanza kujiengua taratibu nikaanza kuulizia kwa watu kuhusu mume wa huyu demu, kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anamfahamu walisoma wote chuo jamaa yangu huyu nilimwambia ukweli sababu namuamini sana akaniambia niachane na huyo dem sababu anamjua jamaa yake vizuri kwanza ni mkorofi sana akanionyesha na picha yake huku akisema “fikiria siku unafumaniwa na hii njemba umeshikiwa silaha jamaa likitaka kukula jicho” niliwaza sana jamaa ni mtu wa gym amejaa hatari. Kusema ukweli niliamua kumpiga chini huyu demu lakini haikuwa ghafla ila nilianza kukata mawasiliano hadi ikafikia kipindi nikawa simpigii kabisa.

Siku moja nikiwa nagonga vitu vyangu nikakutana na rafiki yake mmoja kati ya wale wawili wa sikuile usiku akaniambia “Loveness (si jina halisi) anakutafuta sana yani ameshanisumbua sana anasema kuna issue ya muhimu sana.” Wakati huu nilikuwa natumia line yangu ya mtandao mwingine ambayo Love alikuwa haijui, nikamjibu “poa nitamtafuta”

Nikaamua kumtafuta muda huo Loveness aliongea akilalamika hadi analia akasema nimeamua kumuachia maumivu wakati aliniomba nimsaidie kupoza mateso anayoyapata toka kwa mumewe, mimi nilikomaa na msimamo wangu nikamwambia atafute namna nyingine lakini si kutoka nje ya ndoa. Alisikitika sana na mwisho akaniambia kwamba ana ujauzito na anahisi ni ujauzito wangu. Nilistuka sana kwa habari hii nikamshauri aitoe akakataa akasema bora azae iwe kumbukumbu yake kwa jinsi nilivyokuwa naonyesha mapenzi kwake, sikuwa na jinsi ya kufanya sababu yeye ndiye mwenye maamuzi nikatulia. Alikuja kunielewa lakini aliniomba tuwe tunakutana marachache kuongea tu na kubadilishana mawazo nilimkubalia.

kumbe lilikuwa kosa kubwa maana mapenzi yalipamba moto tena, ujauzito ulimfanya apendeze zaidi aling’aa na umbo likavutia zaidi nikajikuta naanza kuwa na wivu nae. Ilikuwa nikipiga asipopokea nachukia sana na kuanza kutuma sms za lawama hadi siku moja akanichana makavu “hivi wewe Mtata hujui kama mimi nimeolewa? Mbona unakuwa msumbufu hivyo” kauli hii iliniumiza sana kufikia kukosa usingizi.

Mimba ilivyozidi kukua ndivyo alivyozidi kunichukia zaidi akaanza kunipa masharti akanambia nisimpigie wala kumtumia sms hadi anitafute kwanza yeye wakati mwanzo nilikuwa huru zaidi ya mume wake hakuwa na hofu na chochote. Kipindi hiki alinitesa sana huyu mwanamke nilikuwa nampenda kichwa kuuma lakini yeye alikuwa hanitaki kabisa, kutokana na hali hii nilikata tamaa nikapiga moyo konde nikaamua kutulia nikaendelea na maisha mengine.

Miezi ikakatika siku moja nikiwa likizo kwetu rafiki yake akanipigia simu kunipa taarifa Loveness amejifungua akadai mtoto anafanana na mimi balaa. Sikushtushwa na taarifa hii zaidi nilitaka nipate uhakika kama kweli mtoto anafanana na mimi kweli nikamtafuta mzazi akanitumia picha za mtoto, hakuwa akifanana na mimi kwa chochote sikujali nikaendelea na maisha yangu.

Sasa imepita zaidi ya miaka miwili tangu Loveness ajifungue juzi juzi tu hapa kaanza kunichokoza tena sikumjali sana ila niliamua kutoa povu nikamwambia “wewe hunipendi na ulininyanyasa sana wakati ule nakuonyesha upendo, sasaivi nimeamua kuishi hivi na sipendi kuwa na mahusiano na mke wa mtu” alisikitika sana na kuniomba msamaha akidai kuwa hali ile ilitokea sababu ya ule ujauzito akidai huwa ni hali ya kawaida kwa wanawake kuchukia watu fulani wakiwa wajawazito pamoja na kujitetea kwake lakini sikumpa jibu kamili siku hii.

Japokuwa Loveness ni dem mkali sana na mtamu sana lakini sijafikiria kumrudia maana najua nikirudi nitanogewa na kuchomoka itakuwa kazi sana. Kuna siku alikuja sehemu tukakutana alikuja anapush ndinga ya maana sana anasema mume wake kamnunulia nikamwambia “kumbe sasaivi unapendwa kwanini usitulie tu na mshkaji?” Akanijibu sivyo kama nifikiriavyo hapo alipo jamaa ana siku mbili hajarudi nyumbani…….

hadi sasa sijamrudia huyu dem na najitahidi sana isitokee hivyo maana maumivu ya kuliwa mke si madogo na mbaya zaidi ukifumaniwa mziki wake hauchezeki.

Lesson learnt:
1. Mliooa onyesheni upendo kwa wake zenu wasiende kutafuta nje ya ndoa.
2. Kama mke wako ni mlevi na anatoka usiku peke yake, jitathmini.
 
sitaweza kufanya hivyo mkuu maana kuna wazee wa kuunganisha dot, akiona nguo tu anapata picha kamili.
Ila kwa masimulizi yako aisee umeinjoi sana hiyo mashine. Ipige tu kwa akili wanawake wenyewe ndio hawahawa tu hawanaga uchoyo ukimkataa wewe anamuachia papa mwingine.

Mama zetu ambao walizaliwa kabla ya 1980's ndio walikuwa wanaficha Papa zao, Hawa walevi wa siku hizi unakula tu maana hata mkeo wanajilia tu believe me.
 
Ila kwa masimulizi yako aisee umeinjoi sana hiyo mashine. Ipige tu kwa akili wanawake wenyewe ndio hawahawa tu hawanaga uchoyo ukimkataa wewe anamuachia papa mwingine.

Mama zetu ambao walizaliwa kabla ya 1980's ndio walikuwa wanaficha Papa zao, Hawa walevi wa siku hizi unakula tu maana hata mkeo wanajilia tu believe me.
Dah!....
 
Mara ya kwakwa tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali moja kwa moja ila tulibadilishana mawasiliano. Kilichonifanya nisiwaze kama ni mke wa mtu kwanza ni kumuona maeneo yale kwa muda ule na alikaa hadi saa8 usiku, wakati anaondoka nilimsindikiza hadi kwake akapiga simu wakaja kumfungulia geti akiwa anaingia ndani nilisikia kama sauti ya mwanamke ikimgombeza japokuwa sikuelewa walichokuwa wanaongea lakini nilijipa majibu kuwa huyu atakuwa anakaa kwa ndugu yake.

Mwanzoni mahusiano yalikuwa ya kawaida sana sababu baada ya kupeana mawasiliano sikumtafuta kabisa, siku moja akanipigia zaidi ya mara moja bahati mbaya sikupokea akanitumia sms “acha dharau!” Ukweli hakuwa ameniingia sana ni fujo zangu za pombe tu na tamaa ndio zilinifanya nimtongoze sikuile.

Baadae nikampigia akanipa mpango tukutane Kivukoni (sio jina sahihi) ni nje kabisa ya mji siku hii ilishindikana sababu nilikuwa busy, akanipanga siku nyingine tena nikaenda tukaonana hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana nae mchana tangu sikuile tulipoachana usiku aisee kumbe nilikuwa nachezea bahati huyu dem alikuwa mzuri sana alikuwa amevaa kwa kujiachia zaidi na alipendeza sana sikujilaumu kukutana nae kabisa zaidi nilijilaumu kwanini sikuchukua hatua mapema. Nilikula mzigo tukalala wote na kesho yake tukarudi mjini. Lakini hakuniambia kabisa kama ni mke wa mtu.

Nilianza kuchanganyikiwa na penzi la huyu mtoto mimi ndo nikawa msumbufu zaidi yake, muda mwingi nilipenda kuchat nae au kumpigia kumjulia hali, siku moja nilimpigia akaniambia “ntakupigia badae” kisha akakata simu. Jioni kweli akanitafuta na kuniomba msamaha kisha akaniambia anaomba tukutane jioni hiyo, tukatafuta sehemu tulivu tukachukua chumba na kwenda kunywa vinywaji vyetu ndani.

Tukiwa ndani akaanza kunipa full story kwamba yeye ni mke wa mtu ila akaniomba nisisitishe mahusiano yetu, anafanya hivyo kutafuta faraja maana mume wake ni malaya, mlevi sana na anapenda kulala nje kila akiwa off. Nilisikitika sana kusikia habari hizi kuwa natembea na mke wa mtu, pamoja na ushenzi wangu wote lakini hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutembea na mke wa mtu ukweli sikufurahi japokuwa siku hii pia sikumuacha hivihivi.

Tangu nisikie habari hii nikaanza kujiengua taratibu nikaanza kuulizia kwa watu kuhusu mume wa huyu demu, kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anamfahamu walisoma wote chuo jamaa yangu huyu nilimwambia ukweli sababu namuamini sana akaniambia niachane na huyo dem sababu anamjua jamaa yake vizuri kwanza ni mkorofi sana akanionyesha na picha yake huku akisema “fikiria siku unafumaniwa na hii njemba umeshikiwa silaha jamaa likitaka kukula jicho” niliwaza sana jamaa ni mtu wa gym amejaa hatari. Kusema ukweli niliamua kumpiga chini huyu demu lakini haikuwa ghafla ila nilianza kukata mawasiliano hadi ikafikia kipindi nikawa simpigii kabisa.

Siku moja nikiwa nagonga vitu vyangu nikakutana na rafiki yake mmoja kati ya wale wawili wa sikuile usiku akaniambia “Loveness (si jina halisi) anakutafuta sana yani ameshanisumbua sana anasema kuna issue ya muhimu sana.” Wakati huu nilikuwa natumia line yangu ya mtandao mwingine ambayo Love alikuwa haijui, nikamjibu “poa nitamtafuta”

Nikaamua kumtafuta muda huo Loveness aliongea akilalamika hadi analia akasema nimeamua kumuachia maumivu wakati aliniomba nimsaidie kupoza mateso anayoyapata toka kwa mumewe, mimi nilikomaa na msimamo wangu nikamwambia atafute namna nyingine lakini si kutoka nje ya ndoa. Alisikitika sana na mwisho akaniambia kwamba ana ujauzito na anahisi ni ujauzito wangu. Nilistuka sana kwa habari hii nikamshauri aitoe akakataa akasema bora azae iwe kumbukumbu yake kwa jinsi nilivyokuwa naonyesha mapenzi kwake, sikuwa na jinsi ya kufanya sababu yeye ndiye mwenye maamuzi nikatulia. Alikuja kunielewa lakini aliniomba tuwe tunakutana marachache kuongea tu na kubadilishana mawazo nilimkubalia.

kumbe lilikuwa kosa kubwa maana mapenzi yalipamba moto tena, ujauzito ulimfanya apendeze zaidi aling’aa na umbo likavutia zaidi nikajikuta naanza kuwa na wivu nae. Ilikuwa nikipiga asipopokea nachukia sana na kuanza kutuma sms za lawama hadi siku moja akanichana makavu “hivi wewe Mtata hujui kama mimi nimeolewa? Mbona unakuwa msumbufu hivyo” kauli hii iliniumiza sana kufikia kukosa usingizi.

Mimba ilivyozidi kukua ndivyo alivyozidi kunichukia zaidi akaanza kunipa masharti akanambia nisimpigie wala kumtumia sms hadi anitafute kwanza yeye wakati mwanzo nilikuwa huru zaidi ya mume wake hakuwa na hofu na chochote. Kipindi hiki alinitesa sana huyu mwanamke nilikuwa nampenda kichwa kuuma lakini yeye alikuwa hanitaki kabisa, kutokana na hali hii nilikata tamaa nikapiga moyo konde nikaamua kutulia nikaendelea na maisha mengine.

Miezi ikakatika siku moja nikiwa likizo kwetu rafiki yake akanipigia simu kunipa taarifa Loveness amejifungua akadai mtoto anafanana na mimi balaa. Sikushtushwa na taarifa hii zaidi nilitaka nipate uhakika kama kweli mtoto anafanana na mimi kweli nikamtafuta mzazi akanitumia picha za mtoto, hakuwa akifanana na mimi kwa chochote sikujali nikaendelea na maisha yangu.

Sasa imepita zaidi ya miaka miwili tangu Loveness ajifungue juzi juzi tu hapa kaanza kunichokoza tena sikumjali sana ila niliamua kutoa povu nikamwambia “wewe hunipendi na ulininyanyasa sana wakati ule nakuonyesha upendo, sasaivi nimeamua kuishi hivi na sipendi kuwa na mahusiano na mke wa mtu” alisikitika sana na kuniomba msamaha akidai kuwa hali ile ilitokea sababu ya ule ujauzito akidai huwa ni hali ya kawaida kwa wanawake kuchukia watu fulani wakiwa wajawazito pamoja na kujitetea kwake lakini sikumpa jibu kamili siku hii.

Japokuwa Loveness ni dem mkali sana na mtamu sana lakini sijafikiria kumrudia maana najua nikirudi nitanogewa na kuchomoka itakuwa kazi sana. Kuna siku alikuja sehemu tukakutana alikuja anapush ndinga ya maana sana anasema mume wake kamnunulia nikamwambia “kumbe sasaivi unapendwa kwanini usitulie tu na mshkaji?” Akanijibu sivyo kama nifikiriavyo hapo alipo jamaa ana siku mbili hajarudi nyumbani…….

hadi sasa sijamrudia huyu dem na najitahidi sana isitokee hivyo maana maumivu ya kuliwa mke si madogo na mbaya zaidi ukifumaniwa mziki wake hauchezeki.

Lesson learnt:
1. Mliooa onyesheni upendo kwa wake zenu wasiende kutafuta nje ya ndoa.
2. Kama mke wako ni mlevi na anatoka usiku peke yake, jitathmini.
Tuishi kwa akili na wanawake ,,siku zote nimekua nikimtafuta Nyoka anae ongea ,,ili aniambie ni akili zipi za kuishi na mwanamke aelewe,maana mwanamke nyoka alimwelewa,,,.
 
Mara ya kwanza tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali moja kwa moja ila tulibadilishana mawasiliano. Kilichonifanya nisiwaze kama ni mke wa mtu kwanza ni kumuona maeneo yale kwa muda ule na alikaa hadi saa8 usiku, wakati anaondoka nilimsindikiza hadi kwake akapiga simu wakaja kumfungulia geti akiwa anaingia ndani nilisikia kama sauti ya mwanamke ikimgombeza japokuwa sikuelewa walichokuwa wanaongea lakini nilijipa majibu kuwa huyu atakuwa anakaa kwa ndugu yake.

Mwanzoni mahusiano yalikuwa ya kawaida sana sababu baada ya kupeana mawasiliano sikumtafuta kabisa, siku moja akanipigia zaidi ya mara moja bahati mbaya sikupokea akanitumia sms “acha dharau!” Ukweli hakuwa ameniingia sana ni fujo zangu za pombe tu na tamaa ndio zilinifanya nimtongoze sikuile.

Baadae nikampigia akanipa mpango tukutane Kivukoni (sio jina sahihi) ni nje kabisa ya mji siku hii ilishindikana sababu nilikuwa busy, akanipanga siku nyingine tena nikaenda tukaonana hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana nae mchana tangu sikuile tulipoachana usiku aisee kumbe nilikuwa nachezea bahati huyu dem alikuwa mzuri sana alikuwa amevaa kwa kujiachia zaidi na alipendeza sana sikujilaumu kukutana nae kabisa zaidi nilijilaumu kwanini sikuchukua hatua mapema. Nilikula mzigo tukalala wote na kesho yake tukarudi mjini. Lakini hakuniambia kabisa kama ni mke wa mtu.

Nilianza kuchanganyikiwa na penzi la huyu mtoto mimi ndo nikawa msumbufu zaidi yake, muda mwingi nilipenda kuchat nae au kumpigia kumjulia hali, siku moja nilimpigia akaniambia “ntakupigia badae” kisha akakata simu. Jioni kweli akanitafuta na kuniomba msamaha kisha akaniambia anaomba tukutane jioni hiyo, tukatafuta sehemu tulivu tukachukua chumba na kwenda kunywa vinywaji vyetu ndani.

Tukiwa ndani akaanza kunipa full story kwamba yeye ni mke wa mtu ila akaniomba nisisitishe mahusiano yetu, anafanya hivyo kutafuta faraja maana mume wake ni malaya, mlevi sana na anapenda kulala nje kila akiwa off. Nilisikitika sana kusikia habari hizi kuwa natembea na mke wa mtu, pamoja na ushenzi wangu wote lakini hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutembea na mke wa mtu ukweli sikufurahi japokuwa siku hii pia sikumuacha hivihivi.

Tangu nisikie habari hii nikaanza kujiengua taratibu nikaanza kuulizia kwa watu kuhusu mume wa huyu demu, kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anamfahamu walisoma wote chuo jamaa yangu huyu nilimwambia ukweli sababu namuamini sana akaniambia niachane na huyo dem sababu anamjua jamaa yake vizuri kwanza ni mkorofi sana akanionyesha na picha yake huku akisema “fikiria siku unafumaniwa na hii njemba umeshikiwa silaha jamaa likitaka kukula jicho” niliwaza sana jamaa ni mtu wa gym amejaa hatari. Kusema ukweli niliamua kumpiga chini huyu demu lakini haikuwa ghafla ila nilianza kukata mawasiliano hadi ikafikia kipindi nikawa simpigii kabisa.

Siku moja nikiwa nagonga vitu vyangu nikakutana na rafiki yake mmoja kati ya wale wawili wa sikuile usiku akaniambia “Loveness (si jina halisi) anakutafuta sana yani ameshanisumbua sana anasema kuna issue ya muhimu sana.” Wakati huu nilikuwa natumia line yangu ya mtandao mwingine ambayo Love alikuwa haijui, nikamjibu “poa nitamtafuta”

Nikaamua kumtafuta muda huo Loveness aliongea akilalamika hadi analia akasema nimeamua kumuachia maumivu wakati aliniomba nimsaidie kupoza mateso anayoyapata toka kwa mumewe, mimi nilikomaa na msimamo wangu nikamwambia atafute namna nyingine lakini si kutoka nje ya ndoa. Alisikitika sana na mwisho akaniambia kwamba ana ujauzito na anahisi ni ujauzito wangu. Nilistuka sana kwa habari hii nikamshauri aitoe akakataa akasema bora azae iwe kumbukumbu yake kwa jinsi nilivyokuwa naonyesha mapenzi kwake, sikuwa na jinsi ya kufanya sababu yeye ndiye mwenye maamuzi nikatulia. Alikuja kunielewa lakini aliniomba tuwe tunakutana marachache kuongea tu na kubadilishana mawazo nilimkubalia.

kumbe lilikuwa kosa kubwa maana mapenzi yalipamba moto tena, ujauzito ulimfanya apendeze zaidi aling’aa na umbo likavutia zaidi nikajikuta naanza kuwa na wivu nae. Ilikuwa nikipiga asipopokea nachukia sana na kuanza kutuma sms za lawama hadi siku moja akanichana makavu “hivi wewe Mtata hujui kama mimi nimeolewa? Mbona unakuwa msumbufu hivyo” kauli hii iliniumiza sana kufikia kukosa usingizi.

Mimba ilivyozidi kukua ndivyo alivyozidi kunichukia zaidi akaanza kunipa masharti akanambia nisimpigie wala kumtumia sms hadi anitafute kwanza yeye wakati mwanzo nilikuwa huru zaidi ya mume wake hakuwa na hofu na chochote. Kipindi hiki alinitesa sana huyu mwanamke nilikuwa nampenda kichwa kuuma lakini yeye alikuwa hanitaki kabisa, kutokana na hali hii nilikata tamaa nikapiga moyo konde nikaamua kutulia nikaendelea na maisha mengine.

Miezi ikakatika siku moja nikiwa likizo kwetu rafiki yake akanipigia simu kunipa taarifa Loveness amejifungua akadai mtoto anafanana na mimi balaa. Sikushtushwa na taarifa hii zaidi nilitaka nipate uhakika kama kweli mtoto anafanana na mimi kweli nikamtafuta mzazi akanitumia picha za mtoto, hakuwa akifanana na mimi kwa chochote sikujali nikaendelea na maisha yangu.

Sasa imepita zaidi ya miaka miwili tangu Loveness ajifungue juzi juzi tu hapa kaanza kunichokoza tena sikumjali sana ila niliamua kutoa povu nikamwambia “wewe hunipendi na ulininyanyasa sana wakati ule nakuonyesha upendo, sasaivi nimeamua kuishi hivi na sipendi kuwa na mahusiano na mke wa mtu” alisikitika sana na kuniomba msamaha akidai kuwa hali ile ilitokea sababu ya ule ujauzito akidai huwa ni hali ya kawaida kwa wanawake kuchukia watu fulani wakiwa wajawazito pamoja na kujitetea kwake lakini sikumpa jibu kamili siku hii.

Japokuwa Loveness ni dem mkali sana na mtamu sana lakini sijafikiria kumrudia maana najua nikirudi nitanogewa na kuchomoka itakuwa kazi sana. Kuna siku alikuja sehemu tukakutana alikuja anapush ndinga ya maana sana anasema mume wake kamnunulia nikamwambia “kumbe sasaivi unapendwa kwanini usitulie tu na mshkaji?” Akanijibu sivyo kama nifikiriavyo hapo alipo jamaa ana siku mbili hajarudi nyumbani…….

hadi sasa sijamrudia huyu dem na najitahidi sana isitokee hivyo maana maumivu ya kuliwa mke si madogo na mbaya zaidi ukifumaniwa mziki wake hauchezeki.

Lesson learnt:
1. Mliooa onyesheni upendo kwa wake zenu wasiende kutafuta nje ya ndoa.
2. Kama mke wako ni mlevi na anatoka usiku peke yake, jitathmini.
Ulimla 0716?
 
Mara ya kwanza tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali moja kwa moja ila tulibadilishana mawasiliano. Kilichonifanya nisiwaze kama ni mke wa mtu kwanza ni kumuona maeneo yale kwa muda ule na alikaa hadi saa8 usiku, wakati anaondoka nilimsindikiza hadi kwake akapiga simu wakaja kumfungulia geti akiwa anaingia ndani nilisikia kama sauti ya mwanamke ikimgombeza japokuwa sikuelewa walichokuwa wanaongea lakini nilijipa majibu kuwa huyu atakuwa anakaa kwa ndugu yake.

Mwanzoni mahusiano yalikuwa ya kawaida sana sababu baada ya kupeana mawasiliano sikumtafuta kabisa, siku moja akanipigia zaidi ya mara moja bahati mbaya sikupokea akanitumia sms “acha dharau!” Ukweli hakuwa ameniingia sana ni fujo zangu za pombe tu na tamaa ndio zilinifanya nimtongoze sikuile.

Baadae nikampigia akanipa mpango tukutane Kivukoni (sio jina sahihi) ni nje kabisa ya mji siku hii ilishindikana sababu nilikuwa busy, akanipanga siku nyingine tena nikaenda tukaonana hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana nae mchana tangu sikuile tulipoachana usiku aisee kumbe nilikuwa nachezea bahati huyu dem alikuwa mzuri sana alikuwa amevaa kwa kujiachia zaidi na alipendeza sana sikujilaumu kukutana nae kabisa zaidi nilijilaumu kwanini sikuchukua hatua mapema. Nilikula mzigo tukalala wote na kesho yake tukarudi mjini. Lakini hakuniambia kabisa kama ni mke wa mtu.

Nilianza kuchanganyikiwa na penzi la huyu mtoto mimi ndo nikawa msumbufu zaidi yake, muda mwingi nilipenda kuchat nae au kumpigia kumjulia hali, siku moja nilimpigia akaniambia “ntakupigia badae” kisha akakata simu. Jioni kweli akanitafuta na kuniomba msamaha kisha akaniambia anaomba tukutane jioni hiyo, tukatafuta sehemu tulivu tukachukua chumba na kwenda kunywa vinywaji vyetu ndani.

Tukiwa ndani akaanza kunipa full story kwamba yeye ni mke wa mtu ila akaniomba nisisitishe mahusiano yetu, anafanya hivyo kutafuta faraja maana mume wake ni malaya, mlevi sana na anapenda kulala nje kila akiwa off. Nilisikitika sana kusikia habari hizi kuwa natembea na mke wa mtu, pamoja na ushenzi wangu wote lakini hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutembea na mke wa mtu ukweli sikufurahi japokuwa siku hii pia sikumuacha hivihivi.

Tangu nisikie habari hii nikaanza kujiengua taratibu nikaanza kuulizia kwa watu kuhusu mume wa huyu demu, kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anamfahamu walisoma wote chuo jamaa yangu huyu nilimwambia ukweli sababu namuamini sana akaniambia niachane na huyo dem sababu anamjua jamaa yake vizuri kwanza ni mkorofi sana akanionyesha na picha yake huku akisema “fikiria siku unafumaniwa na hii njemba umeshikiwa silaha jamaa likitaka kukula jicho” niliwaza sana jamaa ni mtu wa gym amejaa hatari. Kusema ukweli niliamua kumpiga chini huyu demu lakini haikuwa ghafla ila nilianza kukata mawasiliano hadi ikafikia kipindi nikawa simpigii kabisa.

Siku moja nikiwa nagonga vitu vyangu nikakutana na rafiki yake mmoja kati ya wale wawili wa sikuile usiku akaniambia “Loveness (si jina halisi) anakutafuta sana yani ameshanisumbua sana anasema kuna issue ya muhimu sana.” Wakati huu nilikuwa natumia line yangu ya mtandao mwingine ambayo Love alikuwa haijui, nikamjibu “poa nitamtafuta”

Nikaamua kumtafuta muda huo Loveness aliongea akilalamika hadi analia akasema nimeamua kumuachia maumivu wakati aliniomba nimsaidie kupoza mateso anayoyapata toka kwa mumewe, mimi nilikomaa na msimamo wangu nikamwambia atafute namna nyingine lakini si kutoka nje ya ndoa. Alisikitika sana na mwisho akaniambia kwamba ana ujauzito na anahisi ni ujauzito wangu. Nilistuka sana kwa habari hii nikamshauri aitoe akakataa akasema bora azae iwe kumbukumbu yake kwa jinsi nilivyokuwa naonyesha mapenzi kwake, sikuwa na jinsi ya kufanya sababu yeye ndiye mwenye maamuzi nikatulia. Alikuja kunielewa lakini aliniomba tuwe tunakutana marachache kuongea tu na kubadilishana mawazo nilimkubalia.

kumbe lilikuwa kosa kubwa maana mapenzi yalipamba moto tena, ujauzito ulimfanya apendeze zaidi aling’aa na umbo likavutia zaidi nikajikuta naanza kuwa na wivu nae. Ilikuwa nikipiga asipopokea nachukia sana na kuanza kutuma sms za lawama hadi siku moja akanichana makavu “hivi wewe Mtata hujui kama mimi nimeolewa? Mbona unakuwa msumbufu hivyo” kauli hii iliniumiza sana kufikia kukosa usingizi.

Mimba ilivyozidi kukua ndivyo alivyozidi kunichukia zaidi akaanza kunipa masharti akanambia nisimpigie wala kumtumia sms hadi anitafute kwanza yeye wakati mwanzo nilikuwa huru zaidi ya mume wake hakuwa na hofu na chochote. Kipindi hiki alinitesa sana huyu mwanamke nilikuwa nampenda kichwa kuuma lakini yeye alikuwa hanitaki kabisa, kutokana na hali hii nilikata tamaa nikapiga moyo konde nikaamua kutulia nikaendelea na maisha mengine.

Miezi ikakatika siku moja nikiwa likizo kwetu rafiki yake akanipigia simu kunipa taarifa Loveness amejifungua akadai mtoto anafanana na mimi balaa. Sikushtushwa na taarifa hii zaidi nilitaka nipate uhakika kama kweli mtoto anafanana na mimi kweli nikamtafuta mzazi akanitumia picha za mtoto, hakuwa akifanana na mimi kwa chochote sikujali nikaendelea na maisha yangu.

Sasa imepita zaidi ya miaka miwili tangu Loveness ajifungue juzi juzi tu hapa kaanza kunichokoza tena sikumjali sana ila niliamua kutoa povu nikamwambia “wewe hunipendi na ulininyanyasa sana wakati ule nakuonyesha upendo, sasaivi nimeamua kuishi hivi na sipendi kuwa na mahusiano na mke wa mtu” alisikitika sana na kuniomba msamaha akidai kuwa hali ile ilitokea sababu ya ule ujauzito akidai huwa ni hali ya kawaida kwa wanawake kuchukia watu fulani wakiwa wajawazito pamoja na kujitetea kwake lakini sikumpa jibu kamili siku hii.

Japokuwa Loveness ni dem mkali sana na mtamu sana lakini sijafikiria kumrudia maana najua nikirudi nitanogewa na kuchomoka itakuwa kazi sana. Kuna siku alikuja sehemu tukakutana alikuja anapush ndinga ya maana sana anasema mume wake kamnunulia nikamwambia “kumbe sasaivi unapendwa kwanini usitulie tu na mshkaji?” Akanijibu sivyo kama nifikiriavyo hapo alipo jamaa ana siku mbili hajarudi nyumbani…….

hadi sasa sijamrudia huyu dem na najitahidi sana isitokee hivyo maana maumivu ya kuliwa mke si madogo na mbaya zaidi ukifumaniwa mziki wake hauchezeki.

Lesson learnt:
1. Mliooa onyesheni upendo kwa wake zenu wasiende kutafuta nje ya ndoa.
2. Kama mke wako ni mlevi na anatoka usiku peke yake, jitathmini.
Huyo Mume wa jamaa anakunywa pombe sana na halali nyumbani huenda ni kutokana na Gubu za huyo mwanamke. Anamsingizia tu kwamba ni mlevi na malaya lakini kwa stori hii na mienendo ya huyo maza uwezekano mkubwa ni yeye Mume amemshindwa.

Na inawezekana yeye ndie dereva wa hiyi familia.

hawezi kuwa anajiamini kiasi hicho. No, No, Big No.
 
Mara ya kwanza tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali moja kwa moja ila tulibadilishana mawasiliano. Kilichonifanya nisiwaze kama ni mke wa mtu kwanza ni kumuona maeneo yale kwa muda ule na alikaa hadi saa8 usiku, wakati anaondoka nilimsindikiza hadi kwake akapiga simu wakaja kumfungulia geti akiwa anaingia ndani nilisikia kama sauti ya mwanamke ikimgombeza japokuwa sikuelewa walichokuwa wanaongea lakini nilijipa majibu kuwa huyu atakuwa anakaa kwa ndugu yake.

Mwanzoni mahusiano yalikuwa ya kawaida sana sababu baada ya kupeana mawasiliano sikumtafuta kabisa, siku moja akanipigia zaidi ya mara moja bahati mbaya sikupokea akanitumia sms “acha dharau!” Ukweli hakuwa ameniingia sana ni fujo zangu za pombe tu na tamaa ndio zilinifanya nimtongoze sikuile.

Baadae nikampigia akanipa mpango tukutane Kivukoni (sio jina sahihi) ni nje kabisa ya mji siku hii ilishindikana sababu nilikuwa busy, akanipanga siku nyingine tena nikaenda tukaonana hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana nae mchana tangu sikuile tulipoachana usiku aisee kumbe nilikuwa nachezea bahati huyu dem alikuwa mzuri sana alikuwa amevaa kwa kujiachia zaidi na alipendeza sana sikujilaumu kukutana nae kabisa zaidi nilijilaumu kwanini sikuchukua hatua mapema. Nilikula mzigo tukalala wote na kesho yake tukarudi mjini. Lakini hakuniambia kabisa kama ni mke wa mtu.

Nilianza kuchanganyikiwa na penzi la huyu mtoto mimi ndo nikawa msumbufu zaidi yake, muda mwingi nilipenda kuchat nae au kumpigia kumjulia hali, siku moja nilimpigia akaniambia “ntakupigia badae” kisha akakata simu. Jioni kweli akanitafuta na kuniomba msamaha kisha akaniambia anaomba tukutane jioni hiyo, tukatafuta sehemu tulivu tukachukua chumba na kwenda kunywa vinywaji vyetu ndani.

Tukiwa ndani akaanza kunipa full story kwamba yeye ni mke wa mtu ila akaniomba nisisitishe mahusiano yetu, anafanya hivyo kutafuta faraja maana mume wake ni malaya, mlevi sana na anapenda kulala nje kila akiwa off. Nilisikitika sana kusikia habari hizi kuwa natembea na mke wa mtu, pamoja na ushenzi wangu wote lakini hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kutembea na mke wa mtu ukweli sikufurahi japokuwa siku hii pia sikumuacha hivihivi.

Tangu nisikie habari hii nikaanza kujiengua taratibu nikaanza kuulizia kwa watu kuhusu mume wa huyu demu, kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anamfahamu walisoma wote chuo jamaa yangu huyu nilimwambia ukweli sababu namuamini sana akaniambia niachane na huyo dem sababu anamjua jamaa yake vizuri kwanza ni mkorofi sana akanionyesha na picha yake huku akisema “fikiria siku unafumaniwa na hii njemba umeshikiwa silaha jamaa likitaka kukula jicho” niliwaza sana jamaa ni mtu wa gym amejaa hatari. Kusema ukweli niliamua kumpiga chini huyu demu lakini haikuwa ghafla ila nilianza kukata mawasiliano hadi ikafikia kipindi nikawa simpigii kabisa.

Siku moja nikiwa nagonga vitu vyangu nikakutana na rafiki yake mmoja kati ya wale wawili wa sikuile usiku akaniambia “Loveness (si jina halisi) anakutafuta sana yani ameshanisumbua sana anasema kuna issue ya muhimu sana.” Wakati huu nilikuwa natumia line yangu ya mtandao mwingine ambayo Love alikuwa haijui, nikamjibu “poa nitamtafuta”

Nikaamua kumtafuta muda huo Loveness aliongea akilalamika hadi analia akasema nimeamua kumuachia maumivu wakati aliniomba nimsaidie kupoza mateso anayoyapata toka kwa mumewe, mimi nilikomaa na msimamo wangu nikamwambia atafute namna nyingine lakini si kutoka nje ya ndoa. Alisikitika sana na mwisho akaniambia kwamba ana ujauzito na anahisi ni ujauzito wangu. Nilistuka sana kwa habari hii nikamshauri aitoe akakataa akasema bora azae iwe kumbukumbu yake kwa jinsi nilivyokuwa naonyesha mapenzi kwake, sikuwa na jinsi ya kufanya sababu yeye ndiye mwenye maamuzi nikatulia. Alikuja kunielewa lakini aliniomba tuwe tunakutana marachache kuongea tu na kubadilishana mawazo nilimkubalia.

kumbe lilikuwa kosa kubwa maana mapenzi yalipamba moto tena, ujauzito ulimfanya apendeze zaidi aling’aa na umbo likavutia zaidi nikajikuta naanza kuwa na wivu nae. Ilikuwa nikipiga asipopokea nachukia sana na kuanza kutuma sms za lawama hadi siku moja akanichana makavu “hivi wewe Mtata hujui kama mimi nimeolewa? Mbona unakuwa msumbufu hivyo” kauli hii iliniumiza sana kufikia kukosa usingizi.

Mimba ilivyozidi kukua ndivyo alivyozidi kunichukia zaidi akaanza kunipa masharti akanambia nisimpigie wala kumtumia sms hadi anitafute kwanza yeye wakati mwanzo nilikuwa huru zaidi ya mume wake hakuwa na hofu na chochote. Kipindi hiki alinitesa sana huyu mwanamke nilikuwa nampenda kichwa kuuma lakini yeye alikuwa hanitaki kabisa, kutokana na hali hii nilikata tamaa nikapiga moyo konde nikaamua kutulia nikaendelea na maisha mengine.

Miezi ikakatika siku moja nikiwa likizo kwetu rafiki yake akanipigia simu kunipa taarifa Loveness amejifungua akadai mtoto anafanana na mimi balaa. Sikushtushwa na taarifa hii zaidi nilitaka nipate uhakika kama kweli mtoto anafanana na mimi kweli nikamtafuta mzazi akanitumia picha za mtoto, hakuwa akifanana na mimi kwa chochote sikujali nikaendelea na maisha yangu.

Sasa imepita zaidi ya miaka miwili tangu Loveness ajifungue juzi juzi tu hapa kaanza kunichokoza tena sikumjali sana ila niliamua kutoa povu nikamwambia “wewe hunipendi na ulininyanyasa sana wakati ule nakuonyesha upendo, sasaivi nimeamua kuishi hivi na sipendi kuwa na mahusiano na mke wa mtu” alisikitika sana na kuniomba msamaha akidai kuwa hali ile ilitokea sababu ya ule ujauzito akidai huwa ni hali ya kawaida kwa wanawake kuchukia watu fulani wakiwa wajawazito pamoja na kujitetea kwake lakini sikumpa jibu kamili siku hii.

Japokuwa Loveness ni dem mkali sana na mtamu sana lakini sijafikiria kumrudia maana najua nikirudi nitanogewa na kuchomoka itakuwa kazi sana. Kuna siku alikuja sehemu tukakutana alikuja anapush ndinga ya maana sana anasema mume wake kamnunulia nikamwambia “kumbe sasaivi unapendwa kwanini usitulie tu na mshkaji?” Akanijibu sivyo kama nifikiriavyo hapo alipo jamaa ana siku mbili hajarudi nyumbani…….

hadi sasa sijamrudia huyu dem na najitahidi sana isitokee hivyo maana maumivu ya kuliwa mke si madogo na mbaya zaidi ukifumaniwa mziki wake hauchezeki.

Lesson learnt:
1. Mliooa onyesheni upendo kwa wake zenu wasiende kutafuta nje ya ndoa.
2. Kama mke wako ni mlevi na anatoka usiku peke yake, jitathmini.


unaweza fanya hayo yote ikapatikana sababu nyingine.
 
Huyo dem angechukua magonjwa kwa mumewe kitombi akuletee, bora ulivyokacha mze.
 
Tuliwaambia kuwa wanawake wanatongoza wanaume watu mkabisha na kusema sisi ndio Malaya haya sasa oneni kisa hiki....!


Wanaume tupunguze ubishi na tukubari kujifunza kutoka kwa wenzetu .

Hapo utakuta jamaa analala nje ili kutafuta Mali lenyewe linawaza michepuko tu kwa sababu lenyewe ni Malaya ...


Wanaume tujipende
 
Mara ya kwanza tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali moja kwa moja ila tulibadilishana mawasiliano. Kilichonifanya nisiwaze kama ni mke wa mtu kwanza ni kumuona maeneo yale kwa muda ule na alikaa hadi saa8 usiku, wakati anaondoka nilimsindikiza hadi kwake akapiga simu wakaja kumfungulia geti akiwa anaingia ndani nilisikia kama sauti ya mwanamke ikimgombeza japokuwa sikuelewa walichokuwa wanaongea lakini nilijipa majibu kuwa huyu atakuwa anakaa kwa ndugu yake.
Usimwamini mke wa mtu
akikuambia ananyanyasika na kuteswa kwenye ndoa yake...mara nyingi hizi ni sounds tu za kutaka kukuondolea guilty conscienceness ili unkule huku ukijua unamsaidia kumpunguzia maumivu na pia kumlipizia mumewe! Hawa ni machangu tu waliojipenyeza kwenye ndoa na kwa kweli hawawezi tosheka🤣😂🤣! Mie na mke wa mtu sidanganyiki kihivyo...labda niamue tu kufanya vurugu😜!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom