SoC03 Mke mwenye moyo mweupe ni mnyororo imara unaovuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali na kuufikisha nyumbani kwake

Stories of Change - 2023 Competition

La3

Member
Jul 29, 2022
14
14
Mke mwenye moyo mweupe ni mke mwema kupita kawaida. Ni mke ambaye yupo tayari kusaidia mtu aliyekimbiwa na ndugu kwa sababu ya changamoto ya maradhi.

Ni mke mwenye upendo, utu wema na furaha kwa watu wote, hata kwa wale wasiompenda na kumtakia mema. Ni mke anayejali wahitaji hasa yatima, wajane, walemavu (mfano; wenye changamoto ya kuona, kutembea, walemavu wa miguu, changamoto ya kusikia wagonjwa, waliopooza)
wenye Hali ya kukosa chakula , mavazi, na hata shida nyingine zote.

Mke mwenye moyo mweupe lazima mume wake afanikiwe katika utawala bora kama mume ni kiongozi. Pia MUNGU anabariki familia yake na kuweza kuzaa viongozi Bora, wataalamu mbalimbali wa viwango vya juu na wenye tija kwa taifa.

Lengo la andiko hili ni kuonesha faida za kutoa kuliko kupokea kwa mtu, familia, Jamii na taifa Kwa ujumla.
Nchi imara inaanza na familia imara, na familia imara Ina nguzo imara ambavyo ni mke mwenye moyo mweupe na si vinginevyo. Mabadiliko yoyote yanaanza na familia imara kwanza Ndipo yaende kwa Jamii.

Zifuatazo ni sifa za mke mwenye moyo mweupe ambazo vijana wengi hawatazami;

1. Uchapakazi
Mke sahihi ni lazima awe hodari wa kazi za mikono ndio maana biblia kwenye kitabu cha mwisho mithali, mke mwema huliona shamba akalinunua. Huleta chakula kutoka mbali lakini angalizo hapa mwanaume anatakiwa awe mchapakazi mara mbili zaidi ya mwanamke. Mwanamke akiwa na shughuli yake atatumia sehemu ya kipato chake kuwakumbuka wahitaji.

Mke asipojishughulisha atakuwaje mwema, atapata wapi sadaka za kuwapa wahitaji.
Mke huyu mwenye moyo mweupe akiwa kiongozi, uongozi wake utatukuka mno wa sababu kwa namna yoyote Ile MUNGU atakuwa upande wake. Na kama mume wake ni kiongozi basi atafanikiwa sana katika uongozi wake na Jamii yake anayoiongoza itafanikiwa sana.

2. Mke anayejali wenye shida, changamoto na matatizo mbalimbali bila kubagua. Wakati wenye nyumba wengine wanawafukuza watu walioshindwa kulipa kodi kwa sababu ya kuumwa na kushindwa kuingiza kipato, mke mwema kama yeye ndiye mwenye nyumba hawezi kufanya kitendo hiki. Badala yake yupo tayari kusaidia kama jambo hilo lipo ndani ya uwezo wake.

Na kama ana nafasi nyumbani kwake yupo tayari kumkaribisha yule aliyefukuzwa na mwenye nyumba kule alikopanga na kusaidia matibabu, ada ya wanafunzi n.k

Mke mwenye moyo mweupe ana huruma, lakini,
Mke mwenye moyo mweusi amekosa utu.
Mke mwenye moyo mweupe anasababisha mabadiliko ya kiuchumi kwenye kaya yake na Jamii yake endapo yeye ni kiongozi au ni mke wa kiongozi.

3.Mke ambaye yupo tayari kutumia sehemu ya pesa zake Hali kugusa maisha ya wahitaji wanaomzunguka na walioko mbali, wakija kwake wanaoomba unga yupo tayari kutoa kiasi kwa moyo mweupe kabisa, waliokosa mavazi, (mke mwema sio mbinafsi, sio mchoyo, hana roho mbaya na roho ngumu kiasi cha kukataa kusaidia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake) na pia yupo tayari kushiriki charity mbalimbali maana kugusa maisha ya wahitaji wakati mwingine mtu tu peke yake hawezi isipokuwa Kwa kushirikiana na wenzake kufanya matendo ya huruma.

Mke mwenye moyo mweupe hufukuza laana nyumbani kwake Lakini;
Mke mwenye moyo mweusi huzikumbatia laana na nuksi nyumbani kwake.

4. Kuwa na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima Kila mwaka hata mara Moja, mbili, tano, hata mara kumi akiwa na familia yake Ili kurithisha moyo mweupe Kwa watoto, wajukuu na vizazi vijavyo. Hata mara moja tu kwa mwaka inatosha sana.(Sio lazima uwe na vitu vingi vya kwenda navyo, anza na vilivyo ndani ya uwezo wake Mfano;(sabuni, sukari, chumvi, boks za kalamu, daftari kadhaa nk). Unaweza kuwatembelea siku za sikukuu, siku yako ya kuzaliwa n.k

Sasa utaratibu huu ni lazima uwe sehemu ya maisha yake kabla hata ya kuolewa.

Mke mwema sio kuimba kwaya, sio kubeba biblia, wala sio kuomba sana pekee, Bali ni pamoja na kutambua kwamba kuna watoto wasio na mama wala baba wanaohitaji faraja na upendo wake.

Mke mwenye moyo mweupe anakimbilia kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya baraka igharikishe nyumba yake.

Mke mwenye moyo mweusi anakwepa kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya laana igharikishe nyumba yake.
5. Mke mwema yupo tayari kusaidia ndugu zake, rafiki zake hata watoto wao.

Mwanamke mbaya huchukua watoto wa ndugu zake na kuanzia kuwatesa, kuwanyanyasa, kuwafanyia matendo mengi ya hovyo. Anatumia nguvu na gharama kubwa sana kuvuta kontena la laana kuelekea nyumbani kwake (katika familia yake)

Mwanamke mbaya anachukua mtoto wa ndugu akiahidi kumpeleka shule halafu hampeleki, anaajiri dada wa kazi halafu hamlipi mshahara wake Kwa wakati. Anamfanyisha kazi zote tena wengine wanataka dada wa kazi afanye usafi Hadi chumbani anakolala na mume wake.

Lakini mke mwenye moyo mweupe hana tabia mbaya kama hizi.
Mke mwenye moyo mweupe anatumia nguvu kubwa kupita kiasi kuvuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali kulileta nyumbani kwake.

6.Mke mwenye moyo mweupe yupo tayari kusaidia wahitaji wenye changamoto kubwa zaidi mfano; mwanamke aliyepooza na amekimbiwa na ndugu zake wote, yupo tayari kusaidia kujitolea kumuogesha, kumfulia nguo, kumsafishia nyumba na kadhalika. Yupo tayari kumfadhili yeyote anayedaiwa kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake. Hayupo tayari kuona mwingine anaaibika.

7. Mke mwema hafurahi pindi mtu mwingine anapopatwa na mabaya. Hafurahi wala kutoa maneno ya kejeli pindi mtu mwingine anapopatwa na nyakati ngumu. Watoto wa wengine wakifeli hafurahi bali anahuzunika. Mke mwema anafurahi watoto wa wengine wakifaulu, wakifanya vizuri. Mke mbaya akisikia habari nzuri za kuhusi watu wengine anakasirika, lakini akisikia habari mbaya za kuhusi watu wengine anafurahi.

Mke mwenye moyo mweupe anatanua mlango wa kupitishia baraka na mafanikio kuingia nyumbani kwake, kwa mume wake na watoto wake.
Na mke mwenye moyo mweusi anatanua mlango wa kupitishia laana kuingia nyumbani kwake, Kwa mume wake na watoto wake.

8. Mke mwenye moyo mweupe akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli, kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anahuzunika, wakati mwingine anaweza kuwaombea Kwa MUNGU. Kichaa wala mlemavu hamchekeshi mwanamke mwenye moyo mweupe Bali anamhuzunisha, lakini mke mwenye moyo mweusi akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anafurahi, anaenda kuwasema Kwa wambea wenzie.

Ni mke mwema peke yake hawezi kushiriki vitendo vya namna hii.
Mke mwenye moyo mweupe anatengeneza mfereji wa kupitishia baraka na mafanikio kutoka mbali na kuyaelekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.
Mke mwenye moyo mweusi anatengeneza mfereji wa kupitishia laana na nuksi kutoka mbali kisha kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake na watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

9. Mke mwenye moyo mweupe anawapenda ndugu zake na ndugu wa mume wake. Anawapenda wote bila kubagua, anaijua thamani ya utu. Hata kama ndugu zake au wa mume wake ni wakorofi sana yeye anawapenda lakini mke mwema anawapenda hivyo hivyo.

Mke mwenye moyo mweusi hapendi mama wa mume, hapendi ndugu wa mume, hapendi hata ndugu zake mwenyewe.

Mke mwenye moyo mweupe anachochea moto wa kupitishia baraka kwake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mke mwenye moyo mweusi anachochea moto wa kupitishia laana kwake, kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mwanamke mwenye moyo mweusi(mke mbaya) ni mwanamke hatari sana kwenye ndoa. Hana haki ya kuwa mke. Hawezi kubadilisha na mwanaume. Ukimchunguza mwanamke Kwa miaka angalau miwili tu, utamjua tabia zake, unaoaje mtu hajawahi hata kutembelea kituo cha yatima. Mchunguze uone anawachukuliaje vichaa, walemavu n.k

Mwanamke mwenye moyo mweupe ni mtu salama anayehitajika kwenye hizi ndoa za sasa zinazoyumba, zinazokosa nguvu ya kuhimili migongano.

""Mke mwenye moyo mweupe anazifuata baraka mbali sana, zilikofichwa na kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo"".

Mke mwenye moyo mweupe ndio chanzo cha mabadiliko kwa sababu ana nguvu ya kurithisha moyo huu mweupe Kwa watoto, wajukuu na vitukuu akishirikiana na mume wake ndipo mapinduzi ya kiutawala yatatokea katika Jamii. Jamii yenye moyo mweupe inaanza na mke mwenye moyo mweupe.

Hitimisho
Nchi nyingi duniani zilizobarikiwa kiuchumi ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea kusaidia na kukopesha nchi maskini, nchi nyingi za ulaya zinafadhili sana nchi maskini ndio maana uchumi wake ni mkubwa sana na inasababisha watu maskini kutoka nchi zetu kukimbilia hukohuko.

Sasa tukitaka mabadiliko katika utawala ni muhimu tukaanza na mke wa huyu mnayetaka atawale, je, ana moyo mweupe wa kujitolea, ndugu zake wanamzungumziaje? Kama ana moyo mweupe basi uongozi wa mume wake utafanikiwa, au kama yeye ndiye kiongozi basi uongozi wake utafanikiwa sana na pia Jamii yake ikahamasika kujitolea kuwa na moyo mweupe kama taifa, basi uchumi wa nchi utapata mafanikio sana.
Ni kweli maombi ya kuombea nchi yana faida lakini watu wake wakiamua kuwa na moyo mweupe nchi kama nchi itafanikiwa sana, ndipo wasomi wake watakuwa na tija kwa taifa.

Sasa tukubali kubadilika, makanisani, misikitini na kwenye semina mbalimbali, watu wa mikoa mbalimbali wahamasishwe kujitolea kusaidia wahitaji waliopo nchini kwao halafu waanze kuvuka mipaka, Ndipo MUNGU atafungua milango ya mafanikio katika nchi.

Mabadiliko haya hayatokei hivihivi tu, yanaanza na mke mwenye moyo mweupe. Mke mwenye moyo mweupe ni chanzo cha mapinduzi ya kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Mke mwema hawezi kuwa na mume muuaji, katili, mwizi n.k

Atamuombea Kila wakati.
 
Mke mwenye moyo mweupe ni mke mwema kupita kawaida. Ni mke ambaye yupo tayari kusaidia mtu aliyekimbiwa na ndugu kwa sababu ya changamoto ya maradhi,
Ni mke mwenye upendo, utu wema na furaha kwa watu wote, hata kwa wale wasiompenda na kumtakia mema. Ni mke anayejali wahitaji hasa yatima, wajane, walemavu (mfano; wenye changamoto ya kuona, kutembea, walemavu wa miguu, changamoto ya kusikia wagonjwa, waliopooza)
wenye Hali ya kukosa chakula , mavazi, na hata shida nyingine zote.
Mke mwenye moyo mweupe lazima mume wake afanikiwe katika utawala bora kama mume ni kiongozi. Pia MUNGU anabariki familia yake na kuweza kuzaa viongozi Bora, wataalamu mbalimbali wa viwango vya juu na wenye tija kwa taifa.

Lengo la andiko hili ni kuonesha faida za kutoa kuliko kupokea kwa mtu, familia, Jamii na taifa Kwa ujumla.
Nchi imara inaanza na familia imara, na familia imara Ina nguzo imara ambavyo ni mke mwenye moyo mweupe na si vinginevyo. Mabadiliko yoyote yanaanza na familia imara kwanza Ndipo yaende kwa Jamii.

Zifuatazo ni sifa za mke mwenye moyo mweupe ambazo vijana wengi hawatazami;

1.Uchapakazi
Mke sahihi ni lazima awe hodari wa kazi za mikono ndio maana biblia kwenye kitabu cha mwisho mithali, mke mwema huliona shamba akalinunua. Huleta chakula kutoka mbali lakini angalizo hapa mwanaume anatakiwa awe mchapakazi mara mbili zaidi ya mwanamke. Mwanamke akiwa na shughuli yake atatumia sehemu ya kipato chake kuwakumbuka wahitaji.
Mke asipojishughulisha atakuwaje mwema, atapata wapi sadaka za kuwapa wahitaji.
Mke huyu mwenye moyo mweupe akiwa kiongozi, uongozi wake utatukuka mno wa sababu kwa namna yoyote Ile MUNGU atakuwa upande wake. Na kama mume wake ni kiongozi basi atafanikiwa sana katika uongozi wake na Jamii yake anayoiongoza itafanikiwa sana.

2. Mke anayejali wenye shida, changamoto na matatizo mbalimbali bila kubagua. Wakati wenye nyumba wengine wanawafukuza watu walioshindwa kulipa kodi kwa sababu ya kuumwa na kushindwa kuingiza kipato, mke mwema kama yeye ndiye mwenye nyumba hawezi kufanya kitendo hiki. Badala yake yupo tayari kusaidia kama jambo hilo lipo ndani ya uwezo wake.

Na kama ana nafasi nyumbani kwake yupo tayari kumkaribisha yule aliyefukuzwa na mwenye nyumba kule alikopanga na kusaidia matibabu, ada ya wanafunzi n.k

Mke mwenye moyo mweupe ana huruma, lakini,
Mke mwenye moyo mweusi amekosa utu.
Mke mwenye moyo mweupe anasababisha mabadiliko ya kiuchumi kwenye kaya yake na Jamii yake endapo yeye ni kiongozi au ni mke wa kiongozi.

3.Mke ambaye yupo tayari kutumia sehemu ya pesa zake Hali kugusa maisha ya wahitaji wanaomzunguka na walioko mbali, wakija kwake wanaoomba unga yupo tayari kutoa kiasi kwa moyo mweupe kabisa, waliokosa mavazi, (mke mwema sio mbinafsi, sio mchoyo, hana roho mbaya na roho ngumu kiasi cha kukataa kusaidia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake) na pia yupo tayari kushiriki charity mbalimbali maana kugusa maisha ya wahitaji wakati mwingine mtu tu peke yake hawezi isipokuwa Kwa kushirikiana na wenzake kufanya matendo ya huruma.
Mke mwenye moyo mweupe hufukuza laana nyumbani kwake Lakini;
Mke mwenye moyo mweusi huzikumbatia laana na nuksi nyumbani kwake.

4. Kuwa na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima Kila mwaka hata mara Moja, mbili, tano, hata mara kumi akiwa na familia yake Ili kurithisha moyo mweupe Kwa watoto, wajukuu na vizazi vijavyo. Hata mara moja tu kwa mwaka inatosha sana.(Sio lazima uwe na vitu vingi vya kwenda navyo, anza na vilivyo ndani ya uwezo wake Mfano;(sabuni, sukari, chumvi, boks za kalamu, daftari kadhaa nk). Unaweza kuwatembelea siku za sikukuu, siku yako ya kuzaliwa n.k

Sasa utaratibu huu ni lazima uwe sehemu ya maisha yake kabla hata ya kuolewa.

Mke mwema sio kuimba kwaya, sio kubeba biblia, wala sio kuomba sana pekee, Bali ni pamoja na kutambua kwamba kuna watoto wasio na mama wala baba wanaohitaji faraja na upendo wake.

Mke mwenye moyo mweupe anakimbilia kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya baraka igharikishe nyumba yake.

Mke mwenye moyo mweusi anakwepa kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya laana igharikishe nyumba yake.
5. Mke mwema yupo tayari kusaidia ndugu zake, rafiki zake hata watoto wao.

Mwanamke mbaya huchukua watoto wa ndugu zake na kuanzia kuwatesa, kuwanyanyasa, kuwafanyia matendo mengi ya hovyo. Anatumia nguvu na gharama kubwa sana kuvuta kontena la laana kuelekea nyumbani kwake (katika familia yake)

Mwanamke mbaya anachukua mtoto wa ndugu akiahidi kumpeleka shule halafu hampeleki, anaajiri dada wa kazi halafu hamlipi mshahara wake Kwa wakati. Anamfanyisha kazi zote tena wengine wanataka dada wa kazi afanye usafi Hadi chumbani anakolala na mume wake.

Lakini mke mwenye moyo mweupe hana tabia mbaya kama hizi.
Mke mwenye moyo mweupe anatumia nguvu kubwa kupita kiasi kuvuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali kulileta nyumbani kwake.

6.Mke mwenye moyo mweupe yupo tayari kusaidia wahitaji wenye changamoto kubwa zaidi mfano; mwanamke aliyepooza na amekimbiwa na ndugu zake wote, yupo tayari kusaidia kujitolea kumuogesha, kumfulia nguo, kumsafishia nyumba na kadhalika. Yupo tayari kumfadhili yeyote anayedaiwa kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake. Hayupo tayari kuona mwingine anaaibika.

7. Mke mwema hafurahi pindi mtu mwingine anapopatwa na mabaya. Hafurahi wala kutoa maneno ya kejeli pindi mtu mwingine anapopatwa na nyakati ngumu. Watoto wa wengine wakifeli hafurahi bali anahuzunika. Mke mwema anafurahi watoto wa wengine wakifaulu, wakifanya vizuri. Mke mbaya akisikia habari nzuri za kuhusi watu wengine anakasirika, lakini akisikia habari mbaya za kuhusi watu wengine anafurahi.

Mke mwenye moyo mweupe anatanua mlango wa kupitishia baraka na mafanikio kuingia nyumbani kwake, kwa mume wake na watoto wake.
Na mke mwenye moyo mweusi anatanua mlango wa kupitishia laana kuingia nyumbani kwake, Kwa mume wake na watoto wake.

8. Mke mwenye moyo mweupe akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli, kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anahuzunika, wakati mwingine anaweza kuwaombea Kwa MUNGU. Kichaa wala mlemavu hamchekeshi mwanamke mwenye moyo mweupe Bali anamhuzunisha, lakini mke mwenye moyo mweusi akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anafurahi, anaenda kuwasema Kwa wambea wenzie.

Ni mke mwema peke yake hawezi kushiriki vitendo vya namna hii.
Mke mwenye moyo mweupe anatengeneza mfereji wa kupitishia baraka na mafanikio kutoka mbali na kuyaelekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.
Mke mwenye moyo mweusi anatengeneza mfereji wa kupitishia laana na nuksi kutoka mbali kisha kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake na watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

9. Mke mwenye moyo mweupe anawapenda ndugu zake na ndugu wa mume wake. Anawapenda wote bila kubagua, anaijua thamani ya utu. Hata kama ndugu zake au wa mume wake ni wakorofi sana yeye anawapenda lakini mke mwema anawapenda hivyo hivyo.

Mke mwenye moyo mweusi hapendi mama wa mume, hapendi ndugu wa mume, hapendi hata ndugu zake mwenyewe.

Mke mwenye moyo mweupe anachochea moto wa kupitishia baraka kwake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mke mwenye moyo mweusi anachochea moto wa kupitishia laana kwake, kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mwanamke mwenye moyo mweusi(mke mbaya) ni mwanamke hatari sana kwenye ndoa. Hana haki ya kuwa mke. Hawezi kubadilisha na mwanaume. Ukimchunguza mwanamke Kwa miaka angalau miwili tu, utamjua tabia zake, unaoaje mtu hajawahi hata kutembelea kituo cha yatima. Mchunguze uone anawachukuliaje vichaa, walemavu n.k

Mwanamke mwenye moyo mweupe ni mtu salama anayehitajika kwenye hizi ndoa za sasa zinazoyumba, zinazokosa nguvu ya kuhimili migongano.

""Mke mwenye moyo mweupe anazifuata baraka mbali sana, zilikofichwa na kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo"".

Mke mwenye moyo mweupe ndio chanzo cha mabadiliko kwa sababu ana nguvu ya kurithisha moyo huu mweupe Kwa watoto, wajukuu na vitukuu akishirikiana na mume wake ndipo mapinduzi ya kiutawala yatatokea katika Jamii. Jamii yenye moyo mweupe inaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Hitimisho,
Nchi nyingi duniani zilizobarikiwa kiuchumi ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea kusaidia na kukopesha nchi maskini, nchi nyingi za ulaya zinafadhili sana nchi maskini ndio maana uchumi wake ni mkubwa sana na inasababisha watu maskini kutoka nchi zetu kukimbilia hukohuko.
Sasa tukitaka mabadiliko katika utawala ni muhimu tukaanza na mke wa huyu mnayetaka atawale, je, ana moyo mweupe wa kujitolea, ndugu zake wanamzungumziaje? Kama ana moyo mweupe basi uongozi wa mume wake utafanikiwa, au kama yeye ndiye kiongozi basi uongozi wake utafanikiwa sana na pia Jamii yake ikahamasika kujitolea kuwa na moyo mweupe kama taifa, basi uchumi wa nchi utapata mafanikio sana.
Ni kweli maombi ya kuombea nchi yana faida lakini watu wake wakiamua kuwa na moyo mweupe nchi kama nchi itafanikiwa sana, ndipo wasomi wake watakuwa na tija kwa taifa.
Sasa tukubali kubadilika, makanisani, misikitini na kwenye semina mbalimbali, watu wa mikoa mbalimbali wahamasishwe kujitolea kusaidia wahitaji waliopo nchini kwao halafu waanze kuvuka mipaka, Ndipo MUNGU atafungua milango ya mafanikio katika nchi.
Mabadiliko haya hayatokei hivihivi tu, yanaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Mke mwenye moyo mweupe ni chanzo cha mapinduzi ya kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Mke mwema hawezi kuwa na mume muuaji, katili, mwizi n.k
Atamuombea Kila wakati.
Mabadiliko yoyote yanaanza na familia yenye nguzo imara ambaye ni mke mwenye moyo mweupe. Analeta mabadiliko kwenye familia yake na Jamii yake anayoiongoza kama ni kiongozi au kama ni mke wa kiongozi.
 
Mke mwenye moyo mweupe ni mke mwema kupita kawaida. Ni mke ambaye yupo tayari kusaidia mtu aliyekimbiwa na ndugu kwa sababu ya changamoto ya maradhi,
Ni mke mwenye upendo, utu wema na furaha kwa watu wote, hata kwa wale wasiompenda na kumtakia mema. Ni mke anayejali wahitaji hasa yatima, wajane, walemavu (mfano; wenye changamoto ya kuona, kutembea, walemavu wa miguu, changamoto ya kusikia wagonjwa, waliopooza)
wenye Hali ya kukosa chakula , mavazi, na hata shida nyingine zote.
Mke mwenye moyo mweupe lazima mume wake afanikiwe katika utawala bora kama mume ni kiongozi. Pia MUNGU anabariki familia yake na kuweza kuzaa viongozi Bora, wataalamu mbalimbali wa viwango vya juu na wenye tija kwa taifa.

Lengo la andiko hili ni kuonesha faida za kutoa kuliko kupokea kwa mtu, familia, Jamii na taifa Kwa ujumla.
Nchi imara inaanza na familia imara, na familia imara Ina nguzo imara ambavyo ni mke mwenye moyo mweupe na si vinginevyo. Mabadiliko yoyote yanaanza na familia imara kwanza Ndipo yaende kwa Jamii.

Zifuatazo ni sifa za mke mwenye moyo mweupe ambazo vijana wengi hawatazami;

1.Uchapakazi
Mke sahihi ni lazima awe hodari wa kazi za mikono ndio maana biblia kwenye kitabu cha mwisho mithali, mke mwema huliona shamba akalinunua. Huleta chakula kutoka mbali lakini angalizo hapa mwanaume anatakiwa awe mchapakazi mara mbili zaidi ya mwanamke. Mwanamke akiwa na shughuli yake atatumia sehemu ya kipato chake kuwakumbuka wahitaji.
Mke asipojishughulisha atakuwaje mwema, atapata wapi sadaka za kuwapa wahitaji.
Mke huyu mwenye moyo mweupe akiwa kiongozi, uongozi wake utatukuka mno wa sababu kwa namna yoyote Ile MUNGU atakuwa upande wake. Na kama mume wake ni kiongozi basi atafanikiwa sana katika uongozi wake na Jamii yake anayoiongoza itafanikiwa sana.

2. Mke anayejali wenye shida, changamoto na matatizo mbalimbali bila kubagua. Wakati wenye nyumba wengine wanawafukuza watu walioshindwa kulipa kodi kwa sababu ya kuumwa na kushindwa kuingiza kipato, mke mwema kama yeye ndiye mwenye nyumba hawezi kufanya kitendo hiki. Badala yake yupo tayari kusaidia kama jambo hilo lipo ndani ya uwezo wake.

Na kama ana nafasi nyumbani kwake yupo tayari kumkaribisha yule aliyefukuzwa na mwenye nyumba kule alikopanga na kusaidia matibabu, ada ya wanafunzi n.k

Mke mwenye moyo mweupe ana huruma, lakini,
Mke mwenye moyo mweusi amekosa utu.
Mke mwenye moyo mweupe anasababisha mabadiliko ya kiuchumi kwenye kaya yake na Jamii yake endapo yeye ni kiongozi au ni mke wa kiongozi.

3.Mke ambaye yupo tayari kutumia sehemu ya pesa zake Hali kugusa maisha ya wahitaji wanaomzunguka na walioko mbali, wakija kwake wanaoomba unga yupo tayari kutoa kiasi kwa moyo mweupe kabisa, waliokosa mavazi, (mke mwema sio mbinafsi, sio mchoyo, hana roho mbaya na roho ngumu kiasi cha kukataa kusaidia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake) na pia yupo tayari kushiriki charity mbalimbali maana kugusa maisha ya wahitaji wakati mwingine mtu tu peke yake hawezi isipokuwa Kwa kushirikiana na wenzake kufanya matendo ya huruma.
Mke mwenye moyo mweupe hufukuza laana nyumbani kwake Lakini;
Mke mwenye moyo mweusi huzikumbatia laana na nuksi nyumbani kwake.

4. Kuwa na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima Kila mwaka hata mara Moja, mbili, tano, hata mara kumi akiwa na familia yake Ili kurithisha moyo mweupe Kwa watoto, wajukuu na vizazi vijavyo. Hata mara moja tu kwa mwaka inatosha sana.(Sio lazima uwe na vitu vingi vya kwenda navyo, anza na vilivyo ndani ya uwezo wake Mfano;(sabuni, sukari, chumvi, boks za kalamu, daftari kadhaa nk). Unaweza kuwatembelea siku za sikukuu, siku yako ya kuzaliwa n.k

Sasa utaratibu huu ni lazima uwe sehemu ya maisha yake kabla hata ya kuolewa.

Mke mwema sio kuimba kwaya, sio kubeba biblia, wala sio kuomba sana pekee, Bali ni pamoja na kutambua kwamba kuna watoto wasio na mama wala baba wanaohitaji faraja na upendo wake.

Mke mwenye moyo mweupe anakimbilia kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya baraka igharikishe nyumba yake.

Mke mwenye moyo mweusi anakwepa kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya laana igharikishe nyumba yake.
5. Mke mwema yupo tayari kusaidia ndugu zake, rafiki zake hata watoto wao.

Mwanamke mbaya huchukua watoto wa ndugu zake na kuanzia kuwatesa, kuwanyanyasa, kuwafanyia matendo mengi ya hovyo. Anatumia nguvu na gharama kubwa sana kuvuta kontena la laana kuelekea nyumbani kwake (katika familia yake)

Mwanamke mbaya anachukua mtoto wa ndugu akiahidi kumpeleka shule halafu hampeleki, anaajiri dada wa kazi halafu hamlipi mshahara wake Kwa wakati. Anamfanyisha kazi zote tena wengine wanataka dada wa kazi afanye usafi Hadi chumbani anakolala na mume wake.

Lakini mke mwenye moyo mweupe hana tabia mbaya kama hizi.
Mke mwenye moyo mweupe anatumia nguvu kubwa kupita kiasi kuvuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali kulileta nyumbani kwake.

6.Mke mwenye moyo mweupe yupo tayari kusaidia wahitaji wenye changamoto kubwa zaidi mfano; mwanamke aliyepooza na amekimbiwa na ndugu zake wote, yupo tayari kusaidia kujitolea kumuogesha, kumfulia nguo, kumsafishia nyumba na kadhalika. Yupo tayari kumfadhili yeyote anayedaiwa kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake. Hayupo tayari kuona mwingine anaaibika.

7. Mke mwema hafurahi pindi mtu mwingine anapopatwa na mabaya. Hafurahi wala kutoa maneno ya kejeli pindi mtu mwingine anapopatwa na nyakati ngumu. Watoto wa wengine wakifeli hafurahi bali anahuzunika. Mke mwema anafurahi watoto wa wengine wakifaulu, wakifanya vizuri. Mke mbaya akisikia habari nzuri za kuhusi watu wengine anakasirika, lakini akisikia habari mbaya za kuhusi watu wengine anafurahi.

Mke mwenye moyo mweupe anatanua mlango wa kupitishia baraka na mafanikio kuingia nyumbani kwake, kwa mume wake na watoto wake.
Na mke mwenye moyo mweusi anatanua mlango wa kupitishia laana kuingia nyumbani kwake, Kwa mume wake na watoto wake.

8. Mke mwenye moyo mweupe akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli, kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anahuzunika, wakati mwingine anaweza kuwaombea Kwa MUNGU. Kichaa wala mlemavu hamchekeshi mwanamke mwenye moyo mweupe Bali anamhuzunisha, lakini mke mwenye moyo mweusi akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anafurahi, anaenda kuwasema Kwa wambea wenzie.

Ni mke mwema peke yake hawezi kushiriki vitendo vya namna hii.
Mke mwenye moyo mweupe anatengeneza mfereji wa kupitishia baraka na mafanikio kutoka mbali na kuyaelekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.
Mke mwenye moyo mweusi anatengeneza mfereji wa kupitishia laana na nuksi kutoka mbali kisha kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake na watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

9. Mke mwenye moyo mweupe anawapenda ndugu zake na ndugu wa mume wake. Anawapenda wote bila kubagua, anaijua thamani ya utu. Hata kama ndugu zake au wa mume wake ni wakorofi sana yeye anawapenda lakini mke mwema anawapenda hivyo hivyo.

Mke mwenye moyo mweusi hapendi mama wa mume, hapendi ndugu wa mume, hapendi hata ndugu zake mwenyewe.

Mke mwenye moyo mweupe anachochea moto wa kupitishia baraka kwake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mke mwenye moyo mweusi anachochea moto wa kupitishia laana kwake, kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mwanamke mwenye moyo mweusi(mke mbaya) ni mwanamke hatari sana kwenye ndoa. Hana haki ya kuwa mke. Hawezi kubadilisha na mwanaume. Ukimchunguza mwanamke Kwa miaka angalau miwili tu, utamjua tabia zake, unaoaje mtu hajawahi hata kutembelea kituo cha yatima. Mchunguze uone anawachukuliaje vichaa, walemavu n.k

Mwanamke mwenye moyo mweupe ni mtu salama anayehitajika kwenye hizi ndoa za sasa zinazoyumba, zinazokosa nguvu ya kuhimili migongano.

""Mke mwenye moyo mweupe anazifuata baraka mbali sana, zilikofichwa na kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo"".

Mke mwenye moyo mweupe ndio chanzo cha mabadiliko kwa sababu ana nguvu ya kurithisha moyo huu mweupe Kwa watoto, wajukuu na vitukuu akishirikiana na mume wake ndipo mapinduzi ya kiutawala yatatokea katika Jamii. Jamii yenye moyo mweupe inaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Hitimisho,
Nchi nyingi duniani zilizobarikiwa kiuchumi ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea kusaidia na kukopesha nchi maskini, nchi nyingi za ulaya zinafadhili sana nchi maskini ndio maana uchumi wake ni mkubwa sana na inasababisha watu maskini kutoka nchi zetu kukimbilia hukohuko.
Sasa tukitaka mabadiliko katika utawala ni muhimu tukaanza na mke wa huyu mnayetaka atawale, je, ana moyo mweupe wa kujitolea, ndugu zake wanamzungumziaje? Kama ana moyo mweupe basi uongozi wa mume wake utafanikiwa, au kama yeye ndiye kiongozi basi uongozi wake utafanikiwa sana na pia Jamii yake ikahamasika kujitolea kuwa na moyo mweupe kama taifa, basi uchumi wa nchi utapata mafanikio sana.
Ni kweli maombi ya kuombea nchi yana faida lakini watu wake wakiamua kuwa na moyo mweupe nchi kama nchi itafanikiwa sana, ndipo wasomi wake watakuwa na tija kwa taifa.
Sasa tukubali kubadilika, makanisani, misikitini na kwenye semina mbalimbali, watu wa mikoa mbalimbali wahamasishwe kujitolea kusaidia wahitaji waliopo nchini kwao halafu waanze kuvuka mipaka, Ndipo MUNGU atafungua milango ya mafanikio katika nchi.
Mabadiliko haya hayatokei hivihivi tu, yanaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Mke mwenye moyo mweupe ni chanzo cha mapinduzi ya kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Mke mwema hawezi kuwa na mume muuaji, katili, mwizi n.k
Atamuombea Kila wakati.
Mke mwenye moyo mweupe akifanikiwa kuwarithisha watoto wake moyo mweupe, akarithisha na wajukuu, akaambukiza moyo mweupe kwa vijana wa kanisani kwake au msikitini kwake kupitia mapendekezo yake kwa viongozi wake wa dini, sehemu mbalimbali, watu wakakubali na kuhamasika, ni chanzo cha baraka na mafanikio ya kiuchumi kwa nchi na nchi ikakubali kuanzia kujitolea kidogo kidogo, mabadiliko ya kiuchumi katika nchi yatatokea kwa sababu MUNGU atakuwa upande wao.
 
Mke mwenye moyo mweupe ni mke mwema kupita kawaida. Ni mke ambaye yupo tayari kusaidia mtu aliyekimbiwa na ndugu kwa sababu ya changamoto ya maradhi,
Ni mke mwenye upendo, utu wema na furaha kwa watu wote, hata kwa wale wasiompenda na kumtakia mema. Ni mke anayejali wahitaji hasa yatima, wajane, walemavu (mfano; wenye changamoto ya kuona, kutembea, walemavu wa miguu, changamoto ya kusikia wagonjwa, waliopooza)
wenye Hali ya kukosa chakula , mavazi, na hata shida nyingine zote.
Mke mwenye moyo mweupe lazima mume wake afanikiwe katika utawala bora kama mume ni kiongozi. Pia MUNGU anabariki familia yake na kuweza kuzaa viongozi Bora, wataalamu mbalimbali wa viwango vya juu na wenye tija kwa taifa.

Lengo la andiko hili ni kuonesha faida za kutoa kuliko kupokea kwa mtu, familia, Jamii na taifa Kwa ujumla.
Nchi imara inaanza na familia imara, na familia imara Ina nguzo imara ambavyo ni mke mwenye moyo mweupe na si vinginevyo. Mabadiliko yoyote yanaanza na familia imara kwanza Ndipo yaende kwa Jamii.

Zifuatazo ni sifa za mke mwenye moyo mweupe ambazo vijana wengi hawatazami;

1.Uchapakazi
Mke sahihi ni lazima awe hodari wa kazi za mikono ndio maana biblia kwenye kitabu cha mwisho mithali, mke mwema huliona shamba akalinunua. Huleta chakula kutoka mbali lakini angalizo hapa mwanaume anatakiwa awe mchapakazi mara mbili zaidi ya mwanamke. Mwanamke akiwa na shughuli yake atatumia sehemu ya kipato chake kuwakumbuka wahitaji.
Mke asipojishughulisha atakuwaje mwema, atapata wapi sadaka za kuwapa wahitaji.
Mke huyu mwenye moyo mweupe akiwa kiongozi, uongozi wake utatukuka mno wa sababu kwa namna yoyote Ile MUNGU atakuwa upande wake. Na kama mume wake ni kiongozi basi atafanikiwa sana katika uongozi wake na Jamii yake anayoiongoza itafanikiwa sana.

2. Mke anayejali wenye shida, changamoto na matatizo mbalimbali bila kubagua. Wakati wenye nyumba wengine wanawafukuza watu walioshindwa kulipa kodi kwa sababu ya kuumwa na kushindwa kuingiza kipato, mke mwema kama yeye ndiye mwenye nyumba hawezi kufanya kitendo hiki. Badala yake yupo tayari kusaidia kama jambo hilo lipo ndani ya uwezo wake.

Na kama ana nafasi nyumbani kwake yupo tayari kumkaribisha yule aliyefukuzwa na mwenye nyumba kule alikopanga na kusaidia matibabu, ada ya wanafunzi n.k

Mke mwenye moyo mweupe ana huruma, lakini,
Mke mwenye moyo mweusi amekosa utu.
Mke mwenye moyo mweupe anasababisha mabadiliko ya kiuchumi kwenye kaya yake na Jamii yake endapo yeye ni kiongozi au ni mke wa kiongozi.

3.Mke ambaye yupo tayari kutumia sehemu ya pesa zake Hali kugusa maisha ya wahitaji wanaomzunguka na walioko mbali, wakija kwake wanaoomba unga yupo tayari kutoa kiasi kwa moyo mweupe kabisa, waliokosa mavazi, (mke mwema sio mbinafsi, sio mchoyo, hana roho mbaya na roho ngumu kiasi cha kukataa kusaidia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake) na pia yupo tayari kushiriki charity mbalimbali maana kugusa maisha ya wahitaji wakati mwingine mtu tu peke yake hawezi isipokuwa Kwa kushirikiana na wenzake kufanya matendo ya huruma.
Mke mwenye moyo mweupe hufukuza laana nyumbani kwake Lakini;
Mke mwenye moyo mweusi huzikumbatia laana na nuksi nyumbani kwake.

4. Kuwa na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima Kila mwaka hata mara Moja, mbili, tano, hata mara kumi akiwa na familia yake Ili kurithisha moyo mweupe Kwa watoto, wajukuu na vizazi vijavyo. Hata mara moja tu kwa mwaka inatosha sana.(Sio lazima uwe na vitu vingi vya kwenda navyo, anza na vilivyo ndani ya uwezo wake Mfano;(sabuni, sukari, chumvi, boks za kalamu, daftari kadhaa nk). Unaweza kuwatembelea siku za sikukuu, siku yako ya kuzaliwa n.k

Sasa utaratibu huu ni lazima uwe sehemu ya maisha yake kabla hata ya kuolewa.

Mke mwema sio kuimba kwaya, sio kubeba biblia, wala sio kuomba sana pekee, Bali ni pamoja na kutambua kwamba kuna watoto wasio na mama wala baba wanaohitaji faraja na upendo wake.

Mke mwenye moyo mweupe anakimbilia kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya baraka igharikishe nyumba yake.

Mke mwenye moyo mweusi anakwepa kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya laana igharikishe nyumba yake.
5. Mke mwema yupo tayari kusaidia ndugu zake, rafiki zake hata watoto wao.

Mwanamke mbaya huchukua watoto wa ndugu zake na kuanzia kuwatesa, kuwanyanyasa, kuwafanyia matendo mengi ya hovyo. Anatumia nguvu na gharama kubwa sana kuvuta kontena la laana kuelekea nyumbani kwake (katika familia yake)

Mwanamke mbaya anachukua mtoto wa ndugu akiahidi kumpeleka shule halafu hampeleki, anaajiri dada wa kazi halafu hamlipi mshahara wake Kwa wakati. Anamfanyisha kazi zote tena wengine wanataka dada wa kazi afanye usafi Hadi chumbani anakolala na mume wake.

Lakini mke mwenye moyo mweupe hana tabia mbaya kama hizi.
Mke mwenye moyo mweupe anatumia nguvu kubwa kupita kiasi kuvuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali kulileta nyumbani kwake.

6.Mke mwenye moyo mweupe yupo tayari kusaidia wahitaji wenye changamoto kubwa zaidi mfano; mwanamke aliyepooza na amekimbiwa na ndugu zake wote, yupo tayari kusaidia kujitolea kumuogesha, kumfulia nguo, kumsafishia nyumba na kadhalika. Yupo tayari kumfadhili yeyote anayedaiwa kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake. Hayupo tayari kuona mwingine anaaibika.

7. Mke mwema hafurahi pindi mtu mwingine anapopatwa na mabaya. Hafurahi wala kutoa maneno ya kejeli pindi mtu mwingine anapopatwa na nyakati ngumu. Watoto wa wengine wakifeli hafurahi bali anahuzunika. Mke mwema anafurahi watoto wa wengine wakifaulu, wakifanya vizuri. Mke mbaya akisikia habari nzuri za kuhusi watu wengine anakasirika, lakini akisikia habari mbaya za kuhusi watu wengine anafurahi.

Mke mwenye moyo mweupe anatanua mlango wa kupitishia baraka na mafanikio kuingia nyumbani kwake, kwa mume wake na watoto wake.
Na mke mwenye moyo mweusi anatanua mlango wa kupitishia laana kuingia nyumbani kwake, Kwa mume wake na watoto wake.

8. Mke mwenye moyo mweupe akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli, kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anahuzunika, wakati mwingine anaweza kuwaombea Kwa MUNGU. Kichaa wala mlemavu hamchekeshi mwanamke mwenye moyo mweupe Bali anamhuzunisha, lakini mke mwenye moyo mweusi akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anafurahi, anaenda kuwasema Kwa wambea wenzie.

Ni mke mwema peke yake hawezi kushiriki vitendo vya namna hii.
Mke mwenye moyo mweupe anatengeneza mfereji wa kupitishia baraka na mafanikio kutoka mbali na kuyaelekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.
Mke mwenye moyo mweusi anatengeneza mfereji wa kupitishia laana na nuksi kutoka mbali kisha kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake na watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

9. Mke mwenye moyo mweupe anawapenda ndugu zake na ndugu wa mume wake. Anawapenda wote bila kubagua, anaijua thamani ya utu. Hata kama ndugu zake au wa mume wake ni wakorofi sana yeye anawapenda lakini mke mwema anawapenda hivyo hivyo.

Mke mwenye moyo mweusi hapendi mama wa mume, hapendi ndugu wa mume, hapendi hata ndugu zake mwenyewe.

Mke mwenye moyo mweupe anachochea moto wa kupitishia baraka kwake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mke mwenye moyo mweusi anachochea moto wa kupitishia laana kwake, kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mwanamke mwenye moyo mweusi(mke mbaya) ni mwanamke hatari sana kwenye ndoa. Hana haki ya kuwa mke. Hawezi kubadilisha na mwanaume. Ukimchunguza mwanamke Kwa miaka angalau miwili tu, utamjua tabia zake, unaoaje mtu hajawahi hata kutembelea kituo cha yatima. Mchunguze uone anawachukuliaje vichaa, walemavu n.k

Mwanamke mwenye moyo mweupe ni mtu salama anayehitajika kwenye hizi ndoa za sasa zinazoyumba, zinazokosa nguvu ya kuhimili migongano.

""Mke mwenye moyo mweupe anazifuata baraka mbali sana, zilikofichwa na kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo"".

Mke mwenye moyo mweupe ndio chanzo cha mabadiliko kwa sababu ana nguvu ya kurithisha moyo huu mweupe Kwa watoto, wajukuu na vitukuu akishirikiana na mume wake ndipo mapinduzi ya kiutawala yatatokea katika Jamii. Jamii yenye moyo mweupe inaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Hitimisho,
Nchi nyingi duniani zilizobarikiwa kiuchumi ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea kusaidia na kukopesha nchi maskini, nchi nyingi za ulaya zinafadhili sana nchi maskini ndio maana uchumi wake ni mkubwa sana na inasababisha watu maskini kutoka nchi zetu kukimbilia hukohuko.
Sasa tukitaka mabadiliko katika utawala ni muhimu tukaanza na mke wa huyu mnayetaka atawale, je, ana moyo mweupe wa kujitolea, ndugu zake wanamzungumziaje? Kama ana moyo mweupe basi uongozi wa mume wake utafanikiwa, au kama yeye ndiye kiongozi basi uongozi wake utafanikiwa sana na pia Jamii yake ikahamasika kujitolea kuwa na moyo mweupe kama taifa, basi uchumi wa nchi utapata mafanikio sana.
Ni kweli maombi ya kuombea nchi yana faida lakini watu wake wakiamua kuwa na moyo mweupe nchi kama nchi itafanikiwa sana, ndipo wasomi wake watakuwa na tija kwa taifa.
Sasa tukubali kubadilika, makanisani, misikitini na kwenye semina mbalimbali, watu wa mikoa mbalimbali wahamasishwe kujitolea kusaidia wahitaji waliopo nchini kwao halafu waanze kuvuka mipaka, Ndipo MUNGU atafungua milango ya mafanikio katika nchi.
Mabadiliko haya hayatokei hivihivi tu, yanaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Mke mwenye moyo mweupe ni chanzo cha mapinduzi ya kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Mke mwema hawezi kuwa na mume muuaji, katili, mwizi n.k
Atamuombea Kila wakati.
Mke mwenye moyo mweupe, nyumbani kwake hakuishiwi chakula, hakuna njaa wala kukosa fedha kwa kiwango cha kuhitaji msaada. Kutoa sadaka kwa wahitaji kuna baraka kubwa sana kuliko kupokea.
Sasa wamama hawa wakirithisha utumishi huu mtakatifu kwa watoto, wajukuu na vizazi vinavyofuata, na Jamii ikakubali kuwa na moyo mweupe na nchi nzima ikakubali basi MUNGU ALIYE HAI ataibariki nchi kama zilivyobarikiwa nchi zinazofadhili nchi maskini.
 
Mke mwenye moyo mweupe ni mke mwema kupita kawaida. Ni mke ambaye yupo tayari kusaidia mtu aliyekimbiwa na ndugu kwa sababu ya changamoto ya maradhi,
Ni mke mwenye upendo, utu wema na furaha kwa watu wote, hata kwa wale wasiompenda na kumtakia mema. Ni mke anayejali wahitaji hasa yatima, wajane, walemavu (mfano; wenye changamoto ya kuona, kutembea, walemavu wa miguu, changamoto ya kusikia wagonjwa, waliopooza)
wenye Hali ya kukosa chakula , mavazi, na hata shida nyingine zote.
Mke mwenye moyo mweupe lazima mume wake afanikiwe katika utawala bora kama mume ni kiongozi. Pia MUNGU anabariki familia yake na kuweza kuzaa viongozi Bora, wataalamu mbalimbali wa viwango vya juu na wenye tija kwa taifa.

Lengo la andiko hili ni kuonesha faida za kutoa kuliko kupokea kwa mtu, familia, Jamii na taifa Kwa ujumla.
Nchi imara inaanza na familia imara, na familia imara Ina nguzo imara ambavyo ni mke mwenye moyo mweupe na si vinginevyo. Mabadiliko yoyote yanaanza na familia imara kwanza Ndipo yaende kwa Jamii.

Zifuatazo ni sifa za mke mwenye moyo mweupe ambazo vijana wengi hawatazami;

1.Uchapakazi
Mke sahihi ni lazima awe hodari wa kazi za mikono ndio maana biblia kwenye kitabu cha mwisho mithali, mke mwema huliona shamba akalinunua. Huleta chakula kutoka mbali lakini angalizo hapa mwanaume anatakiwa awe mchapakazi mara mbili zaidi ya mwanamke. Mwanamke akiwa na shughuli yake atatumia sehemu ya kipato chake kuwakumbuka wahitaji.
Mke asipojishughulisha atakuwaje mwema, atapata wapi sadaka za kuwapa wahitaji.
Mke huyu mwenye moyo mweupe akiwa kiongozi, uongozi wake utatukuka mno wa sababu kwa namna yoyote Ile MUNGU atakuwa upande wake. Na kama mume wake ni kiongozi basi atafanikiwa sana katika uongozi wake na Jamii yake anayoiongoza itafanikiwa sana.

2. Mke anayejali wenye shida, changamoto na matatizo mbalimbali bila kubagua. Wakati wenye nyumba wengine wanawafukuza watu walioshindwa kulipa kodi kwa sababu ya kuumwa na kushindwa kuingiza kipato, mke mwema kama yeye ndiye mwenye nyumba hawezi kufanya kitendo hiki. Badala yake yupo tayari kusaidia kama jambo hilo lipo ndani ya uwezo wake.

Na kama ana nafasi nyumbani kwake yupo tayari kumkaribisha yule aliyefukuzwa na mwenye nyumba kule alikopanga na kusaidia matibabu, ada ya wanafunzi n.k

Mke mwenye moyo mweupe ana huruma, lakini,
Mke mwenye moyo mweusi amekosa utu.
Mke mwenye moyo mweupe anasababisha mabadiliko ya kiuchumi kwenye kaya yake na Jamii yake endapo yeye ni kiongozi au ni mke wa kiongozi.

3.Mke ambaye yupo tayari kutumia sehemu ya pesa zake Hali kugusa maisha ya wahitaji wanaomzunguka na walioko mbali, wakija kwake wanaoomba unga yupo tayari kutoa kiasi kwa moyo mweupe kabisa, waliokosa mavazi, (mke mwema sio mbinafsi, sio mchoyo, hana roho mbaya na roho ngumu kiasi cha kukataa kusaidia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake) na pia yupo tayari kushiriki charity mbalimbali maana kugusa maisha ya wahitaji wakati mwingine mtu tu peke yake hawezi isipokuwa Kwa kushirikiana na wenzake kufanya matendo ya huruma.
Mke mwenye moyo mweupe hufukuza laana nyumbani kwake Lakini;
Mke mwenye moyo mweusi huzikumbatia laana na nuksi nyumbani kwake.

4. Kuwa na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima Kila mwaka hata mara Moja, mbili, tano, hata mara kumi akiwa na familia yake Ili kurithisha moyo mweupe Kwa watoto, wajukuu na vizazi vijavyo. Hata mara moja tu kwa mwaka inatosha sana.(Sio lazima uwe na vitu vingi vya kwenda navyo, anza na vilivyo ndani ya uwezo wake Mfano;(sabuni, sukari, chumvi, boks za kalamu, daftari kadhaa nk). Unaweza kuwatembelea siku za sikukuu, siku yako ya kuzaliwa n.k

Sasa utaratibu huu ni lazima uwe sehemu ya maisha yake kabla hata ya kuolewa.

Mke mwema sio kuimba kwaya, sio kubeba biblia, wala sio kuomba sana pekee, Bali ni pamoja na kutambua kwamba kuna watoto wasio na mama wala baba wanaohitaji faraja na upendo wake.

Mke mwenye moyo mweupe anakimbilia kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya baraka igharikishe nyumba yake.

Mke mwenye moyo mweusi anakwepa kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya laana igharikishe nyumba yake.
5. Mke mwema yupo tayari kusaidia ndugu zake, rafiki zake hata watoto wao.

Mwanamke mbaya huchukua watoto wa ndugu zake na kuanzia kuwatesa, kuwanyanyasa, kuwafanyia matendo mengi ya hovyo. Anatumia nguvu na gharama kubwa sana kuvuta kontena la laana kuelekea nyumbani kwake (katika familia yake)

Mwanamke mbaya anachukua mtoto wa ndugu akiahidi kumpeleka shule halafu hampeleki, anaajiri dada wa kazi halafu hamlipi mshahara wake Kwa wakati. Anamfanyisha kazi zote tena wengine wanataka dada wa kazi afanye usafi Hadi chumbani anakolala na mume wake.

Lakini mke mwenye moyo mweupe hana tabia mbaya kama hizi.
Mke mwenye moyo mweupe anatumia nguvu kubwa kupita kiasi kuvuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali kulileta nyumbani kwake.

6.Mke mwenye moyo mweupe yupo tayari kusaidia wahitaji wenye changamoto kubwa zaidi mfano; mwanamke aliyepooza na amekimbiwa na ndugu zake wote, yupo tayari kusaidia kujitolea kumuogesha, kumfulia nguo, kumsafishia nyumba na kadhalika. Yupo tayari kumfadhili yeyote anayedaiwa kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake. Hayupo tayari kuona mwingine anaaibika.

7. Mke mwema hafurahi pindi mtu mwingine anapopatwa na mabaya. Hafurahi wala kutoa maneno ya kejeli pindi mtu mwingine anapopatwa na nyakati ngumu. Watoto wa wengine wakifeli hafurahi bali anahuzunika. Mke mwema anafurahi watoto wa wengine wakifaulu, wakifanya vizuri. Mke mbaya akisikia habari nzuri za kuhusi watu wengine anakasirika, lakini akisikia habari mbaya za kuhusi watu wengine anafurahi.

Mke mwenye moyo mweupe anatanua mlango wa kupitishia baraka na mafanikio kuingia nyumbani kwake, kwa mume wake na watoto wake.
Na mke mwenye moyo mweusi anatanua mlango wa kupitishia laana kuingia nyumbani kwake, Kwa mume wake na watoto wake.

8. Mke mwenye moyo mweupe akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli, kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anahuzunika, wakati mwingine anaweza kuwaombea Kwa MUNGU. Kichaa wala mlemavu hamchekeshi mwanamke mwenye moyo mweupe Bali anamhuzunisha, lakini mke mwenye moyo mweusi akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anafurahi, anaenda kuwasema Kwa wambea wenzie.

Ni mke mwema peke yake hawezi kushiriki vitendo vya namna hii.
Mke mwenye moyo mweupe anatengeneza mfereji wa kupitishia baraka na mafanikio kutoka mbali na kuyaelekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.
Mke mwenye moyo mweusi anatengeneza mfereji wa kupitishia laana na nuksi kutoka mbali kisha kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake na watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

9. Mke mwenye moyo mweupe anawapenda ndugu zake na ndugu wa mume wake. Anawapenda wote bila kubagua, anaijua thamani ya utu. Hata kama ndugu zake au wa mume wake ni wakorofi sana yeye anawapenda lakini mke mwema anawapenda hivyo hivyo.

Mke mwenye moyo mweusi hapendi mama wa mume, hapendi ndugu wa mume, hapendi hata ndugu zake mwenyewe.

Mke mwenye moyo mweupe anachochea moto wa kupitishia baraka kwake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mke mwenye moyo mweusi anachochea moto wa kupitishia laana kwake, kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mwanamke mwenye moyo mweusi(mke mbaya) ni mwanamke hatari sana kwenye ndoa. Hana haki ya kuwa mke. Hawezi kubadilisha na mwanaume. Ukimchunguza mwanamke Kwa miaka angalau miwili tu, utamjua tabia zake, unaoaje mtu hajawahi hata kutembelea kituo cha yatima. Mchunguze uone anawachukuliaje vichaa, walemavu n.k

Mwanamke mwenye moyo mweupe ni mtu salama anayehitajika kwenye hizi ndoa za sasa zinazoyumba, zinazokosa nguvu ya kuhimili migongano.

""Mke mwenye moyo mweupe anazifuata baraka mbali sana, zilikofichwa na kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo"".

Mke mwenye moyo mweupe ndio chanzo cha mabadiliko kwa sababu ana nguvu ya kurithisha moyo huu mweupe Kwa watoto, wajukuu na vitukuu akishirikiana na mume wake ndipo mapinduzi ya kiutawala yatatokea katika Jamii. Jamii yenye moyo mweupe inaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Hitimisho,
Nchi nyingi duniani zilizobarikiwa kiuchumi ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea kusaidia na kukopesha nchi maskini, nchi nyingi za ulaya zinafadhili sana nchi maskini ndio maana uchumi wake ni mkubwa sana na inasababisha watu maskini kutoka nchi zetu kukimbilia hukohuko.
Sasa tukitaka mabadiliko katika utawala ni muhimu tukaanza na mke wa huyu mnayetaka atawale, je, ana moyo mweupe wa kujitolea, ndugu zake wanamzungumziaje? Kama ana moyo mweupe basi uongozi wa mume wake utafanikiwa, au kama yeye ndiye kiongozi basi uongozi wake utafanikiwa sana na pia Jamii yake ikahamasika kujitolea kuwa na moyo mweupe kama taifa, basi uchumi wa nchi utapata mafanikio sana.
Ni kweli maombi ya kuombea nchi yana faida lakini watu wake wakiamua kuwa na moyo mweupe nchi kama nchi itafanikiwa sana, ndipo wasomi wake watakuwa na tija kwa taifa.
Sasa tukubali kubadilika, makanisani, misikitini na kwenye semina mbalimbali, watu wa mikoa mbalimbali wahamasishwe kujitolea kusaidia wahitaji waliopo nchini kwao halafu waanze kuvuka mipaka, Ndipo MUNGU atafungua milango ya mafanikio katika nchi.
Mabadiliko haya hayatokei hivihivi tu, yanaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Mke mwenye moyo mweupe ni chanzo cha mapinduzi ya kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Mke mwema hawezi kuwa na mume muuaji, katili, mwizi n.k
Atamuombea Kila wakati.
Naomba kura yako andiko likubalike kwa faida ya wengi. Ubarikiwe
 
Mke mwenye moyo mweupe ni mke mwema kupita kawaida. Ni mke ambaye yupo tayari kusaidia mtu aliyekimbiwa na ndugu kwa sababu ya changamoto ya maradhi,
Ni mke mwenye upendo, utu wema na furaha kwa watu wote, hata kwa wale wasiompenda na kumtakia mema. Ni mke anayejali wahitaji hasa yatima, wajane, walemavu (mfano; wenye changamoto ya kuona, kutembea, walemavu wa miguu, changamoto ya kusikia wagonjwa, waliopooza)
wenye Hali ya kukosa chakula , mavazi, na hata shida nyingine zote.
Mke mwenye moyo mweupe lazima mume wake afanikiwe katika utawala bora kama mume ni kiongozi. Pia MUNGU anabariki familia yake na kuweza kuzaa viongozi Bora, wataalamu mbalimbali wa viwango vya juu na wenye tija kwa taifa.

Lengo la andiko hili ni kuonesha faida za kutoa kuliko kupokea kwa mtu, familia, Jamii na taifa Kwa ujumla.
Nchi imara inaanza na familia imara, na familia imara Ina nguzo imara ambavyo ni mke mwenye moyo mweupe na si vinginevyo. Mabadiliko yoyote yanaanza na familia imara kwanza Ndipo yaende kwa Jamii.

Zifuatazo ni sifa za mke mwenye moyo mweupe ambazo vijana wengi hawatazami;

1.Uchapakazi
Mke sahihi ni lazima awe hodari wa kazi za mikono ndio maana biblia kwenye kitabu cha mwisho mithali, mke mwema huliona shamba akalinunua. Huleta chakula kutoka mbali lakini angalizo hapa mwanaume anatakiwa awe mchapakazi mara mbili zaidi ya mwanamke. Mwanamke akiwa na shughuli yake atatumia sehemu ya kipato chake kuwakumbuka wahitaji.
Mke asipojishughulisha atakuwaje mwema, atapata wapi sadaka za kuwapa wahitaji.
Mke huyu mwenye moyo mweupe akiwa kiongozi, uongozi wake utatukuka mno wa sababu kwa namna yoyote Ile MUNGU atakuwa upande wake. Na kama mume wake ni kiongozi basi atafanikiwa sana katika uongozi wake na Jamii yake anayoiongoza itafanikiwa sana.

2. Mke anayejali wenye shida, changamoto na matatizo mbalimbali bila kubagua. Wakati wenye nyumba wengine wanawafukuza watu walioshindwa kulipa kodi kwa sababu ya kuumwa na kushindwa kuingiza kipato, mke mwema kama yeye ndiye mwenye nyumba hawezi kufanya kitendo hiki. Badala yake yupo tayari kusaidia kama jambo hilo lipo ndani ya uwezo wake.

Na kama ana nafasi nyumbani kwake yupo tayari kumkaribisha yule aliyefukuzwa na mwenye nyumba kule alikopanga na kusaidia matibabu, ada ya wanafunzi n.k

Mke mwenye moyo mweupe ana huruma, lakini,
Mke mwenye moyo mweusi amekosa utu.
Mke mwenye moyo mweupe anasababisha mabadiliko ya kiuchumi kwenye kaya yake na Jamii yake endapo yeye ni kiongozi au ni mke wa kiongozi.

3.Mke ambaye yupo tayari kutumia sehemu ya pesa zake Hali kugusa maisha ya wahitaji wanaomzunguka na walioko mbali, wakija kwake wanaoomba unga yupo tayari kutoa kiasi kwa moyo mweupe kabisa, waliokosa mavazi, (mke mwema sio mbinafsi, sio mchoyo, hana roho mbaya na roho ngumu kiasi cha kukataa kusaidia kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake) na pia yupo tayari kushiriki charity mbalimbali maana kugusa maisha ya wahitaji wakati mwingine mtu tu peke yake hawezi isipokuwa Kwa kushirikiana na wenzake kufanya matendo ya huruma.
Mke mwenye moyo mweupe hufukuza laana nyumbani kwake Lakini;
Mke mwenye moyo mweusi huzikumbatia laana na nuksi nyumbani kwake.

4. Kuwa na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima Kila mwaka hata mara Moja, mbili, tano, hata mara kumi akiwa na familia yake Ili kurithisha moyo mweupe Kwa watoto, wajukuu na vizazi vijavyo. Hata mara moja tu kwa mwaka inatosha sana.(Sio lazima uwe na vitu vingi vya kwenda navyo, anza na vilivyo ndani ya uwezo wake Mfano;(sabuni, sukari, chumvi, boks za kalamu, daftari kadhaa nk). Unaweza kuwatembelea siku za sikukuu, siku yako ya kuzaliwa n.k

Sasa utaratibu huu ni lazima uwe sehemu ya maisha yake kabla hata ya kuolewa.

Mke mwema sio kuimba kwaya, sio kubeba biblia, wala sio kuomba sana pekee, Bali ni pamoja na kutambua kwamba kuna watoto wasio na mama wala baba wanaohitaji faraja na upendo wake.

Mke mwenye moyo mweupe anakimbilia kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya baraka igharikishe nyumba yake.

Mke mwenye moyo mweusi anakwepa kutoa sadaka hizi zinazompendeza MUNGU Ili mvua yenye mafuriko ya laana igharikishe nyumba yake.
5. Mke mwema yupo tayari kusaidia ndugu zake, rafiki zake hata watoto wao.

Mwanamke mbaya huchukua watoto wa ndugu zake na kuanzia kuwatesa, kuwanyanyasa, kuwafanyia matendo mengi ya hovyo. Anatumia nguvu na gharama kubwa sana kuvuta kontena la laana kuelekea nyumbani kwake (katika familia yake)

Mwanamke mbaya anachukua mtoto wa ndugu akiahidi kumpeleka shule halafu hampeleki, anaajiri dada wa kazi halafu hamlipi mshahara wake Kwa wakati. Anamfanyisha kazi zote tena wengine wanataka dada wa kazi afanye usafi Hadi chumbani anakolala na mume wake.

Lakini mke mwenye moyo mweupe hana tabia mbaya kama hizi.
Mke mwenye moyo mweupe anatumia nguvu kubwa kupita kiasi kuvuta kontena la baraka na mafanikio kutoka mbali kulileta nyumbani kwake.

6.Mke mwenye moyo mweupe yupo tayari kusaidia wahitaji wenye changamoto kubwa zaidi mfano; mwanamke aliyepooza na amekimbiwa na ndugu zake wote, yupo tayari kusaidia kujitolea kumuogesha, kumfulia nguo, kumsafishia nyumba na kadhalika. Yupo tayari kumfadhili yeyote anayedaiwa kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wake. Hayupo tayari kuona mwingine anaaibika.

7. Mke mwema hafurahi pindi mtu mwingine anapopatwa na mabaya. Hafurahi wala kutoa maneno ya kejeli pindi mtu mwingine anapopatwa na nyakati ngumu. Watoto wa wengine wakifeli hafurahi bali anahuzunika. Mke mwema anafurahi watoto wa wengine wakifaulu, wakifanya vizuri. Mke mbaya akisikia habari nzuri za kuhusi watu wengine anakasirika, lakini akisikia habari mbaya za kuhusi watu wengine anafurahi.

Mke mwenye moyo mweupe anatanua mlango wa kupitishia baraka na mafanikio kuingia nyumbani kwake, kwa mume wake na watoto wake.
Na mke mwenye moyo mweusi anatanua mlango wa kupitishia laana kuingia nyumbani kwake, Kwa mume wake na watoto wake.

8. Mke mwenye moyo mweupe akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli, kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anahuzunika, wakati mwingine anaweza kuwaombea Kwa MUNGU. Kichaa wala mlemavu hamchekeshi mwanamke mwenye moyo mweupe Bali anamhuzunisha, lakini mke mwenye moyo mweusi akiona mtoto wa jirani yake ana changamoto yoyote mfano akili, ulemavu, kufeli kuvuta bangi, kukataa shule na kadhalika anafurahi, anaenda kuwasema Kwa wambea wenzie.

Ni mke mwema peke yake hawezi kushiriki vitendo vya namna hii.
Mke mwenye moyo mweupe anatengeneza mfereji wa kupitishia baraka na mafanikio kutoka mbali na kuyaelekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.
Mke mwenye moyo mweusi anatengeneza mfereji wa kupitishia laana na nuksi kutoka mbali kisha kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake na watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

9. Mke mwenye moyo mweupe anawapenda ndugu zake na ndugu wa mume wake. Anawapenda wote bila kubagua, anaijua thamani ya utu. Hata kama ndugu zake au wa mume wake ni wakorofi sana yeye anawapenda lakini mke mwema anawapenda hivyo hivyo.

Mke mwenye moyo mweusi hapendi mama wa mume, hapendi ndugu wa mume, hapendi hata ndugu zake mwenyewe.

Mke mwenye moyo mweupe anachochea moto wa kupitishia baraka kwake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mke mwenye moyo mweusi anachochea moto wa kupitishia laana kwake, kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo.

Mwanamke mwenye moyo mweusi(mke mbaya) ni mwanamke hatari sana kwenye ndoa. Hana haki ya kuwa mke. Hawezi kubadilisha na mwanaume. Ukimchunguza mwanamke Kwa miaka angalau miwili tu, utamjua tabia zake, unaoaje mtu hajawahi hata kutembelea kituo cha yatima. Mchunguze uone anawachukuliaje vichaa, walemavu n.k

Mwanamke mwenye moyo mweupe ni mtu salama anayehitajika kwenye hizi ndoa za sasa zinazoyumba, zinazokosa nguvu ya kuhimili migongano.

""Mke mwenye moyo mweupe anazifuata baraka mbali sana, zilikofichwa na kuzielekeza nyumbani kwake kwa mume wake, watoto wake, wajukuu na vizazi vijavyo"".

Mke mwenye moyo mweupe ndio chanzo cha mabadiliko kwa sababu ana nguvu ya kurithisha moyo huu mweupe Kwa watoto, wajukuu na vitukuu akishirikiana na mume wake ndipo mapinduzi ya kiutawala yatatokea katika Jamii. Jamii yenye moyo mweupe inaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Hitimisho,
Nchi nyingi duniani zilizobarikiwa kiuchumi ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea kusaidia na kukopesha nchi maskini, nchi nyingi za ulaya zinafadhili sana nchi maskini ndio maana uchumi wake ni mkubwa sana na inasababisha watu maskini kutoka nchi zetu kukimbilia hukohuko.
Sasa tukitaka mabadiliko katika utawala ni muhimu tukaanza na mke wa huyu mnayetaka atawale, je, ana moyo mweupe wa kujitolea, ndugu zake wanamzungumziaje? Kama ana moyo mweupe basi uongozi wa mume wake utafanikiwa, au kama yeye ndiye kiongozi basi uongozi wake utafanikiwa sana na pia Jamii yake ikahamasika kujitolea kuwa na moyo mweupe kama taifa, basi uchumi wa nchi utapata mafanikio sana.
Ni kweli maombi ya kuombea nchi yana faida lakini watu wake wakiamua kuwa na moyo mweupe nchi kama nchi itafanikiwa sana, ndipo wasomi wake watakuwa na tija kwa taifa.
Sasa tukubali kubadilika, makanisani, misikitini na kwenye semina mbalimbali, watu wa mikoa mbalimbali wahamasishwe kujitolea kusaidia wahitaji waliopo nchini kwao halafu waanze kuvuka mipaka, Ndipo MUNGU atafungua milango ya mafanikio katika nchi.
Mabadiliko haya hayatokei hivihivi tu, yanaanza na mke mwenye moyo mweupe.
Mke mwenye moyo mweupe ni chanzo cha mapinduzi ya kiutawala, kiuchumi na kidemokrasia. Mke mwema hawezi kuwa na mume muuaji, katili, mwizi n.k
Atamuombea Kila wakati.
Nchi nyingi zilizoendelea ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea pesa zao kwa nchi maskini na zile zenye uchumi mdogo.
Anayetoa ndiye anayebarikiwa, na ni bora kutoa kuliko kupokea.
Moyo mweupe unaambukizwa na nguzo za familia mbalimbali ambazo ni mama.
Moyo mweupe hauanzi hivihivi tu, ni mchakato mrefu.
Tukishafanikiwa kama nchi kuwa na watu wengi wenye moyo mweupe, basi tutauaga umaskini asubuhi, mchana, jioni na hata usiku.
 
Nchi nyingi zilizoendelea ni zile ambazo watu wake walishaamua kuwa na moyo mweupe wa kujitolea pesa zao kwa nchi maskini na zile zenye uchumi mdogo.
Anayetoa ndiye anayebarikiwa, na ni bora kutoa kuliko kupokea.
Moyo mweupe unaambukizwa na nguzo za familia mbalimbali ambazo ni mama.
Moyo mweupe hauanzi hivihivi tu, ni mchakato mrefu.
Tukishafanikiwa kama nchi kuwa na watu wengi wenye moyo mweupe, basi tutauaga umaskini asubuhi, mchana, jioni na hata usiku.
Kama nchi tuhamasishe vijana kuoa wanawake wenye mioyo myeupe Ili kurahisisha kazi ya kuwarithisha vizazi vijavyo moyo mweupe wa kujitolea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom