Nililazimika kuwajulisha wazazi wake kwamba binti yenu ana hasira za mlipuko ili wajue mtu wa aina gani naishi nae hi ilikuwa simu ya pili anapasua kwasababu za kijinga eti kwanini sipokei simu zake na kujibu sms zake kwa wakati.
Nimekataa kumnunulia simu kubwa tena, ameninunia mpaka basi ila haina shida nitavumulia ila iwe sehemu ya tiba yake, na afadhali wazazi wake wamejua hilo ata hofu kurudia kosa kama hilo tena.
Nimekataa kumnunulia simu kubwa tena, ameninunia mpaka basi ila haina shida nitavumulia ila iwe sehemu ya tiba yake, na afadhali wazazi wake wamejua hilo ata hofu kurudia kosa kama hilo tena.