Mke anapaswa kujali uwepo wa mumewe bila hivyo mwanaume kimbia usigeuke nyuma

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,721
29,954
Mwanamke aliye kwenye ndoa zaidi ya miaka 5 na bado ana vigezo hivi ama mojawapo ya hivi
  1. Dharau
  2. Majibu ya hovyo
  3. Kiburi
  4. Muongo
  5. Mgomvi
  6. mchawi
  7. Infidel

Hakikisha unakimbia, achana naye maana hakuna anayeweza kumbadilisha zaidi ya yeye mwenyewe kuamua kubadilika. Hakuna lugha nyepesi ninayoweza kuitumia kwenye hili. ACHANA NAYE maana hakika ukiendelea tutakukalia matanga kabla ya umri wa ahadi ya Mungu kwako.

Wanawake wengi siku hizi wamehalalisha kutenda lolote kwa kigezo cha haki sawa, lakini hawajawahi kusema neno kwenye mahari na kodi ya meza. Sheria kibao zinawalinda na wanajua wakijiliza liza basi kila mlango utafunguka.

I hate women; But I need them
Alisema bwege mmoja

I am single again

dronedrake
 
Unakuta tabia kama hizo mtu anazo ktk uchumba na bado unajipa moyo atabadilika.

Mwenye uwezo wa kumbadilisha mtu ni Mungu na Mungu atambadilisha endapo mtu akajiona ana hiyo shida, mbali na hapo hesabu maumivu mpaka unaingia kaburini.
 
Back
Top Bottom