St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,657
- 4,552
Habarini wajukuu wema na wabaya. Nimeletewa mashitaka na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka mitano sasa.
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa, hakuwasikiliza. Sasa yamemfika. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango, mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu kuzungumza na mkewe bila mafanikio. Mwanamke anadai hajiskii, sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida?
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa, hakuwasikiliza. Sasa yamemfika. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango, mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu kuzungumza na mkewe bila mafanikio. Mwanamke anadai hajiskii, sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida?