Cc ngapi hiyo mkuu?haojue mninga ni hatar
125-8Cc ngapi hiyo mkuu?
Pamoja mkuu, mimi nipo na fekon 125 chuma kipo imara sana hasa huku mashambani na milimani.125-8
fekon ni nzur sema ina mtetemo na inatumia sana mafutaPamoja mkuu, mimi nipo na fekon 125 chuma kipo imara sana hasa huku mashambani na milimani.
Huyu naona kama kamuiga boxer, mimi nilipata yamaha AG 200 used sijajuta!Mimi nimenunua honlg nilikua hata siijui lakini naona iko vizuri tu chombo cha moto ni matunzo View attachment 2416158
Hv Tvs mninga ndo zikoje,Tvs 125 ni moto wa kuotea mbali ikifuatiwa na haojue mninga, hizo ndo chuma za kazi na starrhe hapa nchini
Hv Tvs mninga ndo zikoje,
Naeza pata picha ake
Ipo bei gani?Asante,
Me nmechukua hiiView attachment 2438421
Mi niko Haojue EG 150, nakimbilia mwaka wa 4 huu sijalipia Bima.Hellow, khabar za saiz wakuu,,,
Naomba kujua ghalama zote (kuanzia cost za kununua, bima etc) za hii chombo. (Haojue EH 150) na mwenye specification zake View attachment 2355067
isiwe mchina
doh, tengeneza ya kwako tuisiwe gali
Unataka yamaha suzuki na huna hela si utapigwa tuWazee natamani piki piki ya shamba off road iwe inaimili mizigo kama mbolea ,mbegu lakin isiwe mchina wala muhind. kabisa wala isizidi M3.5 nasisitiza siyo ya bata,isiwe mchina wala muhindi ,isiwe gali
Mi sitaki watu wanaomiliki Toyo wanijibdoh, tengeneza ya kwako tu
Hii pikipiki ni bei gani?Mkuu Umetaja Piki piki Nyingi tuu kama Boxer,Fekon,Sanlg,TVS,nk
Ila Mwisho wa yote Kuna Pikipiki moja inaitwa HOAUJUE...au Kiswahili wanasena "Haujue" Hii Pikipiki ni noma Asikwambie Mtuu,Uliza waendesha Pikipiki watakuambia.
Ni Imara,inapiga Mzigo na Nzito. Ikitulia Barabarani Hakuna na Boxer, TVS,au wala sijui nini atafuata hii. Niliwahi Siku moja Kupakia Mzigo wangu,gunia 2 za Nazi kwenye "Hoaujue" nami nikapanda Boxer, Tumeanza tuu Boxer akatupita akaenda mbali.
Baada ya kama Dk 7 hivi,lilitupita kama tunesimama, nikamwambia Dereva wa Boxer Aisee vipi ongeza mwendo Mkuu,akaniambia hiyo ni "Hoaujoue" taamka "Haujue" ni balaa siwezi fuata pale linapokuwa limechanganya!
Na ni BORA usipime! Yaani Imara!
Inavumilia kila hali!
Hii ni bei gani?Mimi nimenunua honlg nilikua hata siijui lakini naona iko vizuri tu chombo cha moto ni matunzo View attachment 2416158
mmh bro bdo umeshikilia hpahpa ama umebadili mawazo?Chukua Sanlg CG125 maarufu kibao cha mbuzi hiyo ndio pikipiki pekee bora ya kichina. Kwa hii pikipiki ina gear 5 na ina mudu njia zote. Hii ukiifanyia modefication kidogo huyo Boxer hakukamati.