Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,399
- 24,399
Watanzania mmenishinda!
Msemo wa mitano tena umeshika kasi.
Kila kikitokea kitu hasi mtu anaposti......mitano tena!
Saa hapa ni kukata tamaa au kebehi za wazi?
Kwa kweli Watanzania ni watu wa amani.
Wasipopenda kitu ni maneno tu.
Watakusema sana, kama Jafo alivyomsema tu mpaka akazimia!
Huu msemo mitano tena lazima unakera!
Msemo wa mitano tena umeshika kasi.
Kila kikitokea kitu hasi mtu anaposti......mitano tena!
Saa hapa ni kukata tamaa au kebehi za wazi?
Kwa kweli Watanzania ni watu wa amani.
Wasipopenda kitu ni maneno tu.
Watakusema sana, kama Jafo alivyomsema tu mpaka akazimia!
Huu msemo mitano tena lazima unakera!