Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,290
- 4,922
Voda huu mtandao nlikuwa nauheshimu ila Leo nimeona upuuzi unaonifanya nisiwaamini tena Hawa wapuuzi,wiki iliyopita Kuna tangazo Lili pop up kwenye cm na wakati naingia Ili nilicheki Nashangaa nakuta meseji ya sijui ChEkecha mkwanja kwamba hongera umefanikiwa kujiunga na utakatwa 300/= Kwa cku nkasema wtf nkawapandia hewani nkakutana na kastoma kea akasema itakuwa nlijiunga nkiwa nimelewa au nlimpa mtu cm,yaani nlikasirika kidogo npasuke ndio akanitoa.
Leo tena hivyo hivyo nachati naskia hongera umejiunga na huduma yetu pendwa ChEkecha mkwanja utakatwa mia 300 Kwa siku nkajiuliza moyoni Hawa voda matako kweli Yani huduma siijui wanasema ni pendwa na nitakatwa mia 300 tu Kwa cku nkaona usintanie nkapanda hewani kwa namba 100 nkasema ntakaye kutana nae Sina simile .
Dakika 5 napiga cm haipokelewi na katika kipengele Chao kimoja na kinukuu"kama umekatwa pesa na hujui zimekatajwe bonyeza 1"Nikaona huu mtandao ni wakihuni huni na Tanzania wanaona hawana mtu wa kuwafanya lolote.
Nikaapa sitakaa niongeze Salio Ili nione hayo maokoto watayakata wapi hapo ndipo nilipochoka ilipokuja pop up msg
"Tunaona huna Salio la kutosha sehemu ya kawaida je ungependa tuwe tunapunguza Hela iliyopungua kutoka account yako ya Mpesa?
Bonyeza 1:kukubali
Au 2:kukubali
Utadhani natia chumvi ila ndio tulimofikia humu.
Tunapigwa na watuma Kwa namba hii,tunapigwa na hao hao watoa huduma,hivi mtetezi wetu ni nani kmmk
Leo tena hivyo hivyo nachati naskia hongera umejiunga na huduma yetu pendwa ChEkecha mkwanja utakatwa mia 300 Kwa siku nkajiuliza moyoni Hawa voda matako kweli Yani huduma siijui wanasema ni pendwa na nitakatwa mia 300 tu Kwa cku nkaona usintanie nkapanda hewani kwa namba 100 nkasema ntakaye kutana nae Sina simile .
Dakika 5 napiga cm haipokelewi na katika kipengele Chao kimoja na kinukuu"kama umekatwa pesa na hujui zimekatajwe bonyeza 1"Nikaona huu mtandao ni wakihuni huni na Tanzania wanaona hawana mtu wa kuwafanya lolote.
Nikaapa sitakaa niongeze Salio Ili nione hayo maokoto watayakata wapi hapo ndipo nilipochoka ilipokuja pop up msg
"Tunaona huna Salio la kutosha sehemu ya kawaida je ungependa tuwe tunapunguza Hela iliyopungua kutoka account yako ya Mpesa?
Bonyeza 1:kukubali
Au 2:kukubali
Utadhani natia chumvi ila ndio tulimofikia humu.
Tunapigwa na watuma Kwa namba hii,tunapigwa na hao hao watoa huduma,hivi mtetezi wetu ni nani kmmk