Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,592
- 94,588
Aibu yenu CCM kwa tabia za hovyo
watz mna manenoHata Nyoinzima alikuwa anasema hivyo hivyo kuwa haendi Simba SC lakini leo yuko wapi?!!!
Analia..eloi eloi ccm wangu mbona mnanisahauanatia huruma
Oooh kumbe mnanunua!!hana lolote hapa anachoongea ni kuwa CCM kama MNA hela njooni mninunue.Hakuna aliyemuuliza kama anajiuza au LA .Anajinadi huyu.
Huyo wa kwenye dp yako sasaUhuni wa kishamba. Propaganda error.
#nakwenda_zimbabwe
Kwani hili nalo ni jipya Kwako? Jiulize ushahidi wa Nassari Uko wapi? Zaidi sana mtuhumiwa amepandishwa cheo.Aisee,
Kumbe ndio miechezo yao kurubuni na kuhonga eeee??
Sad sad,Kwani hili nalo ni jipya Kwako? Jiulize ushahidi wa Nassari Uko wapi? Zaidi sana mtuhumiwa amepandishwa cheo.
Ukoo wake tu walisha msahauKachoka kuona mijitu mizima kila wakati kumbembeleza eti njoo ccm mambo yatakuendea vizuri. Wanadhani yeye ni dhaifu na kahaba wa kisiasa kama kina MOTOCHINI? Lazima aweke tahadhari asije kuchukia bure akawalamba makofi makada wenu bure! marabuk!!
hajarudi ccm kama masha lakini...he is still loyal to the partyKatika vitu ambavyo nilipongeza CCM kuvipoteza ni hiki.
Katika vitu ambavyo CHADEMA walipiga mahesabu ya hovyo kukipokea hiki pia kimo.
Ha ha ha ameamua kutangaza kuwa naye anatamani dau.Maisha yangu yote nimeishi kwa misimamo yangu na imani zangu. Nilitoka CCM tarehe 02/08/2015 na nikaacha uwaziri kukiwa na miezi mitatu mbele na kuacha mishahara na marupurupu ya miezi hiyo mitatu, nikaacha "mkono wa kwaheri" wa mwisho wa mawaziri na nikarudisha "shangingi" la serikali siku hiyo hiyo ili kujiunga na CHADEMA.
Nilifanya hivyo kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa imani yangu, msimamo wangu na dhamira yangu. Sikushawishiwa na mtu yeyote na huwa sishawishiwi bila mimi kuamini. Naishi kwa ninachokiamini kwa dhati! Hivyo hakuna kinachoweza kunishawishi kubadilisha imani na dhamira yangu ile ya tarehe 02/08/2015. Siyo njaa yangu, siyo ahadi ya fedha na wala siyo ahadi ya cheo. Na siyo hata vitisho vya aina yoyote. HAKUNA!
Hivyo acheni kutuma watu wenu, rafiki zangu na ndugu zangu kunishawishi! HUWA SISHAWISHIKI! Na imani yangu, utu wangu na msimamo wangu huwa haina bei. Kamwe sitarudi CCM ng'o! Acheni kuhangaika!