Milton Mahanga: Naomba niweke wazi, nilikuwa sitaki lakini mmezidi CCM. Acheni kunirubuni kwa fedha nirudi chama chenu

Nchi ina laana hii,watu hawana mikopo mashuleni,madawa bado ni kitendawili,umeme ambao uko stable ili kusapot hata hawa wajasiriamali wadogowadogo na wao wafikie malengo hakuna,Unachukua fungu la pesa unaenda kumpa mtu ili tu akubaliane na wewe kile unachotaka.
Vyama vya siasa nchi hii havina hata future,si CCM si Chadema,wote walioko vyama hivyo wanaangalia matumbo yao na wala sio kuwatumikia watu wao,mtu anataka akiamia chamani kesho tu maisha yake yafikie malengo,sio malengo ya kuwahudumia wananchi bali ni kujhudumia wao,jana uliamia chama fulani alafu mbaya zaidi kwa tambo na mbwembwe,leo hta miezi 2 haijafika unarudi kule kule uliko hama jana tena kwa kashfa,Huwa najiuliza hivi huyu wakati anahama alifanya hata ka utafiti kidogo kujiridhisha kwa nini anahama? sawa kulala chadema na kuamkia CCm ni haki yako kikatiba,ila upande mwingine ni kipimo cha uzuzu alio nao mtu,kama kweli ulikuwa mkweli,madahifu ya chama yanarekebishwa na wahusika yaani wanachama,ila sio kuhama au vinginevyo utuamie nimejitahidi kurekebisha hili sijafanikiwa
Nao nchi attention yote iko kwa wahama vyama,hamna anaeongea tena kuhusu tatizo ala umeme huku mtaani kwetu
 
Maisha yangu yote nimeishi kwa misimamo yangu na imani zangu. Nilitoka CCM tarehe 02/08/2015 na nikaacha uwaziri kukiwa na miezi mitatu mbele na kuacha mishahara na marupurupu ya miezi hiyo mitatu, nikaacha "mkono wa kwaheri" wa mwisho wa mawaziri, na nikarudisha "shangingi" la serikali siku hiyo hiyo ili kujiunga na CHADEMA. Nilifanya hivyo kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa imani yangu, msimamo wangu na dhamira yangu. Sikushawishiwa na mtu yeyote na huwa sishawishiwi bila mimi kuamini. Naishi kwa ninachokiamini kwa dhati! Hivyo hakuna kinachoweza kunishawishi kubadilisha imani na dhamira yangu ile ya tarehe 02/08/2015. Siyo njaa yangu, siyo ahadi ya fedha na wala siyo ahadi ya cheo. Na siyo hata vitisho vya aina yoyote. HAKUNA!

Hivyo acheni kutuma watu wenu, rafiki zangu na ndugu zangu kunishawishi! HUWA SISHAWISHIKI! Na imani yangu, utu wangu na msimamo wangu huwa haina bei. Kamwe sitarudi CCM ng'o! Acheni kuhangaika!
No price tag....! Simply priceless
 
Zombie la CCM hili! Yaani mtu ambaye alikuwa naibu waziri/waziri kwa kipindi kirefu unasema hana lolote? Kwahiyo Msando, Katambi, Wema na Mtulia wana maana kuliko mtu anayeifahamu system ya serikali ya CCM?

Yaani ujinga wa maCCM is appalling!
Ho ulowaorodhesha, wana nguvu, ushawishi, na mvuto Wa kisiasa kuliko huyo unayempakata.
 
Maisha yangu yote nimeishi kwa misimamo yangu na imani zangu. Nilitoka CCM tarehe 02/08/2015 na nikaacha uwaziri kukiwa na miezi mitatu mbele na kuacha mishahara na marupurupu ya miezi hiyo mitatu, nikaacha "mkono wa kwaheri" wa mwisho wa mawaziri, na nikarudisha "shangingi" la serikali siku hiyo hiyo ili kujiunga na CHADEMA. Nilifanya hivyo kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa imani yangu, msimamo wangu na dhamira yangu. Sikushawishiwa na mtu yeyote na huwa sishawishiwi bila mimi kuamini. Naishi kwa ninachokiamini kwa dhati! Hivyo hakuna kinachoweza kunishawishi kubadilisha imani na dhamira yangu ile ya tarehe 02/08/2015. Siyo njaa yangu, siyo ahadi ya fedha na wala siyo ahadi ya cheo. Na siyo hata vitisho vya aina yoyote. HAKUNA!

Hivyo acheni kutuma watu wenu, rafiki zangu na ndugu zangu kunishawishi! HUWA SISHAWISHIKI! Na imani yangu, utu wangu na msimamo wangu huwa haina bei. Kamwe sitarudi CCM ng'o! Acheni kuhangaika!
. Milton Mahanga, wewe si Assets, ni Liability, baki huko huko Chadema, kurubuniwa kwa wewe ni Sawa na wehu uliopitiliza, hufai kwa lolote lile ndani ya ccm kwa sasa.
Vinginevyo unatafuta Kiki na njia ya kujirudisha ccm, acha kutapatapa, ulilikoroga mwenyewe, ulinywe
 
ndio kusema hawa wanaotangaza kurudi ccm wamekubari dau la rushwa.....tafsiri iliyopo hapa ni kuwa huyu mkuu wetu nae ni mfuasi wa rushwa. naanza kumkumbuka Nyerere
 
Maisha yangu yote nimeishi kwa misimamo yangu na imani zangu. Nilitoka CCM tarehe 02/08/2015 na nikaacha uwaziri kukiwa na miezi mitatu mbele na kuacha mishahara na marupurupu ya miezi hiyo mitatu, nikaacha "mkono wa kwaheri" wa mwisho wa mawaziri, na nikarudisha "shangingi" la serikali siku hiyo hiyo ili kujiunga na CHADEMA. Nilifanya hivyo kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa imani yangu, msimamo wangu na dhamira yangu. Sikushawishiwa na mtu yeyote na huwa sishawishiwi bila mimi kuamini. Naishi kwa ninachokiamini kwa dhati! Hivyo hakuna kinachoweza kunishawishi kubadilisha imani na dhamira yangu ile ya tarehe 02/08/2015. Siyo njaa yangu, siyo ahadi ya fedha na wala siyo ahadi ya cheo. Na siyo hata vitisho vya aina yoyote. HAKUNA!

Hivyo acheni kutuma watu wenu, rafiki zangu na ndugu zangu kunishawishi! HUWA SISHAWISHIKI! Na imani yangu, utu wangu na msimamo wangu huwa haina bei. Kamwe sitarudi CCM ng'o! Acheni kuhangaika!
Nani anakuhitaji wewe!! Huna umuhimu wowote, acha kijipigia debe
 
Back
Top Bottom