SPORTBET
Screenshot_20230307-151557.jpg
 
Mkuu samahani unaweza kunijuza unapocopy codes 1xbet
Fanya hvi ingia pale palipoandkwa bet slip bonyeza hapo kwenye kiduara baada ya hapo chini kabsa utaona pameandkwa dawnload bet slip bonyeza hapo , patatokea nafasi iko wazi jazo hizo code alafu bonueza apload umemaliza
 
Timu toka iingie makundi ina on target mbili tu na haijawahi kuscore goal hata 1 ndo ije kuscore leo kwa mkapa?

Kanji sio boya.
Mechi ya leo ni do/die kwa Vipers so lazima afungulie booster zote. Anaweza asishinde ila uwezekano wa kupata goal ni mkubwa.
 
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa basketball 🏀 utagundua kitu kwenye code niliyoleta ya 1xbet...

Huyu mnaija utadhani ni carbon copy yangu! Kachagua timu zile zile nilizo post hapa, na kwenye page yangu ya twitter @Dribbler Ppftower masaa masaa 3 yaliyopita....

Unapoona code ya namna hii kufanana KILA kitu na yako.....inatoa matumaini ya kuwa...your doing the right thing!....huwa naingia chimbo mwenyewe masaa kadhaa.....
 

Attachments

  • Screenshot_20230307-162821.png
    Screenshot_20230307-162821.png
    41.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20230307-162723.png
    Screenshot_20230307-162723.png
    39 KB · Views: 8
Imma Dribbler! 🏀 With a dream of winning millions @1xbet 🏀 according to my own Vetting......one day itafahamika tu ....masaa tunayotumia kuumiza kichwa yatalipwa tu one day
 

Attachments

  • Screenshot_20230307-164539.png
    Screenshot_20230307-164539.png
    28 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230307-164413.png
    Screenshot_20230307-164413.png
    22.1 KB · Views: 5
Back
Top Bottom