Minimum ni 13 ila huo mkeka na kama kuna zilizoahirishwa wana kanuni za mechi ya juu yake matokeo yake kuhesabika na wakati mwingine away kama ndiyo yenyewe.Betpawa Jackpot, goals mechi 15 mpaka sasa nimekosea 1 nimepatia 11, bado mechi mbili za leo na moja imeahirishwa, vipi nikikosea zote 2 za leo kuna uwezekano wa kupata mpunga wowote??
Aljazeera wins + O1.5Aljazeera club na alfasl vip???
We jamaa lazima nkufuateMkeka huo.View attachment 1532885
Over ngap hiiMkeka huo.View attachment 1532885
Hasara yake Ni kidgo Sana na ndyo maana nimeanza kusema Ni swala muda na ndyo hasara yake lakin usalama wa kile unachokitegemea Ni mkubwa sanaUmeelezea faida2 hasara je, hujaelezea maana hakuna ki2 chenye faida pekee
Funguka zaidi mzee babaWakuu naamin wote humu niwatafutaji naomba tuelekezane namna nyingne ya kupata pesa kirahis na bila kutoa jasho ila kinachotaftwa Ni mda tu......naongelea maswala ya cryptoccureny....ukiivest huko Kuna faida mfano mm nilinunua etherium moja mwez wa sita mwanzon kwa sh 397000/ leo hii et etherium moja inauzwa lak 921500! Hebu unaweza kuona Ni faida Kias gan nimetengeneza. Pia nilinunua stellar 260 ambazo mwez huo zilikuwa zinauzwa kwa sh 111 kwa Kila moja lakin leo hiii stellar imepanda nakufikia 250 hapo niliweka tu pesa yangu na kutulia kwa hyo unaweza kuona Ni namna gan ilivyorahisi kuwin! Naomba mnielewe sijasema betting mbaya ila kwa anayeweza Ni vyema akawekeza huku yaan wahold!
Nawatakia majukum mema kuekelea uchumi wa kati
Mzee Ni nzur Sana ukipata time unaweza nichk inbox nitakufahamisha vizurFunguka zaidi mzee baba
Inbox!!Mzee Ni nzur Sana ukipata time unaweza nichk inbox nitakufahamisha vizur
vip mzee baba,jamaa anasema inboxInbox!!
La betpawa Hilo hapa aiseee JARIBU KULIPANDAumejilipua mzee baba naufuata huu mazima