kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,057
- 2,163
>>> Mi Mademu tu wa Sehemu HIZO yaani kama Malaika yaaaaaaani wananukia UZURI tuu >>>
Type Amen....wacha maneno!!Upuuuzi mtupu....vipi zao la bangi aka cha arusha mmeshaacha kulima au.?
Two mountainsHuna hoja ya msingi.
Fafanua zaidi.
Dah hizo habari za kutype sijui nini peleka facebook...
Iringa ipi? wekeni utaratibu wa tohara vizuri kwanza...Iringa imebarikiwa kuliko hiyo miji. Home sweaty home bana
Naifahamu miji yote ya Tanzania kwa asilimia 90. Na nimeifika.ulivyopamba tu utadhani Tanzania nzima unaijua sasa ndugu kila mtu akija hapa atasema home is the best hapa hamna baraka
Ardhi ikibarikiwa na wenyeji wake wanabarikiwa...>>> Mi Mademu tu wa Sehemu HIZO yaani kama Malaika yaaaaaaani wananukia UZURI tuu >>>
Msingepigwa kwa UKIMWIMakete ni mji ulio barikiwa kuliko miji yote Tz.
Hutaki baraka wewe?Kwa huu Uzi nimecheka sana mwenyewe
Mi ndio natokea huko mkuu. Naona kuna ukweli 100%. Nimezunguka sehemu kubwa ya TanzaniaHutaki baraka wewe?
hahaha hapana chezea mbege eti?Nyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Sijasahau.Umesahau Iringa, una hali ya hewa nzuri, hata kagera
Hiyo Dar iko hivyo kwasababu ya wabarikiwa kutoka miji niliyoitaja.Nyie sifieni ivyo vijiji vyenu, Msisahau kwamba Tanzania ni Dar es salaam