ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,144
- 50,839
Kwa wale ambao Huwa mnauliza wapi mnaweza kuwekeza na kufungua biashara basi sogezi siti.
Tanzania Ina Jumla ya Halmashauri za Majiji,Miji na Wilaya 184,kati ya hizo ni Wilaya 60 ndio Zina mzunguko mkubwa wa biashara na watu wake Wana kipato Cha uhakika na purchasing power kubwa.
Wilaya na Miji hii 60 zimepatikana kutokana na Wingi wa Makusanyo Yake ya ndani ambayo Kwa sehemu kubwa Huwa ni Mapato ya shughuli za Wananchi Moja kwa Moja.
Kwa mujibu wa kiambata Cha Bajeti ya Tamisemi,Zifuatazo ndio Wilaya na Miji/Majiji 60 yenye Mapato ya Ndani makubwa zaidi yanayoanzia Tsh.4.0 Bilions na kuendelea Kwa takwimu za mwaka wa Fedha 202/2023.
1.Dar CC =240.8
2.Dodoma CC=44.46
3.Arusha CC=32.9
4.Mwanza CC =32
5.Mbeya CC=18.65
6.Tanga CC=17.9
7.Morogoro MC=13.4
8.Chalinze DC=13.2
9.Tunduma TC=12.8
10.Geita TC=12.4
11.Mkuranga DC=10.4
12.Kahama MC=10.0
13.Tanganyika DC=9.5
14.Tarime DC=8.5
15.Njombe TC=8.2
16.Muleba DC=7.1
17.Moshi MC=6.73
18.Mbinga DC=6.7
19.Mbarali DC=6.79
20.Songea MC=6.4
21.Kilwa DC=6.39
22.Geita DC=6.31
23.Morogoro DC=6.27
24.Rungwe DC=6.22
25.Misenyi DC=5.8
26.Tabora MC=5.74
27.Mafinga TC=5.73
28.Mufindi DC=5.65
29.Kilosa DC=5.6
30.Chunya DC=5.54
31.Kyela DC=5.48
32.Singida MC=5.38
33.Msalala DC=5.38
34.Kibaha TC=5.32
35.Iringa MC=5.31
36.Bagamoyo DC=5.3
37.Shinyanga MC=5.25
38.Rufiji DC=5.24
39.Mbozi DC=5.14
40.Arusha DC=5.0
41.Kaliua DC=4.93
42.Karatu DC=4.92
43.Mbeya DC=4.7
44.Mlimba DC=4.50
45.Serengeti DC=4.48
46.Hanang' DC=4.48
47.Wanging'ombe=4.46
48.Kyerwa DC=4.44
49.Rombo DC=4.42
50.Ruangwa DC=4.36
51.Tunduru DC=4.34
52.Ngara DC=4.34
53.Kongwa DC=4.29
54.Ifakara TC=4.26
55.Karagwe DC=4.24
56.Nachingwe DC=4.21
57.Kilolo DC=4.17
58.Mtwara MC=4.16
59.Masasi DC=4.12
60.Iringa DC=4.0
cc Kitombile ,instanbul ,Accumen Mo Mkoa wa Pwani,Mbeya na Dar iko Vizuri sana.Pia soma Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania
My Take
Kuna Mikoa ukienda kutafuta maisha unaweza ambulia umaskini mfano Rukwa,Simiyu na Kigoma 🤣🤣
Tanzania Ina Jumla ya Halmashauri za Majiji,Miji na Wilaya 184,kati ya hizo ni Wilaya 60 ndio Zina mzunguko mkubwa wa biashara na watu wake Wana kipato Cha uhakika na purchasing power kubwa.
Wilaya na Miji hii 60 zimepatikana kutokana na Wingi wa Makusanyo Yake ya ndani ambayo Kwa sehemu kubwa Huwa ni Mapato ya shughuli za Wananchi Moja kwa Moja.
Kwa mujibu wa kiambata Cha Bajeti ya Tamisemi,Zifuatazo ndio Wilaya na Miji/Majiji 60 yenye Mapato ya Ndani makubwa zaidi yanayoanzia Tsh.4.0 Bilions na kuendelea Kwa takwimu za mwaka wa Fedha 202/2023.
1.Dar CC =240.8
2.Dodoma CC=44.46
3.Arusha CC=32.9
4.Mwanza CC =32
5.Mbeya CC=18.65
6.Tanga CC=17.9
7.Morogoro MC=13.4
8.Chalinze DC=13.2
9.Tunduma TC=12.8
10.Geita TC=12.4
11.Mkuranga DC=10.4
12.Kahama MC=10.0
13.Tanganyika DC=9.5
14.Tarime DC=8.5
15.Njombe TC=8.2
16.Muleba DC=7.1
17.Moshi MC=6.73
18.Mbinga DC=6.7
19.Mbarali DC=6.79
20.Songea MC=6.4
21.Kilwa DC=6.39
22.Geita DC=6.31
23.Morogoro DC=6.27
24.Rungwe DC=6.22
25.Misenyi DC=5.8
26.Tabora MC=5.74
27.Mafinga TC=5.73
28.Mufindi DC=5.65
29.Kilosa DC=5.6
30.Chunya DC=5.54
31.Kyela DC=5.48
32.Singida MC=5.38
33.Msalala DC=5.38
34.Kibaha TC=5.32
35.Iringa MC=5.31
36.Bagamoyo DC=5.3
37.Shinyanga MC=5.25
38.Rufiji DC=5.24
39.Mbozi DC=5.14
40.Arusha DC=5.0
41.Kaliua DC=4.93
42.Karatu DC=4.92
43.Mbeya DC=4.7
44.Mlimba DC=4.50
45.Serengeti DC=4.48
46.Hanang' DC=4.48
47.Wanging'ombe=4.46
48.Kyerwa DC=4.44
49.Rombo DC=4.42
50.Ruangwa DC=4.36
51.Tunduru DC=4.34
52.Ngara DC=4.34
53.Kongwa DC=4.29
54.Ifakara TC=4.26
55.Karagwe DC=4.24
56.Nachingwe DC=4.21
57.Kilolo DC=4.17
58.Mtwara MC=4.16
59.Masasi DC=4.12
60.Iringa DC=4.0
cc Kitombile ,instanbul ,Accumen Mo Mkoa wa Pwani,Mbeya na Dar iko Vizuri sana.Pia soma Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania
My Take
Kuna Mikoa ukienda kutafuta maisha unaweza ambulia umaskini mfano Rukwa,Simiyu na Kigoma 🤣🤣