INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Lily Tony

JF-Expert Member
Feb 6, 2019
2,909
3,752
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.

Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.

Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.

Screenshot_2020-09-03-09-56-41-1.png


IMG-20200901-WA0017.jpg


IMG-20200901-WA0014.jpg


2020-09-02 15.10.00.jpg


2020-09-02 15.16.31.jpg


2020-09-02 15.12.22.jpg


2020-09-02 15.13.53.jpg


2020-09-02 15.15.44.jpg


2020-09-02 15.37.41.jpg


2020-09-02 15.35.56.jpg


IMG-20200901-WA0030.jpg


2020-09-02 15.33.38.jpg


20200902_120921.jpg


2020-09-02 15.39.01.jpg
 
naomba nikuulize mkuu,hivi minazi inaweza kuota kanda ya ziwa ?

•Minazi inastawi vizuri katika maeneo yenye mvua nyingi au mabonde yenye unyevu mwingi.
•Kiangazi kisichozidi miezi 3
•Udongo wa tifutifu au kichanga
•Joto angalau 25-30C
•Pia inahitaji mwangaza wa jua wa kutosha. Hivyo basi, minazi hustawi zaidi kwenye mikoa ya ukanda wa Pwani na Mikoa ya kusini. Tofauti na maeneo hayo basi huwezi kupata matokeo mazuri.
 
Nishachukuwa namba zako tayari vizuri ni kwamba mwezi ujao nna matarajio ya kija Morogoro lengo kuu ni kuwekeza kwenye ardhi hasa Mashamba so sitotaka yakae bure i hope itanisaidia katika ushauri wa kilimo na mambo mengine
Karibu sana Morogoro lakini karibu pia SUA tukuhudumie boss. Tutakuwa bega kwa bega katika kufikia malengo yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom