Miaka 400 ya utumwa wa mtu mweusi. Kama kuna "divine justice" ya mnyonge kwa nini ishuhudie tabu hio ya muda mrefu sana.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,390
4,241
400 hundred years of slavery ya mtu mweusi katika ardhi ya marekani na visiwa vya carribean.

Miaka mia kadhaa ya utumwa na ukandamizaji wa kiovu katika bara la Afrika.

Naelewa katika process ya kukamata watumwa ilifanyika kwa kuvamia vijiji huku wengine wakiuzwa na viongozi wetu wa kaya.

Are we coded kwa ajili ya tabu?

Are we engineered to be controlled by others?

Are we stupid enough kupitia magumu yote yale?

Or

shit just happens, kwa maana hatukuwa na siraha za moto kipindi jamaa wanakuja kutuvamia.

Even after all tuliyopitia bado sisi tumebaki masikini na wasindikizaji huku tukiwa controlled indirectly na hawa hawa jamaa walio tutesa kwa kiwango uovu.

Karma yetu iko wapi? Haki ya mnyonge tunaohubiriwa iko wapi?

Au bado justice yetu haijafika?
Au mapumziko yetu sio ya hapa duniani?




Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Vijijini kuna watu wanamashamba makubwa wanalima ma ekari kwa ekari kila mwaka
Na wakati wa mavuno wanaanza kununua mahindi ya wanaolima ekari mbili mbili kisha wanakuja kuyauza kwa faida kubwa baada ya kuyaweka stoo kwa muda hadi bei itengemae

Lakini huko huko vijijini kuna wakulima masikini wa kutupwa wanao lima ekari mbili mbili kwasababu muda mwingi wanatumia kuganga njaa kwa kulima vibarua kweye mashamba ya matajiri wanao lima ma ekari kwa maekari.... na hawa masikini wanajiona kama wana laana vile kwanini hawafanikiwi

Mtaji wa kwanza wa maisha ya binadamu ni MAARIFA
Mtu akikuzidi maarifa anakutawala kwenye nyanja nyingi

Ukweli ni kwamba wenzetu “wazungu” walianza kustaarabika na kupata maarifa bora kuliko sisi

Utumwa haukuanza Afrika, ulianza huko huko kwao
Na walipo baini kuna jamii Afrika ambayo haikua na maarifa bora kama yao wakakimbilia kuja kutuchukua tukawatumikie

Nimetoa mfano wa kijijini ili upate picha jinsi matajiri wa huko wanye maarifa ya umuhimu wa kulima kibiashara kuliko wanao lima ku survival ili familia zao zile zishibe tu

Wazungu walipo kua wanakuja huku walikua wamekwisha vuka stage ya ujima kitambo sana, walikua na maarifa mengi sana wakati sisi tulikua tunaishi bila maarifa makubwa

Hoja inayo takiwa kukuumiza kichwa ni kwamba
Ni kwanini wenzetu walipata maarifa makubwa kuliko sisi?(hii ndio sababu ya haya yote)

Wazungu walipo fika Asia ya Uchina walikuta watu wana maarifa makubwa sana na wakaiba maarifa hayo kuyaendeleza zaidi
Lakini walivyokuja Afrika maarifa yatu yalikua duni mmno kiasi kwamba wakatuona kama vitendea kazi
 
Vijijini kuna watu wanamashamba makubwa wanalima ma ekari kwa ekari kila mwaka
Na wakati wa mavuno wanaanza kununua mahindi ya wanaolima ekari mbili mbili kisha wanakuja kuyauza kwa faida kubwa baada ya kuyaweka stoo kwa muda hadi bei itengemae

Lakini huko huko vijijini kuna wakulima masikini wa kutupwa wanao lima ekari mbili mbili kwasababu muda mwingi wanatumia kuganga njaa kwa kulima vibarua kweye mashamba ya matajiri wanao lima ma ekari kwa maekari

Mtaji wa kwanza wa maisha ya binadamu ni MAARIFA
Mtu akikuzidi maarifa anakutawala kwenye nyanja nyingi

Ukweli ni kwamba wenzetu “wazungu” walianza kustaarabika na kupata maarifa bora kuliko sisi

Utumwa haukuanza Afrika, ulianza huko huko kwao
Na walipo baini kuna jamii Afrika ambayo haikua na maarifa bora kama yao wakakimbilia kuja kutuchukua tukawatumikie

Nimetoa mfano wa kijijini ili upate picha jinsi matajiri wa huko wanye maarifa ya umuhimu wa kulima kibiashara kuliko wanao lima ku survival ili familia zao zile zishibe tu

Wazungu walipo kua wanakuja huku walikua wamekwisha vuka stage ya ujima kitambo sana, walikua na maarifa mengi sana wakati sisi tulikua tunaishi bila maarifa makubwa

Hoja inayo takiwa kukuumiza kichwa ni kwamba
Ni kwanini wenzetu walipata maarifa makubwa kuliko sisi?

Wazungu walipo fika Asia ya Uchina walikuta watu wana maarifa makubwa sana na wakaiba maarifa hayo kuyaendeleza zaidi
Lakini walivyokuja Afrika maarifa yatu yalikua duni mmno kiasi kwamba wakatuona kama vitendea kazi
Ahsante mkuu.

Hili ni bonge la comment.

Hongera

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani sekondari ulisoma pointi ya "Disunity" ....

Waafrika hatuna umoja tangu enzi hizo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkuu mi nadhani hatukua na MAARIFA hayo wakati hawa jamaa wanaanza kuingia

Inawezekana kabisa kulikua na umoja kwenye makabila na koo lakini hatukua na maarifa zaidi ya imani zetu za jadi ambazo wao walisha pita huko kitambo sana

Hata sasa jamaa bado wanatuzidi maarifa na wametengeneza mifumo ya kudumaza maarifa yetu ambayo lazima upite humo na ndio hapo wanapo tu control.....

Miongozo yote iwe Elimu, madawa, teknolojia, siasa, dini, uchumi, and everything wanatoa wao na kutupa sisi
Na mifumo hiyo imetutengeneza kuwa walaji zaidi ya kuwa watengenezaji

Binafai naamini hadi tutakapo tambua umuhimu wa MAARIFA kama wachina, Taiwan nk hapo ndipo tutajikomboa
Lakini tukikomaa na sijui eti tuna laana hapo tutakua tunajidanganya

Maarifa ndio kila kitu kwenye maisha haya
Knowledge is power
 
Mkuu mi nadhani hatukua na MAARIFA hayo wakati hawa jamaa wanaanza kuingia

Inawezekana kabisa kulikua na umoja kwenye makabila na koo lakini hatukua na maarifa zaidi ya imani zetu za jadi ambazo wao walisha pita huko kitambo sana

Hata sasa jamaa bado wanatuzidi maarifa na wametengeneza mifumo ya kudumaza maarifa yetu ambayo lazima upite humo na ndio hapo wanapo tu control.....

Miongozo yote iwe Elimu, madawa, teknolojia, siasa, dini, uchumi, and everything wanatoa wao na kutupa sisi
Na mifumo hiyo imetutengeneza kuwa walaji zaidi ya kuwa watengenezaji

Binafai naamini hadi tutakapo tambua umuhimu wa MAARIFA kama wachina, Taiwan nk hapo ndipo tutajikomboa
Lakini tukikomaa na sijui eti tuna laana hapo tutakua tunajidanganya

Maarifa ndio kila kitu kwenye maisha haya
Knowledge is power
Ahsante mkuu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Vijijini kuna watu wanamashamba makubwa wanalima ma ekari kwa ekari kila mwaka
Na wakati wa mavuno wanaanza kununua mahindi ya wanaolima ekari mbili mbili kisha wanakuja kuyauza kwa faida kubwa baada ya kuyaweka stoo kwa muda hadi bei itengemae

Lakini huko huko vijijini kuna wakulima masikini wa kutupwa wanao lima ekari mbili mbili kwasababu muda mwingi wanatumia kuganga njaa kwa kulima vibarua kweye mashamba ya matajiri wanao lima ma ekari kwa maekari.... na hawa masikini wanajiona kama wana laana vile kwanini hawafanikiwi

Mtaji wa kwanza wa maisha ya binadamu ni MAARIFA
Mtu akikuzidi maarifa anakutawala kwenye nyanja nyingi

Ukweli ni kwamba wenzetu “wazungu” walianza kustaarabika na kupata maarifa bora kuliko sisi

Utumwa haukuanza Afrika, ulianza huko huko kwao
Na walipo baini kuna jamii Afrika ambayo haikua na maarifa bora kama yao wakakimbilia kuja kutuchukua tukawatumikie

Nimetoa mfano wa kijijini ili upate picha jinsi matajiri wa huko wanye maarifa ya umuhimu wa kulima kibiashara kuliko wanao lima ku survival ili familia zao zile zishibe tu

Wazungu walipo kua wanakuja huku walikua wamekwisha vuka stage ya ujima kitambo sana, walikua na maarifa mengi sana wakati sisi tulikua tunaishi bila maarifa makubwa

Hoja inayo takiwa kukuumiza kichwa ni kwamba
Ni kwanini wenzetu walipata maarifa makubwa kuliko sisi?(hii ndio sababu ya haya yote)

Wazungu walipo fika Asia ya Uchina walikuta watu wana maarifa makubwa sana na wakaiba maarifa hayo kuyaendeleza zaidi
Lakini walivyokuja Afrika maarifa yatu yalikua duni mmno kiasi kwamba wakatuona kama vitendea kazi
Great thinker & big brain
 
400 hundred years of slavery ya mtu mweusi katika ardhi ya marekani na visiwa vya carribean.

Miaka mia kadhaa ya utumwa na ukandamizaji wa kiovu katika bara la Afrika.

Naelewa katika process ya kukamata watumwa ilifanyika kwa kuvamia vijiji huku wengine wakiuzwa na viongozi wetu wa kaya.

Are we coded kwa ajili ya tabu?

Are we engineered to be controlled by others?

Are we stupid enough kupitia magumu yote yale?

Or

shit just happens, kwa maana hatukuwa na siraha za moto kipindi jamaa wanakuja kutuvamia.

Even after all tuliyopitia bado sisi tumebaki masikini na wasindikizaji huku tukiwa controlled indirectly na hawa hawa jamaa walio tutesa kwa kiwango uovu.

Karma yetu iko wapi? Haki ya mnyonge tunaohubiriwa iko wapi?

Au bado justice yetu haijafika?
Au mapumziko yetu sio ya hapa duniani?




Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Nafikiri pia inaweza kuwa "nature" ili amua ili kubalance ecology ya Ulimwengu.
Vipi kama mbugani swala angepewa uwezo wa kumla simba na simba kumla swala...
Au wote ingebidi wale majani nafikiri balance ya maisha usingekuwepo na huwenda maisha yangekuwa ni taabu kubwa kuliko ilo sasa kwa sababu hii inakuja tu kwamfano...
Inapo tokea ndani ya familia anakosekana mwenye ku Control power hio ndoa mala nyingi ni taabu ku survive
NOTE: Ili balance iwepo lazima pawe na.
Hevy one
Middle one
& Weak one
Ili wote wenye nguvu wapate pa kupumzikia maana akikosekana mnyonge basi nyie magiant mtaanza kuwindana sasa ha ina kua ile kula
 
Nafikiri pia inaweza kuwa "nature" ili amua ili kubalance ecology ya Ulimwengu.
Vipi kama mbugani swala angepewa uwezo wa kumla simba na simba kumla swala...
Au wote ingebidi wale majani nafikiri balance ya maisha usingekuwepo na huwenda maisha yangekuwa ni taabu kubwa kuliko ilo sasa kwa sababu hii inakuja tu kwamfano...
Inapo tokea ndani ya familia anakosekana mwenye ku Control power hio ndoa mala nyingi ni taabu ku survive
NOTE: Ili balance iwepo lazima pawe na.
Hevy one
Middle one
& Weak one
Ili wote wenye nguvu wapate pa kupumzikia maana akikosekana mnyonge basi nyie magiant mtaanza kuwindana sasa ha ina kua ile kula
Khaaah! Kudadadeki yani nature imeamua sisi ndo tuwe vibonde wa Dunia hii. Kuna ishara zinaonesha kabisa sisi ni wazembe bhana sio kwamba ni vibonde kweli

Nadharia yako isiwe ata na chembe ya kweli (naikemea)Bali ukweli na hoja kuu ibaki kuwa tunajilostisha wenyewe kisha sababu zingine zifuatie,hivyo tunatakiwa tupambane
 
Khaaah! Kudadadeki yani nature imeamua sisi ndo tuwe vibonde wa Dunia hii. Kuna ishara zinaonesha kabisa sisi ni wazembe bhana sio kwamba ni vibonde kweli

Nadharia yako isiwe ata na chembe ya kweli (naikemea)Bali ukweli na hoja kuu ibaki kuwa tunajilostisha wenyewe kisha sababu zingine zifuatie,hivyo tunatakiwa tupambane
Why not#Kwani swala alipenda kuumbwa swala ili aliwe na simba mkuu?
 
Africa tuna ujinga mwingi wa kipumbavu sana.
Tuna teseka kwa sababu ya upumbavu wetu wakujitakia wenyewe.

Kuna vitu viwili vinatutesa sana.
1,Ujinga.
2, Ubinafsi wa kipumbavu.

Tukiacha ubinafsi ,yani tukiacha kufikiria matumboyetu kwa kujilimbikizia mali ambazo almost zote zinawafaidisha wazungu kwaujinga wetu.

Yani mtu unafanya ufisadi kwenye nchi yako mwenyewe alafu unafungua account nje ya nchi kwa wazungu Ili ufiche pesa huko then indirect wazungu wanatukopesha alafu tunalipa riba.

Yani unasaini mikataba yenye ubovu wa kutisha na hata ukiambiwa hujali kwasababu unanguvu ya kiutawala, badala ya kutumia nguvu hiyo kuiongoza nchi kufikia malengo ya kimaendeleo wewe unaiongiza nchi kufikia malengo binafsi.

Tunanjia fupi sana ya kwenda kufikia uhuru kamili, tunaangushwa na ujinga na ubinafsi tu.
Siku tukiacha ubinafsi wa kipumbavu tukaamua kuanza kufikiri kwaajili ya maendeleo ya nchi zetu na vizazivyetu,kuanzia hapo yutatafuta namna ya kupata maarifa mapya ya jinsi ya kujiendeleza kulingana na mazingirayetu.

Inatia chungu sana udhaifu wakijinga katika mambo ambayo yapo ndani ya uwezowetu.

Mfano eti mpaka sasa tunaletewa msaada wa chakula while we own all the enablers that supporting agriculture!!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Jambo kubwa kabla ya yote ni kupata historia kabla ya utumwa kutufikia maisha mababu zetu yalikuwaje maana hakuna historia kamili ya muafrika.
 
Nafikiri pia inaweza kuwa "nature" ili amua ili kubalance ecology ya Ulimwengu.
Vipi kama mbugani swala angepewa uwezo wa kumla simba na simba kumla swala...
Au wote ingebidi wale majani nafikiri balance ya maisha usingekuwepo na huwenda maisha yangekuwa ni taabu kubwa kuliko ilo sasa kwa sababu hii inakuja tu kwamfano...
Inapo tokea ndani ya familia anakosekana mwenye ku Control power hio ndoa mala nyingi ni taabu ku survive
NOTE: Ili balance iwepo lazima pawe na.
Hevy one
Middle one
& Weak one
Ili wote wenye nguvu wapate pa kupumzikia maana akikosekana mnyonge basi nyie magiant mtaanza kuwindana sasa ha ina kua ile kula
Wanyama hawana akili kama sisi na tofauti zetu zipo wazi kabisa
Wachina walikuja na Silk Road biashara iliyofika Dunia nzima mpaka bidhaa zililetwa Africa pia
Yote hayo bado tulikuwa tunakenua meno tu ingawa ni binadam kama wao
Wafanyabiashara walileta nguo na kuchukua vitu toka kwetu ila sisi hatukuweza kwenda kwao pia kuleta wenyewe

Mpaka walipoona hawa ndio fursa wakaanza kutubeba kama swala
 
Nafikiri pia inaweza kuwa "nature" ili amua ili kubalance ecology ya Ulimwengu.
Vipi kama mbugani swala angepewa uwezo wa kumla simba na simba kumla swala...
Au wote ingebidi wale majani nafikiri balance ya maisha usingekuwepo na huwenda maisha yangekuwa ni taabu kubwa kuliko ilo sasa kwa sababu hii inakuja tu kwamfano...
Inapo tokea ndani ya familia anakosekana mwenye ku Control power hio ndoa mala nyingi ni taabu ku survive
NOTE: Ili balance iwepo lazima pawe na.
Hevy one
Middle one
& Weak one
Ili wote wenye nguvu wapate pa kupumzikia maana akikosekana mnyonge basi nyie magiant mtaanza kuwindana sasa ha ina kua ile kula
Rafiki Isadeus, hilo eco-balance unaliwaza kwa ufupi na uvivu mkubwa. Hebu ondoa uvivu na jiulize, kwa nini hii eco-balance iwe kwetu Waafrika tu? Na kwa nini hata baada ya uhuru wa Afrika, tunashindwa kujiongeza na kupata maendeleo yetu sisi wenyewe? Hapa mchawi ni nani? Ni mzungu au sisi wenyewe? Kwa nini nchi za weupe kama India, Malaysia, Singapore na nyinginezo za weupe zilizotwaliwa na hao wazungu, almost tulipata nao uhuru kwa kitambo siyo kikubwa. Angalia sasa wali walivyotuacha sasa kwa mbali kimaendeleo!
Nafikiri, shida moja kubwa kwetu ni pale tulipokubali kutaliwa kiimani kwa kubadilishwa dini. Mtu akisha kukutawata kiimani/kiakili, basi wewe kwisha! Kwani kila kitu chako kizuri, itaambiwa ni cha kishenzi na kipagani kinampinga M/Mungu ama ni dhambi! Pia unakuwa mvivu wa kufikiri, unakuwa mrahisi wa kupokea kila kitu, hujishughulishi. Pia sisi Waafrika tu wabinafsi sana na wenye roho mbaya sana! Je, waweza fikiria kwa nini sisi Wa Tanganyika tangu tupate uhuru sasa ni miaka karibia 63 hivi na bado hatujitegemea hata kutengeza jembe la mkono, sindano, visu, gari n.k?
Utaona wanasiasa wanasingizia eti mkoloni alitinyonya sana! Hii inaingia akilini mwako kweli? Angalia wakati wa ubinagsishaji wa viwanda vyetu, badala ya kupewa wazawa, tuliwapa hao hao weupe! Kwa nini tusingewapa wazawa na kuwapatia ruzuku na kuwajengea uwezo kwa kuwapatia wataalamu hata kwa kukodi, then tukawatungia sheria kali ya usimamizi wa kuviua hivyo viwanda ikiwepo serikali kuwasaidia kutafuta masoko? Yote kwa yote, madiliko huanzia kwa mtu mmoja mmoja, sasa anza wewe badala ya malalamiko. Tuanze sasa, wewe, mimi na wengine watafuata na huwenda tukawazi hata wazungu, kwa sababu sasa kazi zingine tumesharahisishiwa, twaweza fanya kopi and paisti! Unaona?
Shime tuanze, mfano kama kule nchini India, tractor za kulimia brand mojawapo walikopi toka kwa Mrusi na wamefanikiwa sana tu, ikiwepo Vespa, (Italy), tata ( m/ benz) n.k
Hebu wote wasio wanasiasa tufanye mapinduzi ya kiteknolojia!
Kwa leo niishie hapa.
 
Vijijini kuna watu wanamashamba makubwa wanalima ma ekari kwa ekari kila mwaka
Na wakati wa mavuno wanaanza kununua mahindi ya wanaolima ekari mbili mbili kisha wanakuja kuyauza kwa faida kubwa baada ya kuyaweka stoo kwa muda hadi bei itengemae

Lakini huko huko vijijini kuna wakulima masikini wa kutupwa wanao lima ekari mbili mbili kwasababu muda mwingi wanatumia kuganga njaa kwa kulima vibarua kweye mashamba ya matajiri wanao lima ma ekari kwa maekari.... na hawa masikini wanajiona kama wana laana vile kwanini hawafanikiwi

Mtaji wa kwanza wa maisha ya binadamu ni MAARIFA
Mtu akikuzidi maarifa anakutawala kwenye nyanja nyingi

Ukweli ni kwamba wenzetu “wazungu” walianza kustaarabika na kupata maarifa bora kuliko sisi

Utumwa haukuanza Afrika, ulianza huko huko kwao
Na walipo baini kuna jamii Afrika ambayo haikua na maarifa bora kama yao wakakimbilia kuja kutuchukua tukawatumikie

Nimetoa mfano wa kijijini ili upate picha jinsi matajiri wa huko wanye maarifa ya umuhimu wa kulima kibiashara kuliko wanao lima ku survival ili familia zao zile zishibe tu

Wazungu walipo kua wanakuja huku walikua wamekwisha vuka stage ya ujima kitambo sana, walikua na maarifa mengi sana wakati sisi tulikua tunaishi bila maarifa makubwa

Hoja inayo takiwa kukuumiza kichwa ni kwamba
Ni kwanini wenzetu walipata maarifa makubwa kuliko sisi?(hii ndio sababu ya haya yote)

Wazungu walipo fika Asia ya Uchina walikuta watu wana maarifa makubwa sana na wakaiba maarifa hayo kuyaendeleza zaidi
Lakini walivyokuja Afrika maarifa yatu yalikua duni mmno kiasi kwamba wakatuona kama vitendea kazi
Ukifatilia kwa makini hadi leo hatujafika mapinduzi ya kilimo ambayo wenzetu walafanya moaka ya 1600. Nyerere alijaribu so Kikwete and Magu plus the rest of African black leaders lakini hakuna. Waarab wamepita short cut kwa mafuta sisi ilitakiwa pia tupite short cut ya mafuta na madini lakini wazungu pia hawatuachii kwa kuwa akili zetu wengi wa viongozi ni mavi mavi tu
 
Rafiki Isadeus, hilo eco-balance unaliwaza kwa ufupi na uvivu mkubwa. Hebu ondoa uvivu na jiulize, kwa nini hii eco-balance iwe kwetu Waafrika tu? Na kwa nini hata baada ya uhuru wa Afrika, tunashindwa kujiongeza na kupata maendeleo yetu sisi wenyewe? Hapa mchawi ni nani? Ni mzungu au sisi wenyewe? Kwa nini nchi za weupe kama India, Malaysia, Singapore na nyinginezo za weupe zilizotwaliwa na hao wazungu, almost tulipata nao uhuru kwa kitambo siyo kikubwa. Angalia sasa wali walivyotuacha sasa kwa mbali kimaendeleo!
Nafikiri, shida moja kubwa kwetu ni pale tulipokubali kutaliwa kiimani kwa kubadilishwa dini. Mtu akisha kukutawata kiimani/kiakili, basi wewe kwisha! Kwani kila kitu chako kizuri, itaambiwa ni cha kishenzi na kipagani kinampinga M/Mungu ama ni dhambi! Pia unakuwa mvivu wa kufikiri, unakuwa mrahisi wa kupokea kila kitu, hujishughulishi. Pia sisi Waafrika tu wabinafsi sana na wenye roho mbaya sana! Je, waweza fikiria kwa nini sisi Wa Tanganyika tangu tupate uhuru sasa ni miaka karibia 63 hivi na bado hatujitegemea hata kutengeza jembe la mkono, sindano, visu, gari n.k?
Utaona wanasiasa wanasingizia eti mkoloni alitinyonya sana! Hii inaingia akilini mwako kweli? Angalia wakati wa ubinagsishaji wa viwanda vyetu, badala ya kupewa wazawa, tuliwapa hao hao weupe! Kwa nini tusingewapa wazawa na kuwapatia ruzuku na kuwajengea uwezo kwa kuwapatia wataalamu hata kwa kukodi, then tukawatungia sheria kali ya usimamizi wa kuviua hivyo viwanda ikiwepo serikali kuwasaidia kutafuta masoko? Yote kwa yote, madiliko huanzia kwa mtu mmoja mmoja, sasa anza wewe badala ya malalamiko. Tuanze sasa, wewe, mimi na wengine watafuata na huwenda tukawazi hata wazungu, kwa sababu sasa kazi zingine tumesharahisishiwa, twaweza fanya kopi and paisti! Unaona?
Shime tuanze, mfano kama kule nchini India, tractor za kulimia brand mojawapo walikopi toka kwa Mrusi na wamefanikiwa sana tu, ikiwepo Vespa, (Italy), tata ( m/ benz) n.k
Hebu wote wasio wanasiasa tufanye mapinduzi ya kiteknolojia!
Kwa leo niishie hapa.
Upo sahihi na vitu vipo wazi kabisa na hata kama nchi tukaamua kuanza leo win- win situation ipo upande wetu
Mfano: Sukari,mafuta ya kula na ngano ni vitu ambavyo vipo imported kwa kias kikubwa sana lakin naamini tukiamua kwa mazao hayo kama nchi tunaweza kuwekeza kwa muda mfupi sisi ndio tukawa wasafirishaji kuuza nje
Ukija upande wa mifugo nilistaajabu **** muda niliona makala inaelezwa kiwango cha nyama na maziwa zinazo ingizwa kuja kuuzwa nchin kutoka nchi za nje huku mkulima wa ndani ana uza malighafi mbichi ( un processed) milk/kwa bei ya 700/L
 
Ubinafsi na uroho wa madaraka ndio kinachotuponza
Inatakiwa vitengo vya siasa na vingine huko juu vipunguziwe masrahi kwa sana ili watu wafilikie kuja kwenye kilimo na sekta zingine binafs kuliko kutolea macho mifumo rasmi na siasa halafu sekta muhimu kama kilimo inaonekana kama vile ni chaguo la waliofeli maisha too sad
 
Back
Top Bottom