Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,261
- 113,779
- Thread starter
- #461
Kuna watu kama mimi nimejoin karibuni mwaka jana ila nilikuwa nafatilia nyuzi sababu ukiwa nje ndo ilikuwa the only way ya kupata breaking news. Nilikuwa nasita kujoin sijui kwanini mpaka mwaka jana nikaona liwalo na liwe ngoja nijoin. Sijaona polisi mlangoni kunikamata. Nawashukuru wale waliowezesha JF kufikia hapa na wachangiaji wa nyuzi mahiri ambazo zimetuliwaza, sikitisha, elimisha na kutuchekesha saana. Nafurahishwa sana na Avatar za watu kuliko chochote.
Melo na Mods wote komaa kuhusu hii issue ya Polisi. Mimi kama Member niko tayari kuchangia gharama za lawyer kama mtahitaji mradi mtujulishe kivipi ili tusije tukaingia mkenge na hao NSHEMBA maana huwa wanakuja kwa kila aina.
Nimeweza kupata marafiki humu na vile vile nimepata maadui ambao wamenitumia mess ambazo nilishindwa hata kujibu nikaona ukishayavulia nguo lazima uyaoge. Nyani Ngabu thanks a lot for this thread, you made all of who care for this Place called JF happy. Be blessed. xxxxxxx
Ahlan wa sahlan!