Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 211
- 584
Huwa unamfuta mwenzako au mkishamaliza kila mtu atajijua.
Hujui kumfuta mwenzako ni kitu kizuri, unaishika unaingeuza huku na huku ukimfuta akiwa ametandaza miguu yake au amenyoosha miguu yake imekufa ganzi huku ikiwa imetela.
Tumia kitambaa laini, kanga au kimtandio sio hilo sweta au t-shirt la mazoezi au kazini. ithamini hiyo sehemu usiifute na linguo lako chafu.
Hujui kumfuta mwenzako ni kitu kizuri, unaishika unaingeuza huku na huku ukimfuta akiwa ametandaza miguu yake au amenyoosha miguu yake imekufa ganzi huku ikiwa imetela.
Tumia kitambaa laini, kanga au kimtandio sio hilo sweta au t-shirt la mazoezi au kazini. ithamini hiyo sehemu usiifute na linguo lako chafu.