SoC03 Mfumo wa pamoja wa taarifa zote za wananchi

Stories of Change - 2023 Competition

Mkoba wa Mama

Senior Member
May 5, 2021
115
46
UTANGULIZI.

Ninashauri uundwe mfumo maalumu utakao beba taarifa zote muhimu za wananchi kuanzia pale mtu anapozaliwa mpaka kufariki. Mfumo huu uwe wa kielektroniki utakaosimamiwa na mamlaka zinazohusika na mambo ya uraia, ili usaidie upatikanaji wa taarifa zote muhimu za wananchi katika sehemu moja na kwa urahisi zaidi.

MAELEZO MUHIMU.

Mfumo huu utakuwa ukiwezesha mamlaka husika kuiingiza taarifa za mtu baada ya kudhibitisha taarifa hizo ni sahihi na ni za mtu aliye kusudiwa.

Taarifa za mtu zitakuwa zikitumwa na taasisi mbalimbali (mfano hospitali, shule, vyuo, baraza la mitihani, NHIF, NIDA, polisi, mahakama na taasisi nyingine) katika mamlaka itakayo kuwa ikisimamia mfumo huo, taarifa hizo zitahakikiwa kama ni sahihi kabla ya kuingizwa katika mfumo.
Kwa maana hiyo kila mwananchi atatengenezewa akaunti yake maalumu itakayo kuwa na taarifa zake zote na kupatiwa kitambulisho kitakachokuwa na namba ya akaunti hiyo. Akaunti hiyo iwe na vipengele mbalimbali kama vile sehemu ya taarifa za elimu, afya, ajira, uraia, anuani na makazi, na vipengele vingine.

Mwananchi atakuwa na uwezo wa kuingia katika akaunti yake kwa kutumia namba maalumu na ataona taarifa zake zote, lakini hatokuwa na uwezo wa kubadili taarifa hizo yeye binafsi. Iwapo baadhi ya taarifa za mtu zitakuwa sio sahihi na zinahitaji marekebisho, basi mhusika atawasiliana na mamlaka husika na kutoa udhibitisho wa taarifa sahihi na mamlaka watahakiki taarifa hizo na baada ya hapo taarifa zake zitarekebishwa.

Mfumo huu utawezesha mamlaka husika kuingiza taarifa zilizotumwa na kuthibitishwa kutoka katika taasisi mbalimbali za umma, mfano baada ya kuzaliwa, hospitali alipo zaliwa mtoto watatuma taarifa kwa mamlaka husika na mtoto huyo atatengenezewa akaunti na taarifa zake zitaingizwa (tarehe na mwaka wa kuzaliwa, mahali alipozaliwa, jinsia, taarifa muhimu za wazazi wake na taarifa nyingine muhimu ambazo hukusanywa pale mtoto anapozaliwa).

Taarifa zitakuwa zikiboreshwa/kuhaririwa kadri mtu anavyozidi kukua na kupiga hatua nyingine katika maisha. Mfano mtoto atakapo sajiliwa shule, shule aliyo sajiliwa mtoto itatuma taarifa za mwanafunzi huyo kwa mamlaka husika na hivyo kuingizwa kwenye akaunti ya mhusika maana tayari akaunti ilishaundwa mtoto alipozaliwa (mwaka alioanza shule, umri, shule anayosoma, mzazi/mlezi anayehusika na usimamizi wa mtoto na taarifa nyingine muhimu).

Mtu atakapo hitimu katika ngazi yoyote ya elimu, taarifa zake zitaingizwa kwenye akaunti yake (mfano, shule/chuo alipohitimu, mwaka wa kuhitimu, fani/masomo aliyosoma, matokeo yake na taarifa zote zinazohusika).

Vivyo hivyo mtu atakapo ajiriwa/ kujiajiri. Iwapo ataajiriwa, basi mwajiri wake atatakiwa kutuma taarifa zote sahihi (mfano, aina ya ajira, mkataba, mwaka alioajiriwa, na taarifa nyingine muhimu zinazohusu ajira hiyo). Na ikitokea mtu amejiajiri, basi itambidi atume taarifa sahihi kwa mamlaka husika na mamlaka wajithibitishie kabla ya kuingiza taarifa hizo katika akaunti ya mhusika (mfano aina ya shughuli anayofanya, mahali anapofanya shughuli zake, mtaji wake na vitu vingine muhimu).

Lakini pia mfumo huu utawezesha jeshi la polisi na taasisi nyingine za usalama na haki, kutuma taarifa za mtu yeyote atakaye kutwa na hatia/kosa kwa mamlaka husika ili taarifa ziingizwe katika akaunti ya mhusika na zibaki katika kumbukumbu (mfano, aina ya kosa, mahali alipotenda kosa hilo, mda/mwaka aliotenda kosa, sababu, madhara yaliyosababishwa na kosa hilo, aina ya adhabu aliyopewa na taarifa zote muhimu zinazohusiana na mashtaka).

Ikitokea mtu amefariki, taarifa za kifo zifikishwe kwa mamlaka husika ili kuwezesha kuingizwa katika akaunti ya yule aliyefariki (mfano, tarehe na mwaka aliofariki, mahali kifo kilipotokea, sababu ya kifo na vitu vyote muhimu).

Mbali na taarifa hizo, mfumo huo pia utubeba taarifa mbalimali, taarifa hizo ni kama vile hali ya ndoa, umiliki wa mali, kitambulisho cha taifa, leseni ya udereva, bima ya afya, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha taifa na viambatanisho vingine. Hivyo mtu atatengenezewa kitambulisho na namba moja tu, na atatumia kitambulisho na namba hiyo kuona taarifa zake zote na kwa shughuli nyingine zitakazo hitaji kupata taarifa zake.

Kwa mfano kama mtu amejiunga na bima ya afya, akifika hospitali atatoa kitambulisho chake, wataingiza namba yake mtandaoni na taarifa zake zote zinazohusu bima zitaonekana, vivyo hivyo hata katika maeneo mengine, mfano dereva amekamatwa barabarani na askari, atawapatia kitambulisho chake, wataingiza namba yake mtandaoni na wataona taarifa zake zote zinazohusiana na leseni.

NINI UMUHIMU WA MFUMO HUU.

Kwanza kabisa utawezesha serikali kuwa na taarifa sahihi, halali na za uhakika za wananchi wake, hivyo kupunguza udanganyifu wa taarifa na taarifa za kughushi ambazo baadhi ya watu hutumia katika baadhi ya mambo ikiwemo kupata ajira au kupata nafasi ya kufanya kitu fulani.

Kuwezesha serikali kupata takwimu mbalimbali kwa urahisi zaidi sehemu moja, hivyo kupunguza baadhi ya gharama na mda mrefu wa upatikanaji wa takwimu, hivyo kurahisisha shughuli mbalimbali za serikali hasa katika kuwahudumia wananchi, takwimu hizo ni kama vile; hali ya vizazi na vifo, hali ya elimu, idadi ya walio ajiriwa na kujiajiri, uhalifu na takwimu nyingine muhimu.

Kupunguza usumbufu wakati wa kuajiri/kuajiriwa.
Hapa mwajiri ataweza kuingia mtandaoni na kuangalia akaunti ya mtu anayetaka kumuajiri, hivyo ataweza kuona taarifa zote anazohitaji kuziona. Hii itapunguza usumbufu wa watu kutembea na makaratasi wakitafuta ajira na kupunguza gharama za watu kuandaa na kutuma vyeti vya elimu na taaluma wakati wa kutuma maombi ya kazi, pia kuondoa udanganyifu wa kutumia cheti cha mtu mwingine.

Faida nyingine, ni wakati wa zoezi la sensa ya watu na makazi, serikali itaweza kupata taarifa zote muhimu za wananchi katika mfumo huo na kwa urahisi zaidi.

Kupunguza gharama ya uandaaji wa nakala ngumu za vitambulisho na vyeti mbalimbali, lakini pia usumbufu pale mtu anapopoteza kitambulisho au cheti hivyo kumgharimu fedha na mda wa kufuatilia nakala nyingine.

Lakini pia kupunguza wingi wa vitambulisho na vyeti ambavyo watu hupewa na taasisi mbalimbali ili kuwawezesha kupata huduma mahala fulani.

HITIMISHO.

Ili kuwezesha mfumo huu unahitaji wataalamu wa teknolojia ili kuuandaa, kuuendesha na kuuwezesha kufanya kazi kwa ufanisi bila kuingiliwa na mtu au taasisi yoyote ile. Hivyo serikali itumie wataalamu waliopo kuandaa na kuendesha mfumo huu.

Ahsanteni.
 
UTANGULIZI.

Ninashauri uundwe mfumo maalumu utakao beba taarifa zote muhimu za wananchi kuanzia pale mtu anapozaliwa mpaka kufariki. Mfumo huu uwe wa kielektroniki utakaosimamiwa na mamlaka zinazohusika na mambo ya uraia, ili usaidie upatikanaji wa taarifa zote muhimu za wananchi katika sehemu moja na kwa urahisi zaidi.

MAELEZO MUHIMU.

Mfumo huu utakuwa ukiwezesha mamlaka husika kuiingiza taarifa za mtu baada ya kudhibitisha taarifa hizo ni sahihi na ni za mtu aliye kusudiwa.

Taarifa za mtu zitakuwa zikitumwa na taasisi mbalimbali (mfano hospitali, shule, vyuo, baraza la mitihani, NHIF, NIDA, polisi, mahakama na taasisi nyingine) katika mamlaka itakayo kuwa ikisimamia mfumo huo, taarifa hizo zitahakikiwa kama ni sahihi kabla ya kuingizwa katika mfumo.
Kwa maana hiyo kila mwananchi atatengenezewa akaunti yake maalumu itakayo kuwa na taarifa zake zote na kupatiwa kitambulisho kitakachokuwa na namba ya akaunti hiyo. Akaunti hiyo iwe na vipengele mbalimbali kama vile sehemu ya taarifa za elimu, afya, ajira, uraia, anuani na makazi, na vipengele vingine.

Mwananchi atakuwa na uwezo wa kuingia katika akaunti yake kwa kutumia namba maalumu na ataona taarifa zake zote, lakini hatokuwa na uwezo wa kubadili taarifa hizo yeye binafsi. Iwapo baadhi ya taarifa za mtu zitakuwa sio sahihi na zinahitaji marekebisho, basi mhusika atawasiliana na mamlaka husika na kutoa udhibitisho wa taarifa sahihi na mamlaka watahakiki taarifa hizo na baada ya hapo taarifa zake zitarekebishwa.

Mfumo huu utawezesha mamlaka husika kuingiza taarifa zilizotumwa na kuthibitishwa kutoka katika taasisi mbalimbali za umma, mfano baada ya kuzaliwa, hospitali alipo zaliwa mtoto watatuma taarifa kwa mamlaka husika na mtoto huyo atatengenezewa akaunti na taarifa zake zitaingizwa (tarehe na mwaka wa kuzaliwa, mahali alipozaliwa, jinsia, taarifa muhimu za wazazi wake na taarifa nyingine muhimu ambazo hukusanywa pale mtoto anapozaliwa).

Taarifa zitakuwa zikiboreshwa/kuhaririwa kadri mtu anavyozidi kukua na kupiga hatua nyingine katika maisha. Mfano mtoto atakapo sajiliwa shule, shule aliyo sajiliwa mtoto itatuma taarifa za mwanafunzi huyo kwa mamlaka husika na hivyo kuingizwa kwenye akaunti ya mhusika maana tayari akaunti ilishaundwa mtoto alipozaliwa (mwaka alioanza shule, umri, shule anayosoma, mzazi/mlezi anayehusika na usimamizi wa mtoto na taarifa nyingine muhimu).

Mtu atakapo hitimu katika ngazi yoyote ya elimu, taarifa zake zitaingizwa kwenye akaunti yake (mfano, shule/chuo alipohitimu, mwaka wa kuhitimu, fani/masomo aliyosoma, matokeo yake na taarifa zote zinazohusika).

Vivyo hivyo mtu atakapo ajiriwa/ kujiajiri. Iwapo ataajiriwa, basi mwajiri wake atatakiwa kutuma taarifa zote sahihi (mfano, aina ya ajira, mkataba, mwaka alioajiriwa, na taarifa nyingine muhimu zinazohusu ajira hiyo). Na ikitokea mtu amejiajiri, basi itambidi atume taarifa sahihi kwa mamlaka husika na mamlaka wajithibitishie kabla ya kuingiza taarifa hizo katika akaunti ya mhusika (mfano aina ya shughuli anayofanya, mahali anapofanya shughuli zake, mtaji wake na vitu vingine muhimu).

Lakini pia mfumo huu utawezesha jeshi la polisi na taasisi nyingine za usalama na haki, kutuma taarifa za mtu yeyote atakaye kutwa na hatia/kosa kwa mamlaka husika ili taarifa ziingizwe katika akaunti ya mhusika na zibaki katika kumbukumbu (mfano, aina ya kosa, mahali alipotenda kosa hilo, mda/mwaka aliotenda kosa, sababu, madhara yaliyosababishwa na kosa hilo, aina ya adhabu aliyopewa na taarifa zote muhimu zinazohusiana na mashtaka).

Ikitokea mtu amefariki, taarifa za kifo zifikishwe kwa mamlaka husika ili kuwezesha kuingizwa katika akaunti ya yule aliyefariki (mfano, tarehe na mwaka aliofariki, mahali kifo kilipotokea, sababu ya kifo na vitu vyote muhimu).

Mbali na taarifa hizo, mfumo huo pia utubeba taarifa mbalimali, taarifa hizo ni kama vile hali ya ndoa, umiliki wa mali, kitambulisho cha taifa, leseni ya udereva, bima ya afya, cheti cha kuzaliwa, kitambulisho cha taifa na viambatanisho vingine. Hivyo mtu atatengenezewa kitambulisho na namba moja tu, na atatumia kitambulisho na namba hiyo kuona taarifa zake zote na kwa shughuli nyingine zitakazo hitaji kupata taarifa zake.

Kwa mfano kama mtu amejiunga na bima ya afya, akifika hospitali atatoa kitambulisho chake, wataingiza namba yake mtandaoni na taarifa zake zote zinazohusu bima zitaonekana, vivyo hivyo hata katika maeneo mengine, mfano dereva amekamatwa barabarani na askari, atawapatia kitambulisho chake, wataingiza namba yake mtandaoni na wataona taarifa zake zote zinazohusiana na leseni.

NINI UMUHIMU WA MFUMO HUU.

Kwanza kabisa utawezesha serikali kuwa na taarifa sahihi, halali na za uhakika za wananchi wake, hivyo kupunguza udanganyifu wa taarifa na taarifa za kughushi ambazo baadhi ya watu hutumia katika baadhi ya mambo ikiwemo kupata ajira au kupata nafasi ya kufanya kitu fulani.

Kuwezesha serikali kupata takwimu mbalimbali kwa urahisi zaidi sehemu moja, hivyo kupunguza baadhi ya gharama na mda mrefu wa upatikanaji wa takwimu, hivyo kurahisisha shughuli mbalimbali za serikali hasa katika kuwahudumia wananchi, takwimu hizo ni kama vile; hali ya vizazi na vifo, hali ya elimu, idadi ya walio ajiriwa na kujiajiri, uhalifu na takwimu nyingine muhimu.

Kupunguza usumbufu wakati wa kuajiri/kuajiriwa.
Hapa mwajiri ataweza kuingia mtandaoni na kuangalia akaunti ya mtu anayetaka kumuajiri, hivyo ataweza kuona taarifa zote anazohitaji kuziona. Hii itapunguza usumbufu wa watu kutembea na makaratasi wakitafuta ajira na kupunguza gharama za watu kuandaa na kutuma vyeti vya elimu na taaluma wakati wa kutuma maombi ya kazi, pia kuondoa udanganyifu wa kutumia cheti cha mtu mwingine.

Faida nyingine, ni wakati wa zoezi la sensa ya watu na makazi, serikali itaweza kupata taarifa zote muhimu za wananchi katika mfumo huo na kwa urahisi zaidi.

Kupunguza gharama ya uandaaji wa nakala ngumu za vitambulisho na vyeti mbalimbali, lakini pia usumbufu pale mtu anapopoteza kitambulisho au cheti hivyo kumgharimu fedha na mda wa kufuatilia nakala nyingine.

Lakini pia kupunguza wingi wa vitambulisho na vyeti ambavyo watu hupewa na taasisi mbalimbali ili kuwawezesha kupata huduma mahala fulani.

HITIMISHO.

Ili kuwezesha mfumo huu unahitaji wataalamu wa teknolojia ili kuuandaa, kuuendesha na kuuwezesha kufanya kazi kwa ufanisi bila kuingiliwa na mtu au taasisi yoyote ile. Hivyo serikali itumie wataalamu waliopo kuandaa na kuendesha mfumo huu.

Ahsanteni.
Fvck the government

I'm against anything to help the GOVERNMENT on anything!

Fvck the government and anybody down wit'em,fvck em too!
 
As an independent human being with brain enough to run your own life,how the fvck do you need government for?

Fvck the government and its people!

Fvck the government and its politicians running it,they go to hell and burn for eternity!

Fvck 'em!
Wyatt! Ugomvi wako na serikali ulianzia wapi mkuu? Hostility uliyonayo kwa serikali hasa za kiafrika ni ya kutisha mno.
 
As an independent human being with brain enough to run your own life,how the fvck do you need government for?

Fvck the government and its people!

Fvck the government and its politicians running it,they go to hell and burn for eternity!

Fvck 'em!
Sasa kiongozi bila kuwa na serikali/kiongozi unafikiri maisha yangeenda vipi, si kila mtu angekuwa anafanya vile anapenda yeye, na baada ya hapo? Nini kingetokea..?
 
Wyatt! Ugomvi wako na serikali ulianzia wapi mkuu? Hostility uliyonayo kwa serikali hasa za kiafrika ni ya kutisha mno.
My disdain to government as a form of organizing human beings is inborn!

The one who invented "government system",is the one who screwed up humanity!

I believe,we human beings are equal.....no one is to be above anyone or to rule over anyone and tell them what to do!

I believe one day in every govt office there will be a robot doing things we want for us the owners!

And very soon in 5-10 years to come,there will never be a human being president in a state house!

We will put a huge computer with AI system giving all the answers we want therefore every citizen will be president for himself getting answers and proper unbiased decisions from an agreed AI software in that computer machine.

Fvck human beings pretending to rule over others and cause all sufferings throughout centuries!

The government system is oppressive,why in the hell we put one human being to rule on others?Killings,wars,famine,etc has been done by these people we put to rule on us!

Fvck that system!
 
Sasa kiongozi bila kuwa na serikali/kiongozi unafikiri maisha yangeenda vipi, si kila mtu angekuwa anafanya vile anapenda yeye, na baada ya hapo? Nini kingetokea..?
Kuwe na vitu viwili tu:

1)Kuwe na mahakama ya kutoa hukumu to enforce contract between human beings

2)Kuwe na jeshi la kufanya kazi kutulinda na maadui wote wa nje na ndani!

Basi

Mengine yote kila mwanadamu ajisimamie yeye kama yeye maana ana akili binafsi na sio mnyama!

Na kusiwe na kiongozi yeyote anae-boss people around like God!
 
Kuwe na vitu viwili tu:

1)Kuwe na mahakama ya kutoa hukumu to enforce contract between human beings

2)Kuwe na jeshi la kufanya kazi kutulinda na maadui wote wa nje na ndani!

Basi

Mengine yote kila mwanadamu ajisimamie yeye kama yeye maana ana akili binafsi na sio mnyama!

Na kusiwe na kiongozi yeyote anae-boss people around like God!
Sio rahisi kiasi hicho.
 
Sio rahisi kiasi hicho.
Inakuja

Artificial intelliegence si ndio hii ishafika?

Computer inakua na akili zaidi ya mwanadamu mara 1,000,000 raise of power 1,000,000!

Wewe unadhani ikulu tutaweka mtu au computer?

Ni heri tuweke computer itusaidie kufanya decisions na sio mwanadamu mtenda makosa na shenzi na punguani

We will trust a computer to decide things for us in 5 to 10 years from now!

Na maofisi ya serikali wewe unadhani tutaweka wanadamu washenzi na bias na wala rushwa na mapunguani?

No way,tunaweka robots zenye akili mara 1,000,000 raise of power 1,000,000 of which will do things for us!

Therefore the government system is AI driven!

Wait and see!
 
Inakuja

Artificial intelliegence si ndio hii ishafika?

Computer inakua na akili zaidi ya mwanadamu mara 1,000,000 raise of power 1,000,000!

Wewe unadhani ikulu tutaweka mtu au computer?

Ni heri tuweke computer itusaidie kufanya decisions na sio mwanadamu mtenda makosa na shenzi na punguani

We will trust a computer to decide things for us in 5 to 10 years from now!

Na maofisi ya serikali wewe unadhani tutaweka wanadamu washenzi na bias na wala rushwa na mapunguani?

No way,tunaweka robots zenye akili mara 1,000,000 raise of power 1,000,000 of which will do things for us!

Therefore the government system is AI driven!

Wait and see!
Wyatt! Corrupt government haiwezi kutenda justice.

Viongozi hasa wa mwambao wa Afrika, wanakula keki ya taifa wao na familia zao, na rafiki zao na jamaa zao pekee.

Walalahoi hakuna anayejali kuhusu wao.
Kuna haja ya walalahoi kuamka usingizini na kuanza pole pole kutoitegemea wala kuzililia corrupt governments.

I am looking forward to not relying on government for 3/4 of my needs.
 
Inakuja

Artificial intelliegence si ndio hii ishafika?

Computer inakua na akili zaidi ya mwanadamu mara 1,000,000 raise of power 1,000,000!

Wewe unadhani ikulu tutaweka mtu au computer?

Ni heri tuweke computer itusaidie kufanya decisions na sio mwanadamu mtenda makosa na shenzi na punguani

We will trust a computer to decide things for us in 5 to 10 years from now!

Na maofisi ya serikali wewe unadhani tutaweka wanadamu washenzi na bias na wala rushwa na mapunguani?

No way,tunaweka robots zenye akili mara 1,000,000 raise of power 1,000,000 of which will do things for us!

Therefore the government system is AI driven!

Wait and see!
Hayo maroboti yenyewe si yanatengenezwa na watu?
 
Inakuja



Wewe unadhani ikulu tutaweka mtu au computer?

Ni heri tuweke computer itusaidie kufanya decisions na sio mwanadamu mtenda makosa na shenzi na punguani

We will trust a computer to decide things for us in 5 to 10 years from now!

Na maofisi ya serikali wewe unadhani tutaweka wanadamu washenzi na bias na wala rushwa na mapunguani?

No way,tunaweka robots zenye akili mara 1,000,000 raise of power 1,000,000 of which will do things for us!

Therefore the government system is AI driven!

Wait and see!

 
Back
Top Bottom