Mfumo wa ESS kwa Watumishi unasumbua

Clark boots

JF-Expert Member
Jun 5, 2017
6,472
5,680
Wakuu, hii Hali inanikuta Mimi tu au ni Kwa WATUMISHI wote. Kila nikijaribu kufungua hii web Huwa inagoma kabisa.

Msaada tafadhali.

Screenshot_20240514-095102_1.jpg
 
Mimi sio mtumishi Ila click hapo Advanced kisha click proceed.

Hii inajitokeza browser inapohisi website unayojaribu kuingia haiko secured na inaweza kuhatarisha taarifa zako.

Ni issue ya browser hiyo
 
Mimi sio mtumishi Ila click hapo Advanced kisha click proceed.

Nahisi hii inajitokeza browser inapohisi website unayojaribu kuingia haiko secured na inaweza kuhatarisha taarifa zako.

Ni issue ya browser hiyo
Sahihi kabisa,afanye hivyo.
 
nna shida ya kupata check number, namba itakua imetumwa kwenye simu ya jamaa yangu.

lakini yeye anadai kaisahau, nifanyeje ili check number?
 
Ni kweli unasumbua,hata ukibonyeza adcancedView attachment 2989824View attachment 2989825
Mfumo hauna shida, ni browser yako inakuzuia kuingia kwenye Mfumo, soma hayo maelezo vizuri utaelewa.

Site inatumia HSTS connection ambayo ni kifupi cha HTTP Strict Transport Security ambayo kazi yake ni nukuu kwa msaada wa google " It is a web security policy mechanism that forces web browser to interact with website only via secure HTTPS connection. This help to prevent attacks and cookie hijacking.

Nini kifanyike kama option ya advanced haikuruhusu kuendelea kuingia kwenye mfumo.

Ingia google andika how to clear HSTS settings on Chrome kama unatumia Chrome au on Firefox kama unatumia Firefox. Fuata maelekezo ambayo ni rahisi sana kama utakuwa makini na nimagumu kama hautakuwa makini. Baada ya hapo utaweza kuingia kwenye Mfumo.
 
Back
Top Bottom