Mchikichini: Mtaa wa mateja uliotoa vipanga wengi kielimu Dar na mikoani

Nimehuzunishwa sana na taarifa za humu mpka tukafika mahari tukaanza sema RIP Ngida.
Naomba niseme ni uzushi mkubwa sana..Mungu si Athumani nimekutana na Baba Baba Ngida....maeneo ya Tegeta Nyuki na ni Mwalimu ya School of Atlas pale Madale.

Kwakweli nilijisikia furaha sana, ila watu acheni kuzushia watu ni mabaya sana.

Japo ana matatizo ya kiafya muda mrefu na hajarecover.... kama kutakuwa na mtu yuko tayari kuonana nae au kutuma mchango kama support basi niko tayari kutoa namba yake uwasiliane nae mwenyewe.

kama uko tayari njoo pm nikupe namba yake.

Live longer Ngida.
 
Wakuu naomba msaada wa tuition zilizopo kwa sasa ambazo zina walimu wazuri kama wa mchikichini ya wakati huo, ni chimbo gani zuri kwa sasa na linapatikana wapi haswa kwa masomo ya O level, ninaye kijana hapa nataka nimuunganishe huko awe anajipiga msasa
 
Wakuu naomba msaada wa tuition zilizopo kwa sasa ambazo zina walimu wazuri kama wa mchikichini ya wakati huo, ni chimbo gani zuri kwa sasa na linapatikana wapi haswa kwa masomo ya O level, ninaye kijana hapa nataka nimuunganishe huko awe anajipiga msasa
Kwa sasa ni ishu kubwa sana kutafuta tuition nzuri
 
Nami Nina vijana wangu jamani kwa ambaye anajua Kuna tuition nzuri au madesa ya kina mkandawile, mohd & others anitonye
 
He he hehe

Umenikumbushia yetu ilikuaga CILOS.
Kule tulikua kama makuku ya kizungu. Yaani unashushwa na kuchukuliwa. Yaani asiye nacho ndo anatambua nini rhamani ya kutokua nacho. Yaani mkishushwa tu ni kuzurura posta yote. Kula kwenye marestaurant halaf tunarudi kusibiri kurudishwa majumbani. Ni wachache sana waliokua wanaujua umuhim wa tuition ni wachache sana. Ila wale wa mchikichini ndo walikua wapambanaji wa kweli inapokua sipajui. Ila ni wale waliokua na usongo haswa na Elimu. Mapambano kule ni mashauzi tu yalikuaga. Pia kuna tuition nilikuaga masikia buguruni. Sijui kama CILOS ipo mpaka leo. Ilikuaga St. Joseph Cathedral, wanahamia sometimes St. Albans posta mpya pale. All in all sijawahi jutia. It gave me friends niliokua nao na Advance pia na chuo
Thats was in 2000s huko
 
Back
Top Bottom