Mchezaji mmoja kufunga Mabao 5 ni tukio la aibu

Bodi ya ligi walipaswa watoe taarifa sahihi Kwanini mechi hazikuchezwa muda sawa?, Kwamba hawakuhofia upangaji ww matokeo?, Kwamba walijua polisi atafungwa?.

Hii ni aibu sana, sishangai Saido kufunga gori 5 tena kwa timu inayoshuka daraja kilichonishangaza ni ratiba kubadilika!!. Timu yenye malengo hujukita kwenye malengo ya taasisi na ukiona timu ipo busy kwa mchezaji mmoja mmoja basi jua haina muelekeo.
 
Utopolo wanajifariji...!

Duh....Eti wametolewa Kikanuni...!

Kanuni Zimewashtukiza hawakuzijua...!

Ingekuwa ni Kosa Kubwa Sana Limefanyika Uto Kuchukua Kombe lolote Afrika Kabla Ya Simba..!

Na ilivyo hapa Tz, Jambo Lolote linalohusu Soka Lazima Simba ianze halafu Yanga ifuatie..!
Baadhi ya mambo Ambayo Yanga Wanajaribu kuiga:

1. Kuendesha Timu kwa Mfumo wa Ubia
2. Ujenzi Wa Uwanja Wa Timu(Tayali Simba Wanao huko Boko kwa Maandalizi ya timu imebaki Kuuboresha kwa Majukwaa na Vinginevyo)
3. Wiki ya Simba
4.Kucheza Fainali kombe la CAF

Mwakani msahau kufika huko, hamtapangiwa tena Zalani,Marumo,Bamako,Rivers na Maganda ya ndizi ya Kiarabu Monastir,Africain na USMA wachovu.!
Tutapangiwa Galaxy a.k.a Makilikili
 
Mechi ijayo yanga anacheza na alieshuka daraja tayari, hapo mayele ni kutupia tu dadeki.

kocha atakua anapiga simu dar, vp uko kaweka ngapi huyo, na yeye huku anamwambia kocha wa prisons hebu fanya bwana mdg aongeze hata matatu.
Una wajua Tanzania prison?? Alie kwambia wameshuka daraja nani ? Match ya kujipigia ni ya simba wanao cheza na Costal union hawa ni ndugu lazima Saidi aji pigie tu wata ungana hadi na costal kumpa pass side
 
Utopolo wanajifariji...!

Duh....Eti wametolewa Kikanuni...!

Kanuni Zimewashtukiza hawakuzijua...!

Ingekuwa ni Kosa Kubwa Sana Limefanyika Uto Kuchukua Kombe lolote Afrika Kabla Ya Simba..!

Na ilivyo hapa Tz, Jambo Lolote linalohusu Soka Lazima Simba ianze halafu Yanga ifuatie..!
Baadhi ya mambo Ambayo Yanga Wanajaribu kuiga:

1. Kuendesha Timu kwa Mfumo wa Ubia
2. Ujenzi Wa Uwanja Wa Timu(Tayali Simba Wanao huko Boko kwa Maandalizi ya timu imebaki Kuuboresha kwa Majukwaa na Vinginevyo)
3. Wiki ya Simba
4.Kucheza Fainali kombe la CAF

Mwakani msahau kufika huko, hamtapangiwa tena Zalani,Marumo,Bamako,Rivers na Maganda ya ndizi ya Kiarabu Monastir,Africain na USMA wachovu.!
Hii comment ilipaswa kuwa Uzi
 
Mipango ya kishamba kama hiyo ndio inayorudisha nyuma soka letu. Tunarudi nyuma tena kwa watu wasio wa mpira kupanga mipango ya kishamba sana hii. Tena magoli rahisi sana. Mechi inayofuata wanacheza na coast,dada mtu na dada mdogo. Hapo ndio dada mdogo anaweza akawa anaacha tu wazi bila kujizuia,ili afunge hata ma4.
 
Mayele is overrated! Hakuna msimu amefikisha goli 17.

Na msimu huu mfungaji bora ni Saido Ntibazonkiza.
Striker wa kigeni kuwahi kuwepo Tanzania ni Medie Kagere tu. Akiwa Simba sc msimu wa kwanza goli 23 msimu uliofuata goli 22 na mpaka anaondoka Simba sc aliishia goli 14.

Misimu mitatu goli 59.
Tuambie Kagere alifunga goli ngapi za penat kati ya hizo 23?

Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
 
Una wajua Tanzania prison?? Alie kwambia wameshuka daraja nani ? Match ya kujipigia ni ya simba wanao cheza na Costal union hawa ni ndugu lazima Saidi aji pigie tu wata ungana hadi na costal kumpa pass side
Aloo nimechanganya na polisi aisee .
 
Huyo Saido sio mara ya kwanza kufanya hivyo, kama Polisi walitaka kuiachia Simba wangemuachia basi afunge bao 7
 
Back
Top Bottom