Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,133
- 2,578
Ulitambuaje kiongozi tufungue kidogo.Siwatetei, bank ni wezi, ila huyu ameketa kwa kutoitaja hiyo bank.
Mimi bank waliwahi pita na hela yangu ya kwenye account, ila waliirudisha. Walidhani nisingetambua