Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,734
- 2,265
Madiwani wa Mbeya , msikie hayo madongo.
Mnajali posho zenu tu, mmeifanyia nini Mbeya?
Soko lililo ungua tulitegemea Mbeya Shopping Mall!
Mmekaa tu na kusugua mabenci kwa vikalio.
Sasa RC Homera amewapasha vizuri!