Mazungumzo ya amani, Israel na HAMAS Cairo yanazaa matunda

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
28,180
36,171
1. Kibri chote kwishney, amri ni moja; kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata; mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

IMG_20240408_113405.jpg


3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki: kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati mwingine wowote.

Source: Reuters
 
1. Kibri chote kwishey, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters
Braza acha ngonjera.....wenzio mda huu gaza wanachapika.....na batalioni iliyobaki ni moja tu.....inatoa dozi......zingine zimerudi kambini.
NB: KUJIFARIJI UONGO KULIKO UHALISIA NI UGONJWA WA AKILI BRAZA JEI
 
1. Kibri chote kwishey, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters
Tatizo habari za kipalestina mnaandika kiupambe, Israel hawezi kufyata mkia labda una umri wa darasa la 5
 
1. Kibri chote kwishey, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters
Sisi hatutaki mtu aufyate.Tunataka zipigwe watu humu waanze kulialia
 
1. Kibri chote kwishey, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters
Wapalestina magaidi Hadi wamalizwe kwanza.Si mnasema wameahinda?
 
Sasa hapo ndiyo wanapokosea. Wangewaacha watwangane mpaka wenyewe waseme basi. Baada ya hapo, heshima itatawala daima. Ukiwaamulia, kila mtu atajihisi mapambano yangeendelea angemshinda mwenzake. Kwa hiyo wanakuwa hawajielewielewi.
 
Sasa hapo ndiyo wanapokosea. Wangewaacha watwangane mpaka wenyewe waseme basi. Baada ya hapo, heshima itatawala daima. Ukiwaamulia, kila mtu atajihisi mapambano yangeendelea angemshinda mwenzake. Kwa hiyo wanakuwa hawajielewielewi.

1. Hapana; misahafu inasema heri wapatanishi ..

2. matunduizi, mtumishi wape somo vijana hawa:

3. "Wanayo heri kuu wajibuo maovu kwa wema."
 
Braza acha ngonjera.....wenzio mda huu gaza wanachapika.....na batalioni iliyobaki ni moja tu.....inatoa dozi......zingine zimerudi kambini.
NB: KUJIFARIJI UONGO KULIKO UHALISIA NI UGONJWA WA AKILI BRAZA JEI

1. Wenzangu wapi sasa ndugu?

2. Kutetea wanoonewa hakunifanyi kuwa mwenzao.

3. Zingatia aliyekuwa kakomaa na hii vita yuko wapi au malengo yalikuwa yapi?

IMG_20240407_085256~2.jpg


4. Kaufyata alipo ni huyo hapo:

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
1. Kibri chote kwishney, amri ni moja kila mtu kaufyata:

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

2. Iran kaombwa kutulizana, Natenyahu kuufyata mazungumzo kuwa ya kiutu uzima:

View attachment 2957558

3. Hapo sasa kilichobakia "face saving" yaani kuwatoa wacheza kimaso maso. Tayari tunaondoa majeshi na Iran atatulizana:

a) Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

b) Iran yageuza gia angani, yasema haitalipa kisasi kwa Israel kama wakisitisha vita Gaza

4. Ionekane kama katoka kila mtu katoka kifua mbele.

5. Kwetu wapenda haki kifua nyuma, mbele, pembeni au katikati ina faida gani?

6. Kwetu ushindi ni kwa wale wapalestina wasio na hatia ambao taifa lao linanukia leo kuliko wakati wowote.

Source: Reuters

Una tatizo la kuelewa lugha ya Kiingereza? Soma hapa chini taarifa ya Al Jezeera, linganisha na hii habari uliyoitengeneza:

Israeli troops leaving Gaza could be rested, relocated or prepared for Rafah assault

David Des Roches, an associate professor at the Near East South Asia Center for Security Studies, spoke to Al Jazeera about why Israel has decided to withdraw thousands of troops from the Gaza Strip.

He listed three reasons.

The first, he said, was that many of the soldiers needed to be rotated, rested and refitted. US White House National Security spokesperson John Kirby had said this earlier on Sunday.

The second reason was for the Israeli military to prepare for a potential assault on Rafah in the southern tip of Gaza.

Israeli Defence Minister Yoav Gallant had said on Sunday evening that troop withdrawal from Khan Younis was part of preparations to launch a ground attack on Rafah.

The third possible reason Des Roches gave for the withdrawal was tensions with Iran and Hezbollah in Lebanon. “Israel may want to have troops that are not pinned down in Gaza but are available for operations elsewhere if needed, in the short term,” he said


New York Times
Yemen

Middle East CrisisIsrael Reduces Ground Troops in Southern Gaza At the War’s Six-Month Mark

Israel has significantly reduced the number of troops it has on the ground in Gaza over the past several months, and the military said the recent withdrawal was “to recuperate and prepare for future operations.”

Israel’s military, an official said, was preparing for ‘follow-up missions’ that included Rafah.

The war is now the longest involving Israel since the 1980s
 
Back
Top Bottom