Matarajio ya Rais Samia kwenye Utalii ni makubwa, tumsaidie ku-brand utalii kama bidhaa

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,593
4,628
Kila nikimtazama Rais wetu, naona matarajio aliyonayo katika kukuza utalii wetu kimataifa ni makubwa mno. Ili kutimiza matarajio hayo, anatumia mikakati mbalimbali hususani kushiriki katika uigizaji wa filamu za kukuza utalii.

Naona Rais akitamani utalii usaidie kuongoza fedha za kigeni nchini na hapo hapo ukisaidia kuajiri mamilioni ya watanzania na kupunguza tatizo la ajira nchini. Pia ,naona akitamani vivutio vyetu vikijulikana Kwa watu wengi duniani.

Haya yote naamini yatafanikiwa ikiwa tutamsaidia kufanya branding ya utalii uwe kama bidhaa ,tumsaidie Mhe.Rais kwenye hili.
 
Ana nia njema kwakweli lakin pia awe anasimamia vizur pesa zinapatkana kwa sasa sabu unaweza ukatumia nguv kutafuta lakin usiposimamia watu wataziiba na kuzifisadi kitu ambacho kitafanya work done sawa na zero
 
Kama ana nia ya dhati bas awabane wale wanaofisadi kwa kuanza na riport za CAG kuzifanyia kazi ipasavyo mfano kuwatumbua wahusika na kuwashtak au kutaifisha mali zao zote kufidia
 
Kila nikimtazama Rais wetu, naona matarajio aliyonayo katika kukuza utalii wetu kimataifa ni makubwa mno. Ili kutimiza matarajio hayo, anatumia mikakati mbalimbali hususani kushiriki katika uigizaji wa filamu za kukuza utalii.

Naona Rais akitamani utalii usaidie kuongoza fedha za kigeni nchini na hapo hapo ukisaidia kuajiri mamilioni ya watanzania na kupunguza tatizo la ajira nchini. Pia ,naona akitamani vivutio vyetu vikijulikana Kwa watu wengi duniani.

Haya yote naamini yatafanikiwa ikiwa tutamsaidia kufanya branding ya utalii uwe kama bidhaa ,tumsaidie Mhe.Rais kwenye hili
Ni sawa ila tatizo ni ufujaji wa mapato yote ya serikali ikiwepo na yatokanayo na utalii. Serikali ya ccm Ina matumizi ya anasa sana,na haijali umaskini wananchi walionao. Tuna Kila kitu madini,mbuga za wanyama,mlima,misitu.eneo kubwa la bahati,ardhi kubwa,mito,maziwa. Sioni sababu kwanini wananchi tukose bima ya afya
 
Kama wamasai wamenyang'anywa ardhi Yao,wtz kunyang'anywa bandari Yao, Kila kitu kupanda bei hayo ya utalii yanakuwa hayana maana.ni sawa na zero kabisa.
 
Kila nikimtazama Rais wetu, naona matarajio aliyonayo katika kukuza utalii wetu kimataifa ni makubwa mno. Ili kutimiza matarajio hayo, anatumia mikakati mbalimbali hususani kushiriki katika uigizaji wa filamu za kukuza utalii.

Naona Rais akitamani utalii usaidie kuongoza fedha za kigeni nchini na hapo hapo ukisaidia kuajiri mamilioni ya watanzania na kupunguza tatizo la ajira nchini. Pia ,naona akitamani vivutio vyetu vikijulikana Kwa watu wengi duniani.

Haya yote naamini yatafanikiwa ikiwa tutamsaidia kufanya branding ya utalii uwe kama bidhaa ,tumsaidie Mhe.Rais kwenye hili
Ili aweze kufanikiwa zaid inabid awekeze nguvu na kwenye hifadhi nyingine

Kama vile serenget nk...tatizo mama yeye anaona kama vile ngorongoro ndio mbuga pekee

Na ndio maana uwekezaji mkubwa amewekeza arusha

Abadilike huu sasa ni wakati wa mikoa ya kanda ya ziwa inatakowa aelekeze sana nguvu serengeti na kuufanya mwanza kuwa mji wa kitalii sababu toka mwanza kwenda serengeti ni jiran
 
Haya yote naamini yatafanikiwa ikiwa tutamsaidia kufanya branding ya utalii uwe kama bidhaa ,tumsaidie Mhe.Rais kwenye hili
Utalii ni huduma na tayari makampuni binafsi yanafanya kazi nzuri sana kujipatia wateja ambao ni watalii.
Serikali inachotakiwa kufanya ni kuboresha miondombinu, kutunza vivutio vya utalii na kuweka mazingira mazuri ya biashara.
 
Back
Top Bottom