Matajiri wanaitwa Ikulu kupata futari, sisi walalahoi tutaitwa 2025 kupanga foleni kupiga kura!

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,099
2,881
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni. Baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Screenshot_20230416-143519.jpg
 
Wandugu asalaam ! Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa ?sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini? Vijana tuamke
So ulitaka kwenda ikulu? Mkuu?
 
Wandugu asalaam ! Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa ?sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini? Vijana tuamkeView attachment 2589830
Sisi tutaitwa muda ukifika kula kura kwenye foleni ndefu kabisa.
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Mwenye nacho huongezewa' somaa hiyooo!!
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Huu sasa ni upuuzi. Kwa nini Watanzania mnaona wivu hata kwa vitu vidogo kama futari?

Njooni na hoja siyo huu utopolo
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Mwenye nacho anaongezewa asiye nacho hata kile kidogo ananyang'anywa kuwa tu mpole wenzio wameshika mpini uliyeshika makali tulia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Wewe sasa nongwa jamani ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengi
 
Wewe sasa nongwa jamani ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengi
Basi angeita wenye uhitaji halisi wa futari, ukienda pale nje ya soko la samaki Mita chache kutoka lango la ikulu wapo watu kibao wengine wamefunga lkn futari kwao changamoto lkn kamuita Diamond ambae siku ya kupiga kura wale hatajitokeza atakua na Zuchu wanazagamuana
 
Basi angeita wenye uhitaji halisi wa futari, ukienda pale nje ya soko la samaki Mita chache kutoka lango la ikulu wapo watu kibao wengine wamefunga lkn futari kwao changamoto lkn kamuita Diamond ambae siku ya kupiga kura wale hatajitokeza atakua na Zuchu wanazagamuana
Umaeambiwa wataiba tausi, alfu mnakula sanaaa nani awaalike
 
Wewe sasa nongwa jamani ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengi
Marehemu Mzee Mengi alifanyaje? Masikini wachache wanawakilisha masikini wenzao wengi.
 
Umaeambiwa wataiba tausi, alfu mnakula sanaaa nani awaalike
Ha ha ha ha ha daaah kuwaweka wafanyabiashara pale na mastaa sio poa kabisa wangeitwa hata kituo flani cha yatima au kikundi flani cha Akina mama ntilie labda cha magomeni pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom