Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 13,463
- 28,285
Masawali haya je una majibu?jibu kisha nitumie majibu(mtihani wa maarifa ya dunia)
1.Kama hela haioti kwenye kwenye miti kwa nini bank zina matawi ?
2.Kwa nini gundi hainati kwenye chupa yake?
3.Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa kwa nini bar kuna parking?
4.Kama neno abbreviation lina maanisha ufupisho kwa nini lenyewe ni refu hivo ?
5.Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa kwa nini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa kazi kwako?
1.Kama hela haioti kwenye kwenye miti kwa nini bank zina matawi ?
2.Kwa nini gundi hainati kwenye chupa yake?
3.Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa kwa nini bar kuna parking?
4.Kama neno abbreviation lina maanisha ufupisho kwa nini lenyewe ni refu hivo ?
5.Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa kwa nini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa kazi kwako?