macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,392
- 41,049
Kwendeni huko wabongo ni watu wavivu sana halafu tunataka kula kwa ulaini tu. Kazi kulalamika muda wote. Mkiambiwa CCM ni janga unganeni itoke mnajifanya hamsikii.Ndivyo yalivyo hayo Mashirika,lipo lingine linajiita GOOD NEIGHBORS ni la Kikorea,nalo ni Shirika la kihuni linajifanya linahamasisha miradi ya maendeleo vijijini lakini kiuhalisia linahamisha USHOGA. Wananchi hupewa sharti kwamba wajaze fomu wakikiri kwamba ni washiriki wa mapenzi ya jinsia moja ili waletewe misaada kama zana za kilimo nk.
Ukitaka udumu kwenye hilo Shirika ni ujipendekeze sana kwa kimama fulani ki-Country Director(Kikorea)na kidada fulani ki-Head of HR kinaitwa Helena. Yaani ni Umbea na Majungu tu kwenye hili Shirika,wao kufuata Sheria za Nchi ni kwa kinyumenyume.
Na hawakomi,miaka minne iliyopita aliyewahi kuwa Mkuu wao hapa Tanzania alifukuzwa nchini na Serikali kwa makosa mbalinbali ya kunyanyasa wazawa lakini hata aliyekuja mambo ni yaleyale na Serikali inashindwa kuchukua hatua.
Nilifanya kazi mwaka mmoja na hili Shirika, kazi ya kuhamasisha USHOGA ilinishinda nikaamua kuacha kazi