Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,455
- 11,436
Watawala wapya wa Niger wamefuta mahusiano na taifa la Ufaransa ambalo ndilo lilikuwa mkoloni wao.
Ufaransa baada ya kusita sita hatimae ilishindwa hoja na ikaamua kuongoka.
Marekani nayo imetakiwa ifanye kama hivyo lakini imekuwa king'anng'anizi ikidai kuwa inalinda maeneo ya jangwa la Sahel kutokana na vikosi vya ISIS ambao wana mafungamano na Alqaeda.
Eneo la Agadez ndiko kuna kambi kubwa ya kijeshi ya Marekani yenye askari wapatao 920 ikihodhi ndege kadhaa za kijeshi pamoji na droni.
Hiyo ndiyo kambi kubw ya kijeshi katika eneo lote la kaskazini ya Afrika.
Ufaransa baada ya kusita sita hatimae ilishindwa hoja na ikaamua kuongoka.
Marekani nayo imetakiwa ifanye kama hivyo lakini imekuwa king'anng'anizi ikidai kuwa inalinda maeneo ya jangwa la Sahel kutokana na vikosi vya ISIS ambao wana mafungamano na Alqaeda.
Eneo la Agadez ndiko kuna kambi kubwa ya kijeshi ya Marekani yenye askari wapatao 920 ikihodhi ndege kadhaa za kijeshi pamoji na droni.
Hiyo ndiyo kambi kubw ya kijeshi katika eneo lote la kaskazini ya Afrika.