GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,042
- 110,039
Na bahati nzuri hilo Kosa lake ameliweka Yeye mwenyewe katika Ukurasa wake wa X (zamani Twitter) nadhani akidhani kuwa alichokifanya kilikuwa ni sahihi wakati Kiuhalisia na kwa hali iliyoko na Mazingira waliyonayo Wananchi wake hakupaswa kufanya hiki alichokifanya.
Yaani Rais Ruto kaenda Kuwafariji Wahanga wa Mafuriko badala ya kuwapa a way forward kwa Maisha yao ambayo sasa yanaenda kuwa Magumu Yeye kafika hilo eneo huku akiwa na Mzaha mwingi, Kuchekacheka Kwingi kusikokuwa na maana na akitumia muda mwingi Kuonyesha kuwa anajua Kusali ili Asifiwe.
Hivi Rais anapata wapi muda wa kufanya Mzaha, Kuchekacheka wakati Wananchi wake wako katika Janga Kubwa hivi?
Yaani Rais Ruto kaenda Kuwafariji Wahanga wa Mafuriko badala ya kuwapa a way forward kwa Maisha yao ambayo sasa yanaenda kuwa Magumu Yeye kafika hilo eneo huku akiwa na Mzaha mwingi, Kuchekacheka Kwingi kusikokuwa na maana na akitumia muda mwingi Kuonyesha kuwa anajua Kusali ili Asifiwe.
Hivi Rais anapata wapi muda wa kufanya Mzaha, Kuchekacheka wakati Wananchi wake wako katika Janga Kubwa hivi?