Ule ushauri wa mabenki na makampuni ya simu kwamba Namba yako ya siri ni siri yako usimpe hata unayemwamini ni mbaya sana!
Ukitaka kujua ule ushauri ni mbaya fatilia mirathi ya ndugu ndipo utajua ulikuwa hujui!
Hata ukifuata taratibu zote za mirathi usumbufu uko palepale,
kwanza usumbufu unaanzia mahakamani utaambiwa Mara hakimu hayupo, Mara nani yuko likizo, Mara fomu zimeisha subiri zije, Mara faili limepotea, Mara yule hakimu kahamishwa hajakabidhi ofisi, Mara hakimu yuko semina subiri hadi arudi n.k
Ukienda bank/ au makampuni ya simu hawakupi cash msimamizi wa mirathi, Wanakwambia Pesa Zitapitia Akaunti ya mahakama!
Na usifikilie kila mahakama ina akaunti yake,No; yaani pesa ni hadi iingie kwenye akaunti kuu, ndipo iombwe, ebu fikilia huo mlolongo usiokuwa na maana yoyote!
Fikilia kama kuna watoto watakiwa kulipiwa ada au kuna mambo ya kifamilia!
Inakuwaje kama Hizo pesa zitachukua zaidi ya mwaka? Na mafaili kupotea potea?
HIVI KWANINI WASINGEWEKA UTARATIBU RAHISI KWAMBA BAADA YA KIKAO CHA MIRATHI, familia ifungue akaunti na pesa ziwekwe huko chap kwenye akaunti ya familia?
Kiukweli Ni afadhali Utafte ndugu au mtoto mwaminifu umtajie password yako, Vinginevyo kwa utaratibu wa Kibongo Hakuna kitu utapata!
Uwezekano wa pesa nyingi sana za watu wanaokufa hupotelea hukohuko NA HAKUNA ANAEJALI!
Kwasababu wakubwa wao wakifa, benk, taasisi za fedha zinawapelekea Mafao na pesa zote BILA USUMBUFU! Bila kujazajaza mafomu kama RAIA!
NAKUSHAURI Ni afadhali ufiche kadi, lakini usifiche password hata kwa ndugu yako mmoja! Huko pesa za simu ndo sana zinapotea kabisa hizo lakilaki maana wengi wanaona bora ipotelee huko kuliko kupotezewa mda wa kwenda rudi kila siku
Ukitaka kujua ule ushauri ni mbaya fatilia mirathi ya ndugu ndipo utajua ulikuwa hujui!
Hata ukifuata taratibu zote za mirathi usumbufu uko palepale,
kwanza usumbufu unaanzia mahakamani utaambiwa Mara hakimu hayupo, Mara nani yuko likizo, Mara fomu zimeisha subiri zije, Mara faili limepotea, Mara yule hakimu kahamishwa hajakabidhi ofisi, Mara hakimu yuko semina subiri hadi arudi n.k
Ukienda bank/ au makampuni ya simu hawakupi cash msimamizi wa mirathi, Wanakwambia Pesa Zitapitia Akaunti ya mahakama!
Na usifikilie kila mahakama ina akaunti yake,No; yaani pesa ni hadi iingie kwenye akaunti kuu, ndipo iombwe, ebu fikilia huo mlolongo usiokuwa na maana yoyote!
Fikilia kama kuna watoto watakiwa kulipiwa ada au kuna mambo ya kifamilia!
Inakuwaje kama Hizo pesa zitachukua zaidi ya mwaka? Na mafaili kupotea potea?
HIVI KWANINI WASINGEWEKA UTARATIBU RAHISI KWAMBA BAADA YA KIKAO CHA MIRATHI, familia ifungue akaunti na pesa ziwekwe huko chap kwenye akaunti ya familia?
Kiukweli Ni afadhali Utafte ndugu au mtoto mwaminifu umtajie password yako, Vinginevyo kwa utaratibu wa Kibongo Hakuna kitu utapata!
Uwezekano wa pesa nyingi sana za watu wanaokufa hupotelea hukohuko NA HAKUNA ANAEJALI!
Kwasababu wakubwa wao wakifa, benk, taasisi za fedha zinawapelekea Mafao na pesa zote BILA USUMBUFU! Bila kujazajaza mafomu kama RAIA!
NAKUSHAURI Ni afadhali ufiche kadi, lakini usifiche password hata kwa ndugu yako mmoja! Huko pesa za simu ndo sana zinapotea kabisa hizo lakilaki maana wengi wanaona bora ipotelee huko kuliko kupotezewa mda wa kwenda rudi kila siku