Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,524
- 4,277
Awamu iliyopita ilijitahidi sana kuwa karibu na wananchi hususan wale wa tabaka la chini, Kwa kuwasikiliza! Haijalishi hoja anayokuja nayo mwananchi yeyote ukiwa kama kiongozi unapaswa kusikiliza na kuwa humble!
Ni vibaya mno kiongozi kukataa kusikiliza sauti ya yule anayemuongoza! Bila kujalisha situation au mazungumzo husika, kiongozi anapaswa kuwa mnyenyekevu mno!.
Jambo ambalo kwa namna moja ama nyingine linaonekana kuwa tofauti kwa awamu iliyopo.
Ni vibaya mno kiongozi kukataa kusikiliza sauti ya yule anayemuongoza! Bila kujalisha situation au mazungumzo husika, kiongozi anapaswa kuwa mnyenyekevu mno!.
Jambo ambalo kwa namna moja ama nyingine linaonekana kuwa tofauti kwa awamu iliyopo.