Sioni tatizo zumaridi kujiita mungu.Kama Mfalme Zumaridi eti Mungu chini ya Jua!!
Khaaa!! Manabii wa Mchongo!!
Waafrika bado tumelala Sana!
Sioni tatizo zumaridi kujiita mungu.Kama Mfalme Zumaridi eti Mungu chini ya Jua!!
Khaaa!! Manabii wa Mchongo!!
Waafrika bado tumelala Sana!
Wake zetu wakiambiwa unaitwa na nabii ofisini wanafika na kulala kimasihara.
labda jinsia ndio zinawafanya wawe tofauti,ila ni wale wale.Huyo anatufanya tuwe na maswali mengi kuliko majibu juu ya huduma yake.
Kuna msitari mwembamba sana unaomtenganisha na mfalme Zumalidi
Walokole nisameheni sana kiukweli nyinyi ni MBUZI