Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 593
- 975
Nimefurahiiii Je melody kufungashiwa vilagoo shenziii kabisa, siwapendii walabu lkn nilikua upande wao Aseee.Lile goal liliniumaa sana nilikua nimevua jeziii ninashangiliaaa msheziii refa
Muongoo hakuna mvua!!Hapa Lizaboni (Lizbon),jirani na Londoni (London) mbona kuna mvua ya maana hasa? Hujaiona?
Al ahly yupiiii?Al Ahly kaaga mashindano
itakua mahenge huko.Yupo Mashujaa
Hao Experance unawajua, unawasikiaa?Fainali ilikuwa ya yanga vs ahly hii.
mnachekeshaa kweli nyie.Bila Yanga kudhulumiwa huko Pretoria ili kuigawia mamelodi nafasi ya nusu fainali, fainali hii ingekuwa kati ya Al-Ahly na Yanga. Esperance asingefurukuta kabisa mbele ya Yanga
poleeeNimefurahiiii Je melody kufungashiwa vilagoo shenziii kabisa, siwapendii walabu lkn nilikua upande wao Aseee.Lile goal liliniumaa sana nilikua nimevua jeziii ninashangiliaaa msheziii refa
Hawana ajabu lolote Mamelodi ni wabovu tuHao Experance unawajua, unawasikiaa?
Simba sio wabovu ni kelele tu za watuSimba ni wabovu LAKINI walimtikisha Alhal kuliko TP Mazembe
Handball Ile.Hivi VAR za Africa zinamatatizo mbona Mazembe kanyimwa goli la wazi kabisa.
Kwani Mamelodi ana makombe mangapi ya CL hata amtetemeshe Al Ahly?Al Ahly wameshukuru sana haoyyy Mamelody kutolewa
Sijazungimzia makombe naongelea mechi walizokutana baina Yao.Kwani Mamelodi ana makombe mangapi ya CL hata amtetemeshe Al Ahly?
Nyumamwiko wako vizuri kwa kutuma majini.Watakuja kusema ni Yanga wamewatumia majini radi.
Mamelodi ashatoka...!🤸
Ndoto za mchana, am so happy waarabu wameingia fainali, wamewafunga midomo wabaguzi na wenye chuki.Anacheza vizuri,bado kidogo muarabu apelekewe moto goli kama tatu
Haisaidii, matokeo ndio muhimu.Sema wameshambulia sana lango la Esperance