Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,225
- 25,040
Kuelekea mechi kubwa Africa mashariki, barani Africa na dunia kwa ujumla yafuatayo ni mambo makuu yanayoenda kutokea kwenye mechi ya tarehe 25. Pale kigoma
1. Yanga kumfunga simba, hapa tuwe wakweli tu ni kwamba simba hawezi kuchomoa kwa yanga and this haiwezi kutokea kamwe
2. Simba kufungwa na yanga, pia jambo la pili ni kuwa simba lazima apewe kichapo heavy kutokana na team performance ya yanga jinsi wanavyoheshimu mchezo wa watani......
3. Yanga kumfunga simba goal nyingi, pia hili linaweza kutokea pale ambapo simba wakiteleza kidogo basi mvua ya magoli itawaangukia hawa ndugu zangu
4. Simba kutoa droo and then kutolewa kwenye matuta, japo hili silipi uzito mkubwa kutokea kwan yanga watashinda kwenye hatua za awali kabisa
Ni Mimi mchambuzi wako Andy Townsend
1. Yanga kumfunga simba, hapa tuwe wakweli tu ni kwamba simba hawezi kuchomoa kwa yanga and this haiwezi kutokea kamwe
2. Simba kufungwa na yanga, pia jambo la pili ni kuwa simba lazima apewe kichapo heavy kutokana na team performance ya yanga jinsi wanavyoheshimu mchezo wa watani......
3. Yanga kumfunga simba goal nyingi, pia hili linaweza kutokea pale ambapo simba wakiteleza kidogo basi mvua ya magoli itawaangukia hawa ndugu zangu
4. Simba kutoa droo and then kutolewa kwenye matuta, japo hili silipi uzito mkubwa kutokea kwan yanga watashinda kwenye hatua za awali kabisa
Ni Mimi mchambuzi wako Andy Townsend