Bharka
Member
- Apr 11, 2022
- 72
- 380
- Thread starter
- #21
Hapa mkuu, lugha uliotumia sio sahihi, sigawi (kama unamaanisha kutembea na watu ovyo), pia sijaandika hii thread ili watu wajue kuhusu mimi, ila wapate kujua inavokua na kuweza kuwaprotect watu wao wa karibu. Asante.Mungu ingilia kati.
Yani hapo ulipo unagawa?
Dunia imeenda mbali Sana.
Mkuu Yani tuko wote hapa siku zote tunajua we Mwanaume kumbe jike dime? Si ungetuambia mapema??