Kuna Mzee hapa kitaa kapooza anahangaika na Waganga kuutoa uchawi na alianguka bafuni wakati anaoga. Yaani Waganga wanakula Kuku na elfu 10 za kutoshaBinadamu huwa tunatafuta excuses sana
Utakuta mamno ya kawaida mtu anasema uchawi.
Na mara nyingi watu maskini wanaupigia promo sana uchawi.
Asante sana, Uwe na weekend njema pia.Nakuwishi jumamosi njema 😉🙃
Oga maji ya moto! Mkiambiwa mfunge ndoa mnasema ndoa ni utapeliWikiend yangu ni mbaya Kimbunga Hidaya kinanifanya nikohoe sana na kifua kinauma mnoo 😒
Ukimpata ututumie picha za harusi selfikaNa hali hii ya Dar? La msingi hapo ni kutafuta mwenza mwenye ubavu wangu tu.
Kwani kuoga maji ya moto,kunahusiana vipi na ndoa?Oga maji ya moto! Mkiambiwa mfunge ndoa mnasema ndoa ni utapeli