Makusanyo ya kodi ya nusu mwaka wa fedha 2023/2024

TRA Tanzania

Member
Jul 16, 2022
82
230
dece 31,2023 Makusanyo.jpg
dece 31,2023 Makusanyo 2.jpg
 
Hongereni kwa makusanyo.

Panueni wigo wa kukusanya kodi.

Mnakamua waajiriwa kwa PAYE kwenye vimshahara vya laki kadhaa na mmeacha makundi kibao yanapiga pesa bila kulipa kodi wala nini.

  • Tax the churches na misikiti
  • Tax madalali.
  • Tax bodaboda, bajajis n.k
Biashara kibao hawalipi kodi.Mtaani kuna maduka ya mangi kibao hawalipi kodi wala leseni.Kuna vipub kibao hawalipi kodi wala keseni.Wanakamuliwa wafanyakazi tu kwenye payee.
 
Ukerewe maduka mengi hayalipiwi kodi, na maafisa TRA hawazunguki mtaani kukagua.
 
Siku nikiona salary slip ya raisi na wabunge na kodi wanayolipa ndio nitaanza kulipa kodi nchi hii,nitakwepa kulipa kodi kwa nguvu zote,siwezi lipa kodi ikanajisiwe na wanasiasa.
 
Hongereni kwa makusanyo.

Panueni wigo wa kukusanya kodi.

Mnakamua waajiriwa kwa PAYE kwenye vimshahara vya laki kadhaa na mmeacha makundi kibao yanapiga pesa bila kulipa kodi wala nini.

  • Tax the churches na misikiti
  • Tax madalali.
  • Tax bodaboda, bajajis n.k
Machinga wote hasa wale wa kkoo wenye meza wapewe mashine za Kodi...
Wabunge na ma dc na mawaziri...wote wakatwe PAYE...

Google, Instagram na mitandao yote wakatwe Kodi Kwa biashara za tz
 
Hongereni kwa makusanyo.

Panueni wigo wa kukusanya kodi.

Mnakamua waajiriwa kwa PAYE kwenye vimshahara vya laki kadhaa na mmeacha makundi kibao yanapiga pesa bila kulipa kodi wala nini.

  • Tax the churches na misikiti
  • Tax madalali.
  • Tax bodaboda, bajajis n.k
Bila kuwasahau wasanii na MC na Madj.,,,.Lazima wakusanye wigo wa kutoza kodi! Wasikariri kutoza kodi kwa wafanya biashara wakubwa!
 
Machinga wote hasa wale wa kkoo wenye meza wapewe mashine za Kodi...
Wabunge na ma dc na mawaziri...wote wakatwe PAYE...

Google, Instagram na mitandao yote wakatwe Kodi Kwa biashara za tz
Kati ya kosa linalofanywa na nchi hii ni kuto watoza wabunge kodi…bado hata utetezi hau hold Water kabisa!
 
Bila kuwasahau wasanii na MC na Madj.,,,.Lazima wakusanye wigo wa kutoza kodi! Wasikariri kutoza kodi kwa wafanya biashara wakubwa!
Sure.. Mwalimu analipwa laki 5 kwa mwezi anakatwa kodi lakini MC anakusanya 2M+ haguswi.. TRA hawako serious.
 
Machinga wote hasa wale wa kkoo wenye meza wapewe mashine za Kodi...
Wabunge na ma dc na mawaziri...wote wakatwe PAYE...

Google, Instagram na mitandao yote wakatwe Kodi Kwa biashara za tz
TRA wana uwezo wa kukusanya zaidi ya trillion 30
ila ni ngumu kwasababu ya uozo wa mfumo mzima wa kiutawala.

ila ifahamike ni kitu kinawekana kabisa ila kitazuia maslahi ya mapapa.
 
Hongereni kwa makusanyo.

Panueni wigo wa kukusanya kodi.

Mnakamua waajiriwa kwa PAYE kwenye vimshahara vya laki kadhaa na mmeacha makundi kibao yanapiga pesa bila kulipa kodi wala nini.

  • Tax the churches na misikiti
  • Tax madalali.
  • Tax bodaboda, bajajis n.k
Ongezea na machawa! Pia wigo wa kukwepa kodi ni mkubwa sana hasa kwenye mabaa.
 
Sure.. Mwalimu analipwa laki 5 kwa mwezi anakatwa kodi lakini MC anakusanya 2M+ haguswi.. TRA hawako serious.
sidhani kama kweli mc hastahili mlipa kodi sababu nachoelewa mimi mtu yeyote akifanya biashara na kufikia kiasi cha 4,000,001 kwa mwaka kama mapato anastahili lipa kodi ,mfanyakazi kwa mwezi kiasi cha 270,000 anastahili lipa kodi. Labda tuwashauri tra namna nzuri ya kuwabana hawa MC ila wanastahili kabisa lipa. Ushauri wangu kwa TRA kila mc awe na mashine ya EFD na kila mtu akipata huduma ya mc apewe risiti ya mashine ili kuweza wabaini walau kipato chao maana mc kweli wapo wengi.
 
Back
Top Bottom