KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,677
- 1,934
Hata china isingefika ilipo leo bila sheria kali za mafisadiHata kama katumwa , kwani kuna mtu anaweza kuhodhi ukweli kuwa Magufuli alikuwa dikteta ambaye kwa vitendo vyake kuna watu walipoteza maisha?
Ukweli huo hsutofutika.
Wakigundua wewe ni fisadi unatangulizwa mbiguni ukapumzike
Ndio maana China imefika ilipo tatizo Africa tunabembelezana sana
Na hata Magufuli alikuwa mpole mbona
Mfano ningekuwa mimi ndio Rais
Fisadi, wanaotukwamisha kufikia mafanikio ningewauwa hadharani kwa kuwanyonga hadi hao vyeti feki waliopata ajira za mchongo piga risasi kudadeki mbona nchi itanyooka kama Rula.