Maina Owino wa CCM UK awashukia wabunge wa CHADEMA juu ya kumsusia JK

Huyu jamaa Maina owino, kijiji chao ni Sota, Shirati- Rorya. Kuna mpuuzi mmoja alimdanganya kuwa kwa kuwa yuko uk akirudi hapa anaweza kupata ubunge in the name of "I was abroad". Bahati mbaya hayafahamu matatizo ya Tanzania na pia kwao alikozaliwa. Nadhani hata katiba kandamizi inayotumiwa na ccm hajawahi kuisoma vinginevyo anajipendekeza na kutoa matamko bila facts kama wale wanojiita wasomi njaa wa UDOM. Huyu jamaa ni Kilaza sana namfahamu, aliiba paper la std 7 bado akafeli ndoyo maana uelewa wake ni mdogo kiasi hicho. Nilifikiri mtu kama yeye anaweza kusimamia hoja za msingi za mabadiliko, kumbe ni mtu mgonjwa akilini sawa na wanapropaganda wa ccm kama chiligati, makamba (mwenye nundu), hiza nk. Shame on you studpid Maina!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wewe mwanamke ni mpumbavu unaongea vitu visivo eleweka endelea kutanua mataja huko uk midume ifaidi umeshazieeka huna jipya chadema ni ya vijana na tutagoma milele ikikuuma sana kunywa sumu maana hata ukiishi huna faida yeyote
 
Ni Katibu Mkuu wa zamani wa DARUSA pale Mlimani.

Kumbukumbu zinaonyesha ya kwamba alisaliti sana wanafunzi wenziye pale na wengi kufukuzwa chuo miaka hiyo kwa kupanwa kichwani na U-CCM. President Eng Maimu, rais aliyekuja baada ya kifaa Mh Kitila Mkumbo, ndiye alikua bosi wake. Matatizo ya vyumba bwenini kupigwa mnada usiseme. Baada ya hapo, alitoka moja kwa moja chuoni na kwenda kugombea ubunge kwao huko.

Huyu bwana, mpinzani wake jimboni Mara Mara huko alikua ni Mzee Prof Sarungi ambaye inasemekana ilibidi amuweke kwenye pipa aruke huko maughaibuni kusaka elimu zaidi. Japo aliahidiwa na huyu mfadhili wake kwamba kwa jinsi uzee unavyomnyemelea kwa kasi mno, akampishe tu kwa wakati huo na baadaye atarajie kupigwa tafu kuukwa ubunge sijui wa jimbo gani vile.

Kwa mara ya mwisho alisemekana KUCHAKACHULIWA kwenye uteuzi na badala yake kulipwa Scholarship aruke nayo kwa mama Thatcher. Labda baada ya kuosha sana macho huko kwa wenzetu huenda kabadilika, huwezi kujua ...

Hivyo kauli yake hiyo hapo juu, kwa wanaomfahamu vema, wala isingekua vema zaidi ya hapo.
Huyu asiwababaishe mzee.
Huku hakuna kubeba box
Jamaa anaosha ****** ya wazee.
asiwadanganye watu. pumbafu kabisa
Hana lolote.
Ni mtu wakujipendekeza sana huyu bwana. hafai katika jamii
 
kwanza wewe bado mwezi mchanha hamuoni huyo zito hilo bunge aliingia?
 
"yes i am very lucky and blessed" everyone says that when they see me in the gents.
Ah.. Mainaaaaaaa.........the R.a.p.i.s.t.... hebu usitufanye tukafunua midomo hapa kumwaga mambo hadharani............. umesema, tumekusikia, kaa kimya
 
Watu wngine hata haijulikani, ukungu utawatoka lini machoni!! Maskini Maina.... nakuonea huruma saaaaana. Huu ndio wakati muafaka wa kuijulisha jumuia ya kimataifa (acha Maina na akina maina wengine wenye fikra kama zako) kuwa Bongo kumekucha. Hakuna tena zile fikra za "Kidumu CCM". These are Changes we really Need!!!
 
Ah.. Mainaaaaaaa.........the R.a.p.i.s.t.... hebu usitufanye tukafunua midomo hapa kumwaga mambo hadharani............. umesema, tumekusikia, kaa kimya

Do this as well...... Kweli jamaa amelaaniwa...... Kaaazi Kweli Kweeli....... Tutafika Kweli... MMMMMHHHhhhh
m
 
Maina Owino is just another CRAP. Let him get his ass out of whatever CHADEMA is doing. I bet he is having good time wherever he might be, does care how much anguish the Tanzanians at the grassroot are getting because of the ruling party. I know you are about to vie for higher posts via CCM and that's why you decided to open your BIG, DIRTY mouth. Shut up if you have nothing to tell the Tanzanians....We are fed up with whatever CCM is doing, we want changes come-what-may.
 
Mahina Owino mie namfahamu. Nilisoma nae Mara Sec na alikuwa ni mtu wakujipendekeza sana sana. Aliwahi kwenda kugombea Rorya alipohitimu tu degree yake ya kwanza. Ilikuwa ni kwa tiket ya ccm lakini alipewa pesa iliamuachie Sarungi. Mahina alichukuwa pesa ndo akakimbia UK kusoma Masters. Kwa hiyo kama anataka Jk ampe cheo atumie njia nyingine si ya JF. Naona kaanza kujipendekeza sasa. Namfahamu sana anakatabia ka ufissadi na kujikweza.
 
hajui asemalo huyu ni kama CHILIGATI ,

Hahahahah checki hawa jamaa !

attachment.php
 
Jamani naomba msaada kwa wanomjua Maina, huyu Maina Owino ni ndugu yake Peter Owino ambaye chadema walimtaka agombee Ubunge akatakaa kwa sababu ya Maina Owino au hawana uhusiano. Tunavyojua sisi Peter Owino ndio mkubwa kwakina Maina Owino na huyu Peter ni Chadema, tangu alipoacha kazi serekalini na alikuwa Uingereza zamani ndipo akampereka Maina wa ccm mwaka 2000.kama kuna wanowajua tunaomba ufafanuzi.

Jack
 
Maina Owino kuna vitu kaandika bila kufikiria!Navyo ni-*Demokrasia isiyo na nidhamu?Kukata a kuburuzwa ni kukosa nidhamu?*Wametumwa kuwakilisha bunguni!Kusema ndioooooo,hata kama umetoka usingizini!Ndio kuwakilisha?*Watz waliowachagua imekula kwao!Kumbe anakipaji cha utabiri?*Mishahara watavuta kutoka kwenye kodi!Ccm wanajilipa?Ndio maana wafanyabiashara wengi sana!*Zitto,V.Nyerere,Mnyika na Mdee wamewakebehi wananchi?Ni kweli wamewakebehi waliochagua Ccm.*Kupungu upepo?Unajua maana ya kupunga upepo?*Je watoka mara ngapi?Kila itakapo bidi.*Siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa!Au wangefanya kama wwe!Kukimbilia huko?*Kuongozwa na vipofu?Kati ya Ccm na Chadema nani anaongozwa na vipofu?*Mfadhili wako hajakuletea ada?*Ndio unamwomba JK kwa kuzungukaaaaaa!!SPEAK OUT!
 
wewe mwanamke ni mpumbavu unaongea vitu visivo eleweka endelea kutanua mataja huko uk midume ifaidi umeshazieeka huna jipya chadema ni ya vijana na tutagoma milele ikikuuma sana kunywa sumu maana hata ukiishi huna faida yeyote
Punguza lugha kali tofautiana naye kwa hoja lakini sio matusi
 
Back
Top Bottom