Maina Owino wa CCM UK awashukia wabunge wa CHADEMA juu ya kumsusia JK

MWEEN umecha mada umeingia kwenye mjadala usioujua wa kikabila. Kwanza naomba uelewe wajaluo wa Kenya au Uganda si wajaluo wa Tanzania. Wote ni wajaluo lakini wako nchi tofauti lakini hata kama umewaongelea wajaluo wa Kenya sitaacha uendeleze hizo fikra potofu.
Naomba kama kuna kabila lina historia ya kupigania Uhuru wa Kenya na Afrika Mashariki basi utakuwa mnafiki kubwa kuwaweka wajaluo kando.Wajaluo kwa tabia yao ni watu wasioogopa na hawapendi kuonewa hivo walikuwa watu wa kwanza kupambana na wakoloni. Kama kuna mjaluo walikuwa wasaliti ni mtu m1 m1 na si jamii nzima kama ilivyo wasaliti wa ufisadi leo wanaotoka kwenye kabila tofauti. Mau mau walikuwa wakikuyiu walokuwa wanapiga vita na wakoloni lakini si kwamba makabila mengine hayakuwa yakidai uhuru. Wajaluo waliongoza mapambano ya kiamani dhidi ya wakoloni mbali na Maumau. Kwanza uelewe Chama cha KANU kilichokuja kupata uhuru kilinzishwa na wajaluo na si Kenyatta. Kenyatta alikuja kupewa uongozi baadaye wa chama hicho.
Watu kama babake Raila; Oginga Odinga, Tom Mboya, Achieng' Oneko, Argwing Kodhek na wengine wajaluo wengi ni mashujaa w Kenya waliopigania kupatikana uhuru wakishirikiana na wakenya kutoka makabila mengine.
Nikutaarifu tu kwamba kama wajaluo wangekuwa wasaliti Kenyatta asingekuwepo kwenye uliongo wa siasa ila kwa busara za babake Raila na kwa uzalendo mkubwa alipotakiwa kuchukua uongozi wa Kenya wakati huo Kenyata yuko Gerezani alikataa kwamba Kenyata afunguliwe kwanza ndipo wapewe uhuru. Sijui ni watu wangapi wanaoweza kufanya uzalendo kiasi hicho.
Baada ya Kenyatta kuchukua madaraka hakukumbuka fadhila hizo na akaanza kuwatenga wajaluo, kuwaua na utawala wa kidekteta wa kutisha na kujilimbikizia mali huku akiinua kabila la wakikuyu na hapo ndipo ukabila ulipoanza. Mauaji kama ya Tom Mboya 1969, JM Kariuki na wengineo ni mifano.
Wakati wa Moi pia wajaluo walidhulumiwa kwa kiasi kikubwa mfano mauji ya Dr. Robert Ouko 1990 na hata wakati wa Kibaki Mauaji ya Profesa Odhiambo Mbai kwenye mapambano ya kupata katiba mpya.
walioongoza mapambano dhidi ya utawala wa kimabavu mpaka wakenya sasa wanajivunia nchi yao kwa kiasi kikubwa ni wajaluo na mpaka sasa kwao mapambano yanaendelea.
Tukirudi Tanzania wajaluo walichagua mbunge wa upinzani kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 na hata mwaka huu CHADEMA tu hawakujipanga kuchukua jimbo la Rorya lakini ni wazi ushindi ulikuwa ni wao. Watu wa Rorya nina imani wamemchagua Dr. Slaa kuliko Kikwete ni watu wa mageuzi kabla Mageuzi hayajaingia Tanzania. Kule watu hawapendi CCM na huo usaliti wa Maina ni wa wachache.
Hivyo MWEEN uwe makini kujadili makabila badala ya hoja ya Maina.
Kwa kuongezea hata wenje ni mjaluo
 
aende zake kule ye kajisajili kama mkimbizi huko aliko
harafu anataka kutuletea zake mbovu mpofu wa macho ya roho na akili yake haina mtazamo huyu sisi
ndiyo tulio na uchungu na taifa hili na hatutoki mpaka kieleweke, huyo Maina ni mfu tu wa mawazo
 
Thanks Jakathesi and Thesi for your comments.

I agree, I have stepped overboard in my comments earlier AND I unreservedly apologise to all those who may have been affected by the comments.

However, this not withstanding, it is annoying to see someone who you know he knows the truth, turns out to be a hyper-hypocrite for selfish ends. I compare all academically advantaged class who knows the truth but vehemently defends the corrupt CCM system to an opportunistic hyenas who will follow a lone hiker long distances in anticipation that the hand will fall off for them to feast.

Sorry everyone

Huu ni UUNGWANA na UKOMAVU usiokifani ... Du!!! Kweli JF Great Thinkers!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wenye akili tumehifadi kitendo chako hicho kwenye Jalada Jipya japo wengine hawatokaa waone upekee ulionyesha humu Jamvini. UBAGUZI hapana, ila Kutofautiana ni kama ada.

Pia Kwenye Historia kuna ka-OKELO aliyesaidia kuleta MAPINDUZI YA KWELI Zanzibar, na Marando kuleta Siasa za vyama Vingi Bara. Hizo ni CREDITS zao.

Nawashilisha
 
@think twice,nadhani umekuwa ni mbaguzi wa kwanza ktk jf kunibaguwa kwa lugha na utaifa wangu unatakiwa kusoma katiba ya hii nchi vizuri ili uweze kutumia baadhi ya maneno kiufasaha,kwani msukuma ama mmasai asiyejuwa kiswahili sio mtz?
jibu hoja mkuu
pia tambuwa kuwa mchakato wa katiba unaweza kuanza sasa na kabla ya 2015 tukaweza kuwa na katiba mpya ni jambo la uamuzi na utayali,watu kama nyinyi @thInk twice ndio mnaoturudisha nyuma mnaangalia maslahi yenu zaidi kuliko jamii ambao tu wengi,

MI NI MTZ HOME MORO-KIHONDA,HATA KAMA NIPO NJE YA TZ HOME NI HOME,UTANIBAGUWA THINK TWICE ILA HOME NITARUDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

MAPINDUZIIIIIII DAIMAAAAAAAAA
 
Matusi, Kejeli, Vitisho n.k...

Katika posts 120 ziliandikwa mpaka sasa zenye hoja makini kujibu kujibu/kupinga/ kuunga mkono maoni ya Maina Owino hazifiki 10...!!!! Kama kawaida wana JF wengi wamekazania kumshambulia mtu binafsi badala ya hoja zake alizotoa...!!!

Kwa nini inakuwa hivi lakini? Hivi kweli tunategemea eti katika mchakato wa siasa za nchi iko siku tutakubaliana 100%..???!!!

Hii ndio Demokrasia, watu kama Maina wanaopinga kitendo cha CHADEMA wanajulikana (tena kwa majina yao halisi..!!) naomba nitoe wito kuwa tuwajibu kwa hoja.

Nawakilisha....
 
Hivi 'wa CCM UK' ndio kidudumtu gani??

Inaonesha hii njemba bado ushamba wa kule Mugumu sijui Rorya bado haujamtoka..

Kamanda tafadhali kuwa mwangalifu sana, usipende kupost tu ili kongeza idadi ya post. We unamjua vizuri maina au unabahatisha? we unaifahamu vizuri Mugumu au unasimuliwa? Usikurupuke mkuu wenyewe tunakuona vizuri sana hapa.
 
Kamanda tafadhali kuwa mwangalifu sana, usipende kupost tu ili kongeza idadi ya post. We unamjua vizuri maina au unabahatisha? we unaifahamu vizuri Mugumu au unasimuliwa? Usikurupuke mkuu wenyewe tunakuona vizuri sana hapa.

Sikuelewi.
 
Democrasia iliyo na nidhamu sio matokeo ya udiwani na ubunge yapingwe mahakamani na ya Urais yasipingwe mahakamani. Kwa mara ya kwanza TAnzania tumempata rais aliye type ya Mugabe.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)
I know Maina ni mganga njaa sana alikuwa anadhulumu haki za wanafunzi masikina kwa kuwauzia vyumba pale chuo kikuu mlimani. pia alinunuliwa na sarungi na lameck Airo ili atoe jina lake kwenye ubunge mwaka 2005 kwa hiyo wana JF msimshangae hapo anaendeleza fani yake ya kuganga njaa
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Huyo Maina Owino, si mchumba tu. Kwanza alidanganywa na kina Lameck sasa naona anajipendekeza kwa CCM, arudi bongo aachane kuosha viombo uko ulaya
 
Maina owino; mimi sikufahamu lakini maoni yako si mageni masikion pa watu na una haki ya kuyatoa anyway. Bila kukukosea heshima wewe na maoni yako, naweza kusema kwa kifupi tu haya mambo ya huku naona huyawezi na upeo wako wa kuyaelewa ni mfinyu kidogo. Kwa taarifa yako wengi wa watz tumefurahishwa sana na kile ambacho CDM wamefanya na tunawaombea kuwa kwa yowe walilopiga likasikika beyond TZ, hoja za msing hatimaye zijadiliwe ndipo amani ya kweli itakuja.

Wecome home and get ready to face the reality!
 
Matusi, Kejeli, Vitisho n.k...

Katika posts 120 ziliandikwa mpaka sasa zenye hoja makini kujibu kujibu/kupinga/ kuunga mkono maoni ya Maina Owino hazifiki 10...!!!! Kama kawaida wana JF wengi wamekazania kumshambulia mtu binafsi badala ya hoja zake alizotoa...!!!

Kwa nini inakuwa hivi lakini? Hivi kweli tunategemea eti katika mchakato wa siasa za nchi iko siku tutakubaliana 100%..???!!!

Hii ndio Demokrasia, watu kama Maina wanaopinga kitendo cha CHADEMA wanajulikana (tena kwa majina yao halisi..!!) naomba nitoe wito kuwa tuwajibu kwa hoja.

Nawakilisha....

Kama angeleta Hoja watu wangechangia hoja.... lakini kilicholetwa hapo sio hoja kwahiyo kilichobaki ni kuhoji aliyeleta hoja
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Wewe CCM hawa CHADEMA sasa wawashwani?........walkingout haijaanzanleo hata Obama anaifanya kule UN yule Ahmedinajad wa Iran akihutubia....
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?

Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)


Mishahara CCM inatoka kwenye KODI ya akina nani?
Jua Wananchi Waliowachagua CHADEMA sio waliomchagua rais Kikwete.
Kuna HAKI yenye aibu?
 
Back
Top Bottom