Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,989
- 23,501
Jamani kumekuwa na wimbi la ajabu ama laana ama ....mhhhh sijui waua kuamua kutooheshimu kabisa ndoa na kuamua (WANAUME) kullala na wake za watu...wanawake kulala na WAUME za watu....tumekuwa tukiamini maharamia ni wale tu wa somalia baharini lakini ni vyema nguvu tunazozipeleka uko tujaribu kujua jinsi ya kukomesha uharamia wa wake za watu
yawezekana ni tamaa;Dawa yao tuwafanyaje watu kama hawa????
yawezekana ni tamaa;Dawa yao tuwafanyaje watu kama hawa????