Maharamia wa wake za watu tuwafanyaje???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
51,989
23,501
Jamani kumekuwa na wimbi la ajabu ama laana ama ....mhhhh sijui waua kuamua kutooheshimu kabisa ndoa na kuamua (WANAUME) kullala na wake za watu...wanawake kulala na WAUME za watu....tumekuwa tukiamini maharamia ni wale tu wa somalia baharini lakini ni vyema nguvu tunazozipeleka uko tujaribu kujua jinsi ya kukomesha uharamia wa wake za watu
yawezekana ni tamaa;Dawa yao tuwafanyaje watu kama hawa????
 
Jamani kumekuwa na wimbi la ajabu ama laana ama ....mhhhh sijui waua kuamua kutooheshimu kabisa ndoa na kuamua (WANAUME) kullala na wake za watu...wanawake kulala na WAUME za watu....tumekuwa tukiamini maharamia ni wale tu wa somalia baharini lakini ni vyema nguvu tunazozipeleka uko tujaribu kujua jinsi ya kukomesha uharamia wa wake za watu
yawezekana ni tamaa;Dawa yao tuwafanyaje watu kama hawa????

Ni hoja nzuri sana hii lkn naona ungeiweka kule kunako mapenzi na mahusiano ndio ingekuwa vema zaidi, tuijadili kwa kina.

MODS mpoo?
 
Jamani kumekuwa na wimbi la ajabu ama laana ama ....mhhhh sijui waua kuamua kutooheshimu kabisa ndoa na kuamua (WANAUME) kullala na wake za watu...wanawake kulala na WAUME za watu....tumekuwa tukiamini maharamia ni wale tu wa somalia baharini lakini ni vyema nguvu tunazozipeleka uko tujaribu kujua jinsi ya kukomesha uharamia wa wake za watu
yawezekana ni tamaa;Dawa yao tuwafanyaje watu kama hawa????

Dawa ya mke/mume anaetokatoka nje mpe ruksa aende mojakwa moja. Hakuna haja yakutafuta ugomvi usio na maendeleo.

''Mod peleka kuleeee kwenye mahusiano hii''
 
Mumeo/ mkeo akiamua kugawa nje, kosa sio la mlaji, hadi mwandani wako akubali kugawa nje basi ujue ndani kuna mapungufu na ni juu ya wanandoa kubainisha na kutafutia ufumbuzi mapungufu waliyonayo ili pasiwe na mwingine wa kuingilia mapenzi yao.
 
Mumeo/ mkeo akiamua kugawa nje, kosa sio la mlaji, hadi mwandani wako akubali kugawa nje basi ujue ndani kuna mapungufu na ni juu ya wanandoa kubainisha na kutafutia ufumbuzi mapungufu waliyonayo ili pasiwe na mwingine wa kuingilia mapenzi yao.
Kana Ka Nsungu,
Unadhani inawezekana kweli hapa duniani kumwambia mwenzi wako, baada ya wewe kutoka nje na yeye kujua, kwamba - unajua kuna mapungufu fulani unayo, nadhani tuyaongelee ili mimi nisitoke tena nje ya ndoa.......nk nk nk? Never!
 
Kana Ka Nsungu,
Unadhani inawezekana kweli hapa duniani kumwambia mwenzi wako, baada ya wewe kutoka nje na yeye kujua, kwamba - unajua kuna mapungufu fulani unayo, nadhani tuyaongelee ili mimi nisitoke tena nje ya ndoa.......nk nk nk? Never!

Kama mnaelezana mapungufu yaliyopo bila woga,kutakuwa hakuna sababu ya kutoka nje.
 
Ni kweli kabisa mapungufu ndani ya ndoa ndiyo yanayosababisha mke/mume kutoka nje. Unajua kule nje wanakokimbilia dayworker wanakuwa hawana majukumu. Wanazungumzia issue moja tu.Ila nyumbani unakuta kuna issue mara ya watoto mara hivi sasa wanaotoka nje ni kuwa wanajaribu kukwepa na kukubali majukumu yao
Wanaume
Tuwapende wake zetu, tuwasaidie, tuwashauri, tuwaite majina mazuri angalau kama tunavyofanya huko nje, tuwasikilize, tuwe na muda wa kuwa na wenzi wetu ( quality time), tutimize wajibu wetu, tuwe wawazi

Wanawake
Tuwaheshimu na kuwatii waume zetu, tusiwe na gubu nyumbani, tutimize wajibu wetu, tuwe wawazi
 
Badili title yako haendani na kiini cha unachotakwa kijadiliwe....Maharamia wa wake za watu tuwafanyaje??? nadhani ungeeleweka vizuri iwapo ungesema maharamia wa ndoa...hapo uko imapartial as if ni tatizo kwa wanaume tu...
 
nafikiri tatizo kubwa sasa hivi watu wengi wanaoa kutokanaa na mawazo tofauti;wapo wanaoooa ama kuoana kutokana na umri kuwa mkubwa...wapo wanaooana kutokana na kweli wote wanapendana vilivyo.,wapo wanaooana just kwa sababu mmoja wao ametoka kwenye frustration za nguvu na kuona soln kuoana....,wapo wanaoooana hawa tunawaita kutokana na upendo wa AGAPE both side...sasa basi unakuta mmoja wao ama wote wakifshafanikisha malengo yao ya kuoana mtu anaamua bull shit ngoja kama kuoa nimeshaoa ama kuolewa ngoja nile maisha...mi nina frame pic ya ndugu yangu mmoja kama sio kumfwata mungu sijui angekuwa wapi......
huyu aliamua kuoa mwaka 2005 bada ya kuwa na gfrienda wake miaka miwili akapata ujauzito binti kabla ya uja...akabadilika kidogo then wakaitana chini kama mambo ndio haya maisha kusonga mbele kwa nini tusidisaidi mapema....mwanamke akazima simu akabadilisha chipu kila akifwatwa anaambiwa na nduguze hayupo...baadae akaja mwanamke analia sana akaomba msamaha...baada ya wiki kama mjuavyo wanaume walivyo weak kwa madada...akarejesha moyo konde maisha yakaanza baada ya wiki ati ana mimba.....mmmmh???jamaa akacheza nayo ilipofika mwezi akaomba wakapime mimba yao..mwanamke akagoma kabisa kabisa....mpende mamayako kwanza huu ni ujumbe mfupi uletwao kwenu na Mama Mia...then tunaendelea...baada ya mwezi na nusu mwanamke akaamua kuwasha moto kwamba ikifika siku fudenge basi mi ntakuwachia ujue cha kufanya kama utaki tukapime...kumbe yule mwanamke mungu nawaambia ni wa ajabu....akanyanyuka akaenda hospital moja kinondoni...akapima mwenyewe jibu alilopata ni yeye na mungu yake mimba ilikuwa na miezi miwili na nusu...mwanamke akapata mimba ya pili...ya ukichaa..akarudi nyumbani hoi..mwanamme gafla akawa mwanmke akaenda kusachi kwenye pochi...yalaaaaahhhhhhhhhhhhhhhh
msg ikawa copied kaka wa watu akaamua kuhama siku hiyo na kitanda chake akamwachia mwanamke kila kitu....baadae mwanamke akaenda kutoa ile mimba...jamaa akapata mwanamke mmoja wakiwa harusini kwa wajombweze....wakapendana miezi sita wakaooana harusi kubwaaaa diamond jubilee gafla.......,baada ya mwezi wa tatu binti kaanza kunywa pombe za ajabu...hee jamaa akaona mungu ampendi na kuanza kuomba ushauri jamani nifanyeje....mwanamke akaamua kusafiri kwenda nje ya nchi kumbe anamfwata bwana wake....loh!!!!akatokea msamaria mwema rafiki mkubwa wa huyo mwanamke akamfwata bwanaharusi na kumwambia pole sana we ni kama nduguyangu..., mkeo tuko nae kila siku ana bwana nje anaitwa fulani yuko holland muda wote wanawasiliana si kama marafiki tulimshauri usiolewe kama hujawa tayari......,mungu amrehemu dada yule sasa ni marehemu...alikuwa CELTEL...baadae wakaachana kabisa mahakamani kila mtu akala zake..ndoa ikadumu miezi 3.....kwa hiyo ndoa si ya kukimbilia sababu mnamaisha bora jiulize pesa zikikata pendo litakuwepo....nawachia JF....
 
Maisha ndivyo yalivyo, kubali yaishe - there nothing anybody can do about it. Mnapiga soga tu!
 
Pdidy, Thank you for the good message. There are a lot of success and failure stories to be shared in regards to marriage. lakini mimi mwenyewe naona kama sisi wanawake ndani ya ndoa - we are like slaves. Haki ya mungu hata hiyo busu unaweza kukaa hata mwaka hujaipata. Acha busu hata kukuita jina la mapenzi tu - Like Honey, Darling, Sweet heart etc. hakuna. Sasa ukipata mshikaji akakuiita Darling with a kiss so utahamia kabisa. Kutoka nje siyo kosa- kosa ni kufumaniwa! Tunakosa mengi ndani ya ndoa.
 
Back
Top Bottom