Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

Msaada jinsi ya ku unlock hio router ya ttcl MC118 Please
JPEG_20200827_181133_4032900126909652552.jpg
 
Wadau naomba msaada namna ya kui unlock hii modem ili niweze kutumia na laini za mitandao mingine
thumbnail.jpg
 
file
Kutokana na watu wengi kuhangaika sana jinsi ya kuunlock modem ya Zantel Dlink 157. Leo nimewaletea solution bure. Hakuna gharama
Baada ya kuunlock modem yako. Utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule kama vile Vodacom, Airtel, Halotel n.k

Mahitaji

Maelezo
1. Download Unlocked Firmware ya Dlink 157 kisha extract kwenye computer yako kwa kutumia software inayoitwa Winrar au 7-zip (Google utazipata)
2. Chomeka modem yako ikiwa na laini ya mtandao mwingine tofauti na Zantel (unaweza kuweka halotel, Airtel, Tigo n.k)
Hakikisha umefunga dashboard ya modem yako kwasababu itashindwa kuunlock modem yako
3. Run unlocked firmware as administrator kwa ku-right click unlocked firmware kisha chagua run as administrator
4. Itakuletea kidashboard. Weka tiki kwenye "I accept the agreement) kisha bonyeza Next
Iache i-update mpaka iandike "update success"
5. Chomoa modem yako kwenye computer. KIsha chomeka tena. Mpaka hapa itakuwa tayari na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule.

Kumbuka
Kipindi una update firmware. Usichomoa modem au kuitikisa maana utabrick modem yako (sitahusika kwa hilo)
Usisahau kulike. Kazi njema
firmware ya dwm157 ina passwrd
 
Wataalamu, ninaomba msaada jinsi ya ku Unlock ZTE Moderm nimejaribu kuseach kwenye google nimekwama kabisa.

No ya Moderm ni EVDO AC ZTE 8710 PID:V3

Picha zipo chini

Natanguliza shukrani za dhati

IMG_20210610_125314_306.jpg


IMG_20210610_125318_071.jpg
 
Mkuu EVDO ni 3G ya CDMA, mitandao yetu ni GSM haitasoma hio modem.

Sasatel, TTCL na zantel ndio walikuwa CDMA na kwa ufahamu wangu minara walisha zima.
 
1. Download DC unlocker crack.
2. Chomeka router yako kwenye computer kwa usb cable
3. Run DC unlocker as administrator.
4. Bonyeza kwenye magnifying glass km italeta details za router yako

1. Ndio inasoma simlock code
2. Ndio inaandikika
3. NCK code inaomba 16
 
Back
Top Bottom